TCRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Makame Mbarawa (Mb), kwa mamlaka aliyonayo chini ya Sheria Na. 12 ya mwaka 2003 ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania Kifungu cha 13 (1) amemteua Dkt. Ally Yahaya Simba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia tarehe 6 Julai 2015.
Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Ally Yahaya Simba alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Wizara ya Mawasiliano,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-COiH_jcLt1E/U6rWxPVwq_I/AAAAAAAFs64/4tdvGclOAUU/s72-c/New+Picture.png)
SUMATRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-COiH_jcLt1E/U6rWxPVwq_I/AAAAAAAFs64/4tdvGclOAUU/s1600/New+Picture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa Sheria ya Wakala wa Serikali No. 30 ya mwaka 1997, Kifungu Na. 9 ikisomwa pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2009, Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe(MB) amemteua Bw. Gilliad Wilson Ngewe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) kuanzia tarehe1/6/2014.
Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu mpya TCRA Dkt.Ally Yahaya Simba amtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-vS91bNVLCL8/VafkgkZqpMI/AAAAAAAHqHU/Wa-mfYklEto/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gIVlifSpd8I/VafklLcnB8I/AAAAAAAHqHk/5DuUpv4LC2U/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-emxPGOWDpy8/Va6vOMYsZ7I/AAAAAAAHq9U/6Jbvq4MrRWE/s72-c/tt.jpg)
Mkurugenzi Mkuu mpya wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, (TCRA) Dk. Ally Yahaya Simba
![](http://2.bp.blogspot.com/-emxPGOWDpy8/Va6vOMYsZ7I/AAAAAAAHq9U/6Jbvq4MrRWE/s1600/tt.jpg)
Dk. Simba aliteuliwa rasmi kushika wadhifa huo mnamo tarehe 6 Jula1 2015 kwa kipindi cha miaka mitano. Kabla ya uteuzi huo, Dk....
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Dk. Ally Yahaya Simba: Mkurugenzi mpya wa TCRA
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa hivi karibuni alimteua Dk. Ally Yahaya Simba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania, (TCRA).
Hiyo ilifuatia mchakato wa kumpata Mkurugenzi Mkuu kama ilivyoainishwa katika Sheria ya Kuanzishwa kwa Mamlaka ya Mawasiliano ya 2003 kifungu cha 9 na kifungu cha 13. (TCRA Act, 2003).
Dk. Simba aliteuliwa rasmi kushika wadhifa huo Julai 6 mwaka huu kwa kipindi cha miaka mitano.
Kabla ya...
10 years ago
Habarileo13 Feb
NMB yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
BODI ya benki ya NMB imemtangaza Ineke Bussemaker kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, Mark Wiessing kukubali nafasi mpya ndani ya benki ya Rabobank, kama mkuu wa benki hiyo upande wa Amerika Kusini na Mkurugenzi Mtendaji Brazil.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aYszG3PpGNg/U6rYbVMeoQI/AAAAAAAFs7E/cFnkrjEe9hQ/s72-c/sumatra40percentbusowners.jpg)
SUMATRA yapata Mkurugenzi wake mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-aYszG3PpGNg/U6rYbVMeoQI/AAAAAAAFs7E/cFnkrjEe9hQ/s1600/sumatra40percentbusowners.jpg)
Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA kuanzia tarehe 12/3/2014 ambapo awali alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti...
10 years ago
Bongo511 Aug
Vodacom Tanzania yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Standard Chartered yapata mkurugenzi mpya Mtanzania
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC TANZANIA YAPATA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA.