Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Standard Chartered yapata mkurugenzi mpya Mtanzania

Benki ya Standard Chartered Tanzania, imepata Mkurugenzi Mtendaji mpya ambaye ni Mtanzania, Sanjay Rughani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya Standard Chartered yateua Mkurugenzi wa kwanza Mtanzania

Sanjay - 3

Sanjay Rughani (pichani) anakuwa Mtanzania wa kwanza kuiongoza benki ya Standard Chartered Tanzania akipokea uongozi wa benki hiyo kutoka kwa aliyekuwa mkurugenzi wake, Liz Lloyd, ambaye amerudi katika makao makuu ya benki hiyo, London, kuchukua nafasi ya Mshauri wa Kisheria wa benki hiyo.

Sanjay alijiunga na benki ya Standard Chartered Tanzania mwaka wa 1999 akiwa kama Meneja msaidizi wa kitengo cha Fedha. Baada ya miaka miwili Sanjay alipata cheo cha Meneja wa kitengo cha Fedha kwa Bara...

 

10 years ago

Michuzi

Benki ya Standard Chartered yazindua “Kombe la Standard Chartered Trophy — Njia kwenda Anfield 2015

Viongozi wa vitengo mbalimbali wa Benki ya Standard Chartered wakipigiga mpira kwa pamoja kuashiria uzinduzi wa shindano la soka la “Kombe la Standard Chartered – Njia Kwenda Anfield” katika ofisi za Benki hiyo mapema leo. Kutoka kushoto kwenda kulia ni: Femi Alonge - Mkuu wa kitengo cha Wateja wa Makampuni Makubwa, Juanita Mramba – Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Masoko, Mike Shio – Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi na Ruth Zaipuna – Mkuu wa Kitengo cha...

 

11 years ago

Michuzi

IPTL wins case against Standard Chartered Bank

THE High Court of Tanzania has temporarily restrained Standard Chartered Bank (Hong Kong) Limited and two other respondents from enforcing a decision issued by the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) over recalculation of power tariffs.
High Court Judge Fauz Twaib issued the interim order in favour of two applicants, Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and Pan African Power Solution Limited (PAP) after considering lengthy and exhaustive submissions...

 

11 years ago

Michuzi

Standard Chartered Bank rewarding its Clients for Referrals:

 Standard Chartered Bank Tanzania Limited has launched an exciting campaign for its Priority Clients. Dubbed “Member get Member” campaign, the initiative is open to the Bank’s Priority Clients. Exciting prizes including trips to Rome, Paris, Cape Town, Johannesburg or Dubai, among others, await the Bank’s Clients who successfully refer new Priority Clients to the Bank. The new clients will also qualify to join the campaign which is ongoing until 31st July, 2014.  Standard Chartered Bank...

 

11 years ago

Michuzi

Standard Chartered Bank launches the Bundle Campaign

 Standard Chartered Bank’s Head of Retail Clients, Mike Shio, right, spins the wheel to pick the winner of the Bank’s Salary Solution Campaign raffle. Looking on are an official from the Gaming Board of Tanzania, Mrisho Milao, centre, and the Bank’s Head of Products, Omari Mtiga.  Standard Chartered Bank’s Head of Retail Clients, Mike Shio, right, spins the wheel to pick the winner of the Bank’s Salary Solution Campaign raffle. Looking on are an official from the Gaming Board of...

 

9 years ago

Dewji Blog

Standard Chartered’s global network comes together to support the #GlobalGoals

standard chartered

The Bank is promoting the #GlobalGoals to clients and staff

Standard Chartered Bank has launched an extensive multi-channel communications to its 86,000 employees and millions of clients to spread the word about the Global Goals for Sustainable Development. The Bank is proud to be one of the Founding Partners of Project Everyone, which aims to raise awareness of the Goals, reaching seven billion people in seven days. This burst of activity is designed to highlight the Goals during this...

 

11 years ago

Michuzi

SUMATRA yapata Mkurugenzi wake mpya

Kwa mujibu wa Sheria ya Wakala wa Serikali No. 30 ya mwaka 1997, Kifungu Na. 9 ikisomwa pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2009, Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe(MB) amemteua Bw. Gilliad Wilson  Ngewe  kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini(SUMATRA) kuanzia tarehe1/6/2014. 
Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA kuanzia tarehe 12/3/2014 ambapo awali alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti...

 

10 years ago

Habarileo

NMB yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NMB, Profesa Joseph SembojaBODI ya benki ya NMB imemtangaza Ineke Bussemaker kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, Mark Wiessing kukubali nafasi mpya ndani ya benki ya Rabobank, kama mkuu wa benki hiyo upande wa Amerika Kusini na Mkurugenzi Mtendaji Brazil.

 

11 years ago

Michuzi

SUMATRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI


 
 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Kwa mujibu wa Sheria ya Wakala wa Serikali No. 30 ya mwaka 1997, Kifungu Na. 9 ikisomwa pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2009, Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe(MB) amemteua Bw. Gilliad Wilson  Ngewe  kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) kuanzia tarehe1/6/2014.

Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani