Standard Chartered yapata mkurugenzi mpya Mtanzania
Benki ya Standard Chartered Tanzania, imepata Mkurugenzi Mtendaji mpya ambaye ni Mtanzania, Sanjay Rughani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Benki ya Standard Chartered yateua Mkurugenzi wa kwanza Mtanzania
Sanjay Rughani (pichani) anakuwa Mtanzania wa kwanza kuiongoza benki ya Standard Chartered Tanzania akipokea uongozi wa benki hiyo kutoka kwa aliyekuwa mkurugenzi wake, Liz Lloyd, ambaye amerudi katika makao makuu ya benki hiyo, London, kuchukua nafasi ya Mshauri wa Kisheria wa benki hiyo.
Sanjay alijiunga na benki ya Standard Chartered Tanzania mwaka wa 1999 akiwa kama Meneja msaidizi wa kitengo cha Fedha. Baada ya miaka miwili Sanjay alipata cheo cha Meneja wa kitengo cha Fedha kwa Bara...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RlmtEYTO16A/VOYVqb1gZqI/AAAAAAAHEnI/ZymhUtGFI1E/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Benki ya Standard Chartered yazindua “Kombe la Standard Chartered Trophy — Njia kwenda Anfield 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-RlmtEYTO16A/VOYVqb1gZqI/AAAAAAAHEnI/ZymhUtGFI1E/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
11 years ago
Michuzi25 Apr
IPTL wins case against Standard Chartered Bank
High Court Judge Fauz Twaib issued the interim order in favour of two applicants, Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and Pan African Power Solution Limited (PAP) after considering lengthy and exhaustive submissions...
11 years ago
Michuzi30 May
Standard Chartered Bank rewarding its Clients for Referrals:
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--8OuZObe0S4/U6srO2FvqBI/AAAAAAAFs7s/xcH8DnaOibY/s72-c/SSC+raffle+draw+-+Pic+1.jpg)
Standard Chartered Bank launches the Bundle Campaign
![](http://4.bp.blogspot.com/--8OuZObe0S4/U6srO2FvqBI/AAAAAAAFs7s/xcH8DnaOibY/s1600/SSC+raffle+draw+-+Pic+1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-47eYuE4Z28U/U6srSrpUkuI/AAAAAAAFs74/S5mI3cPUwng/s1600/SSC+raffle+draw+-+Pic+2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Sep
Standard Chartered’s global network comes together to support the #GlobalGoals
The Bank is promoting the #GlobalGoals to clients and staff
Standard Chartered Bank has launched an extensive multi-channel communications to its 86,000 employees and millions of clients to spread the word about the Global Goals for Sustainable Development. The Bank is proud to be one of the Founding Partners of Project Everyone, which aims to raise awareness of the Goals, reaching seven billion people in seven days. This burst of activity is designed to highlight the Goals during this...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aYszG3PpGNg/U6rYbVMeoQI/AAAAAAAFs7E/cFnkrjEe9hQ/s72-c/sumatra40percentbusowners.jpg)
SUMATRA yapata Mkurugenzi wake mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-aYszG3PpGNg/U6rYbVMeoQI/AAAAAAAFs7E/cFnkrjEe9hQ/s1600/sumatra40percentbusowners.jpg)
Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA kuanzia tarehe 12/3/2014 ambapo awali alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti...
10 years ago
Habarileo13 Feb
NMB yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
BODI ya benki ya NMB imemtangaza Ineke Bussemaker kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, Mark Wiessing kukubali nafasi mpya ndani ya benki ya Rabobank, kama mkuu wa benki hiyo upande wa Amerika Kusini na Mkurugenzi Mtendaji Brazil.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-COiH_jcLt1E/U6rWxPVwq_I/AAAAAAAFs64/4tdvGclOAUU/s72-c/New+Picture.png)
SUMATRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-COiH_jcLt1E/U6rWxPVwq_I/AAAAAAAFs64/4tdvGclOAUU/s1600/New+Picture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa Sheria ya Wakala wa Serikali No. 30 ya mwaka 1997, Kifungu Na. 9 ikisomwa pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2009, Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe(MB) amemteua Bw. Gilliad Wilson Ngewe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) kuanzia tarehe1/6/2014.
Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu...