SUMATRA yapata Mkurugenzi wake mpya
Kwa mujibu wa Sheria ya Wakala wa Serikali No. 30 ya mwaka 1997, Kifungu Na. 9 ikisomwa pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2009, Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe(MB) amemteua Bw. Gilliad Wilson Ngewe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini(SUMATRA) kuanzia tarehe1/6/2014.
Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA kuanzia tarehe 12/3/2014 ambapo awali alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Udhibiti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSUMATRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kwa mujibu wa Sheria ya Wakala wa Serikali No. 30 ya mwaka 1997, Kifungu Na. 9 ikisomwa pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2009, Waziri wa Uchukuzi, Mhe. Dkt. Harrison G. Mwakyembe(MB) amemteua Bw. Gilliad Wilson Ngewe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) kuanzia tarehe1/6/2014.
Kabla ya Uteuzi huo Bw. G. W. Ngewe , alikuwa Kaimu...
10 years ago
Habarileo13 Feb
NMB yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
BODI ya benki ya NMB imemtangaza Ineke Bussemaker kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, Mark Wiessing kukubali nafasi mpya ndani ya benki ya Rabobank, kama mkuu wa benki hiyo upande wa Amerika Kusini na Mkurugenzi Mtendaji Brazil.
10 years ago
MichuziTCRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Ally Yahaya Simba alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Wizara ya Mawasiliano,...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Standard Chartered yapata mkurugenzi mpya Mtanzania
10 years ago
Bongo511 Aug
Vodacom Tanzania yapata Mkurugenzi Mtendaji mpya
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC TANZANIA YAPATA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA.
10 years ago
MichuziVODACOM TANZANIA YAPATA MKURUGENZI MTENDAJI MPYA/Vodacom Tanzania Announces New Managing Director
10 years ago
MichuziNMB Wapata Mkurugenzi na CEO Mpya Bi. Ineke Bussemaker, Wamkaribisha Rasmi na kumuaga aliyemaliza muda wake
9 years ago
Mwananchi04 Oct
JK amsotesha mkurugenzi wa Sumatra mbele ya madereva