Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki ya Standard Chartered yazindua “Kombe la Standard Chartered Trophy — Njia kwenda Anfield 2015

Viongozi wa vitengo mbalimbali wa Benki ya Standard Chartered wakipigiga mpira kwa pamoja kuashiria uzinduzi wa shindano la soka la “Kombe la Standard Chartered – Njia Kwenda Anfield” katika ofisi za Benki hiyo mapema leo. Kutoka kushoto kwenda kulia ni: Femi Alonge - Mkuu wa kitengo cha Wateja wa Makampuni Makubwa, Juanita Mramba – Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Masoko, Mike Shio – Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi na Ruth Zaipuna – Mkuu wa Kitengo cha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya Standard Chartered yateua Mkurugenzi wa kwanza Mtanzania

Sanjay - 3

Sanjay Rughani (pichani) anakuwa Mtanzania wa kwanza kuiongoza benki ya Standard Chartered Tanzania akipokea uongozi wa benki hiyo kutoka kwa aliyekuwa mkurugenzi wake, Liz Lloyd, ambaye amerudi katika makao makuu ya benki hiyo, London, kuchukua nafasi ya Mshauri wa Kisheria wa benki hiyo.

Sanjay alijiunga na benki ya Standard Chartered Tanzania mwaka wa 1999 akiwa kama Meneja msaidizi wa kitengo cha Fedha. Baada ya miaka miwili Sanjay alipata cheo cha Meneja wa kitengo cha Fedha kwa Bara...

 

5 years ago

Michuzi

Mabingwa wa Kombe la Standard Chartered, timu ya Dar es Salaam Corridor, kuishuhudia Liverpool 'live'

 Mabingwa wa Kombe la Standard Chartered, timu ya Dar es Salaam Corridor wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa bendera ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.Mabingwa wa Kombe la Standard Chartered, timu ya Dar es Salaam Corridor wakiwa katika picha ya pamoja viongozi katika michezo.Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia  akizungumza wakati wa kuwaaga Mabingwa wa Kombe la Standard Chartered, timu ya Dar es Salaam Corridor  jijini Dar es Salaam leo, ambao...

 

9 years ago

Dewji Blog

Standard Chartered’s global network comes together to support the #GlobalGoals

standard chartered

The Bank is promoting the #GlobalGoals to clients and staff

Standard Chartered Bank has launched an extensive multi-channel communications to its 86,000 employees and millions of clients to spread the word about the Global Goals for Sustainable Development. The Bank is proud to be one of the Founding Partners of Project Everyone, which aims to raise awareness of the Goals, reaching seven billion people in seven days. This burst of activity is designed to highlight the Goals during this...

 

11 years ago

Michuzi

Standard Chartered Bank rewarding its Clients for Referrals:

 Standard Chartered Bank Tanzania Limited has launched an exciting campaign for its Priority Clients. Dubbed “Member get Member” campaign, the initiative is open to the Bank’s Priority Clients. Exciting prizes including trips to Rome, Paris, Cape Town, Johannesburg or Dubai, among others, await the Bank’s Clients who successfully refer new Priority Clients to the Bank. The new clients will also qualify to join the campaign which is ongoing until 31st July, 2014.  Standard Chartered Bank...

 

9 years ago

Mwananchi

Standard Chartered yapata mkurugenzi mpya Mtanzania

Benki ya Standard Chartered Tanzania, imepata Mkurugenzi Mtendaji mpya ambaye ni Mtanzania, Sanjay Rughani.

 

11 years ago

Michuzi

Standard Chartered Bank launches the Bundle Campaign

 Standard Chartered Bank’s Head of Retail Clients, Mike Shio, right, spins the wheel to pick the winner of the Bank’s Salary Solution Campaign raffle. Looking on are an official from the Gaming Board of Tanzania, Mrisho Milao, centre, and the Bank’s Head of Products, Omari Mtiga.  Standard Chartered Bank’s Head of Retail Clients, Mike Shio, right, spins the wheel to pick the winner of the Bank’s Salary Solution Campaign raffle. Looking on are an official from the Gaming Board of...

 

11 years ago

Michuzi

IPTL wins case against Standard Chartered Bank

THE High Court of Tanzania has temporarily restrained Standard Chartered Bank (Hong Kong) Limited and two other respondents from enforcing a decision issued by the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) over recalculation of power tariffs.
High Court Judge Fauz Twaib issued the interim order in favour of two applicants, Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and Pan African Power Solution Limited (PAP) after considering lengthy and exhaustive submissions...

 

5 years ago

Financial World

Tanzania secures $1.46 bn in debt for railway construction from Standard Chartered

Tanzania secures $1.46 bn in debt for railway construction from Standard Chartered  Financial World

 

9 years ago

Michuzi

STANDARD CHARTERED TANZANIA WINS BANK OF THE YEAR AWARD


Tanzania, 07 December, 2015 – Standard Chartered Bank Tanzania Limited has been awarded the prestigious ‘Bank of the Year’ award at The Banker Awards 2015. This is the eighth time that the Bank is winning this award which was announced at a grand gala dinner programme held at an award ceremony in London last Wednesday evening.

With more than fifty lenders operating within its borders, Tanzania has a healthy and competitive Banking sector. Standard Chartered Bank Tanzania Limited has stayed...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani