TCRA yapata ubora wa kimataifa
NA RACHEL KYALA
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imepata cheti cha kiwango cha ubora kutoka Shirika la Viwango la Kimataifa (ISO), kutokana na kukidhi vigezo vya utoaji huduma kwa jamii.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhiwa cheti hicho, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Profesa John Nkoma, alisema mamlaka hiyo imepata cheti hicho kutokana na utendaji kazi wake katika kudhibiti sekta ya mawasiliano ikiwemo kujulikana kimataifa.
“Tulikwenda shule chini ya Shirika la Viwango Nchini (TBS),...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Dec
Maabara Muhimbili yapata ubora wa kimataifa
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kupitia kitengo cha maabara imepokea cheti cha kimataifa cha ithibati kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Viwango (ISO) baada ya kuonekana kutoa huduma bora za kitabibu.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
TCRA yapata cheti cha kimataifa
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetakiwa kuongeza juhudi katika kuboresha sekta hiyo, baada ya kukabidhiwa cheti cha kiwango cha kimataifa na Shirika la Viwango Duniani. Cheti hicho kilikabidhiwa jijini Dar...
10 years ago
VijimamboPPF yapata cheti cha ubora wa kimataifa ISO 9001:2008
10 years ago
MichuziTCRA YAPATA MKURUGENZI MKUU MPYA
Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Ally Yahaya Simba alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa Wizara ya Mawasiliano,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
TCRA yapata manufaa katika usajili wa Laini za Simu kwa Alama za Vidole.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZC5JInj-FNk/XmzDRUw5rWI/AAAAAAALjY8/ioB6yZtliogO8Eq2Goj7qFc0xe_mwNVFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.22.01%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhZcr9bLb_w/XmzDRJAgHwI/AAAAAAALjY4/OJeV0LN5NCAH-SjBcHVzHHQq5_pHDxsFQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-14%2Bat%2B2.25.01%2BPM.jpeg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMAMLAKA ya Mawasiliano nchini(TCRA)...
9 years ago
Habarileo25 Sep
‘Sampuli zina ubora wa kimataifa’
TAASISI ya Twaweza imesema inaziamini kwa asilimia 95 sampuli zilizotumika kukusanya taarifa ya utafiti kuhusu ‘Sauti za Wananchi’ kwenye siasa na kusisitiza kuwa sampuli hizo zina ubora wa kimataifa.
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Namna ya kupata alama ya ubora wa kimataifa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*ZyMIbP*cFjzWtdL9uwDVfwmAWmkKoS4p6ol0FdYi44wbT-36qLexgnSM0w9C4-u5XWRS*kAInzUgDHP4aSTnV/BARUANZITO.jpg)
VIDEO CHAFU BONGO FLEVA, NDIYO UBORA WA KIMATAIFA?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_w9x55gDGrc/VWiR43w1wKI/AAAAAAAAUQM/fiPQZmem3i0/s72-c/E1B.jpg)
PPF YANYAKUA TUZO YA UBORA WA HUDUMA YA ISO KIMATAIFA
Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio alitoa taarifa hiyo leo Ijumaa na kusema kuwa walipewa tangu Machi 28, mwaka huu.
Alisema wamepewa cheti chenye namba 9001:2008 na kuanzia mwezi Mei, mwaka huu huduma za PPF zinaza kutambulika kimataifa.
“ISO walikuja nchini wakatukagua wakalidhika na viwango vya huduma zetu tunazotoa na wakatupatia cheti cha ubora,” alisema...