‘Sampuli zina ubora wa kimataifa’
TAASISI ya Twaweza imesema inaziamini kwa asilimia 95 sampuli zilizotumika kukusanya taarifa ya utafiti kuhusu ‘Sauti za Wananchi’ kwenye siasa na kusisitiza kuwa sampuli hizo zina ubora wa kimataifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
TCRA yapata ubora wa kimataifa
NA RACHEL KYALA
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imepata cheti cha kiwango cha ubora kutoka Shirika la Viwango la Kimataifa (ISO), kutokana na kukidhi vigezo vya utoaji huduma kwa jamii.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhiwa cheti hicho, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Profesa John Nkoma, alisema mamlaka hiyo imepata cheti hicho kutokana na utendaji kazi wake katika kudhibiti sekta ya mawasiliano ikiwemo kujulikana kimataifa.
“Tulikwenda shule chini ya Shirika la Viwango Nchini (TBS),...
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Namna ya kupata alama ya ubora wa kimataifa
Katika uzalishaji wa bidhaa, viwango vya bidhaa ni kitu cha muhimu. Alama ya ubora ya kimataifa hutolewa na Shirika la Viwango la Kimataifa (ISO), ambalo lina wanachama zaidi ya nchi 160 duniani.
10 years ago
Habarileo10 Dec
Maabara Muhimbili yapata ubora wa kimataifa
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kupitia kitengo cha maabara imepokea cheti cha kimataifa cha ithibati kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Viwango (ISO) baada ya kuonekana kutoa huduma bora za kitabibu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_w9x55gDGrc/VWiR43w1wKI/AAAAAAAAUQM/fiPQZmem3i0/s72-c/E1B.jpg)
PPF YANYAKUA TUZO YA UBORA WA HUDUMA YA ISO KIMATAIFA
MFUKO wa Pensheni wa PPF, umepewa cheti cha ubora wa utoaji huduma kimataifa kwa wananchi (ISO) baada ya kukidhi mashariti na vigezo.
Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio alitoa taarifa hiyo leo Ijumaa na kusema kuwa walipewa tangu Machi 28, mwaka huu.
Alisema wamepewa cheti chenye namba 9001:2008 na kuanzia mwezi Mei, mwaka huu huduma za PPF zinaza kutambulika kimataifa.
“ISO walikuja nchini wakatukagua wakalidhika na viwango vya huduma zetu tunazotoa na wakatupatia cheti cha ubora,” alisema...
Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio alitoa taarifa hiyo leo Ijumaa na kusema kuwa walipewa tangu Machi 28, mwaka huu.
Alisema wamepewa cheti chenye namba 9001:2008 na kuanzia mwezi Mei, mwaka huu huduma za PPF zinaza kutambulika kimataifa.
“ISO walikuja nchini wakatukagua wakalidhika na viwango vya huduma zetu tunazotoa na wakatupatia cheti cha ubora,” alisema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*ZyMIbP*cFjzWtdL9uwDVfwmAWmkKoS4p6ol0FdYi44wbT-36qLexgnSM0w9C4-u5XWRS*kAInzUgDHP4aSTnV/BARUANZITO.jpg)
VIDEO CHAFU BONGO FLEVA, NDIYO UBORA WA KIMATAIFA?
Malikia wa Bongo Fleva na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed 'Shilole'. KWENU,Wasanii wa Bongo Fleva. Mnanishangaza sana. Kwa muda mrefu kumekuwa na tatizo la mmomonyoko wa maadili kwa wasanii wa Bongo Muvi. Wamepewa majina yote machafu. Wameonekana ndiyo wavunjifu wakubwa wa maadili. Wamekutana na maswali mengi sana huko mitaani; kama wao ni kioo cha jamii, kwa nini wanavaa kihasarahasara? Ni jambo lililoibua maneno sana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zo8H3O-iTBs/Xkecgx0i--I/AAAAAAALde0/IbiWVLDyw1QZOx7u9YM1af83MQciOBosACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200214_105644.jpg)
BONGOZOZO: KUNYWENI MAZIWA YA ASAS YANA UBORA WA KIMATAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zo8H3O-iTBs/Xkecgx0i--I/AAAAAAALde0/IbiWVLDyw1QZOx7u9YM1af83MQciOBosACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200214_105644.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-QhACOLCi-Qg/Xkaad799OFI/AAAAAAAAHlo/hXv6Sp53-yYT5NW-Tkvz6kvotPsWgnjlQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200214_105906.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni ya Maziwa ya Asas, Ahmed Salim Abri akiwa na balozi Maziwa ya AsasNick Reynolds ‘Bongo Zozo’ wakizungumza na wandishi wa habari mkoani Iringa,mara baada ya kumtangaza rasmi Bongozozo kuwa balozi wa kampuni hiyo.
BALOZI wa kampuni ya Maziwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-icxoB0KrQmI/U4dvzr_41AI/AAAAAAAFmUI/PSglYTQrW5g/s72-c/unnamed.jpg)
BIA YA SAFARI LAGER YASHINDA TUZO LA UBORA KIMATAIFA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-icxoB0KrQmI/U4dvzr_41AI/AAAAAAAFmUI/PSglYTQrW5g/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oe3dbXMrJTE/U4dwAln2YxI/AAAAAAAFmUQ/O6828cn9K8c/s1600/unnamed.jpg)
Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo...
10 years ago
VijimamboPPF yapata cheti cha ubora wa kimataifa ISO 9001:2008
11 years ago
MichuziBIA YA SAFARI LAGER NA NDOVU SPECIAL MALT ZAREJEA NCHINI NA TUZO YA UBORA WA KIMATAIFA 2014 “INTERNATIONAL HIGH QUALITY TROPHY”
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania