Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BONGOZOZO: KUNYWENI MAZIWA YA ASAS YANA UBORA WA KIMATAIFA

Mkurugenzi wa kampuni ya Maziwa ya Asas, Ahmed Salim Abri akiwa na balozi Maziwa ya AsasNick Reynolds ‘Bongo Zozo’ wakizungumza na wandishi wa habari mkoani Iringa,mara baada ya kumtangaza rasmi Bongozozo kuwa balozi wa kampuni hiyo.

Mkurugenzi wa kampuni ya Maziwa ya Asas, Ahmed Salim Abri akiwa na balozi Maziwa ya AsasNick Reynolds ‘Bongo Zozo’ wakizungumza na wandishi wa habari mkoani Iringa,mara baada ya kumtangaza rasmi Bongozozo kuwa balozi wa kampuni hiyo.
BALOZI wa kampuni ya Maziwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAZIWA YA ASAS DAIRIES LTD NDIO MAZIWA BORA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO ,MAKAMPUNI 30 YAACHWA MBALI

Afisa masoko wa kampuni ya maziwa ya Asas  Dairies Ltd ya mkoani Iringa Bw Jimy Kiwelu akishangilia baada ya  kampuni yake  kuwa ndio kampuni  bora ya uzalishaji maziwa nchini Tanzania katika mashindano yaliyofanyika mkoani mara Watoto  wa mkoa wa Mara  wakishangaa ubora wa maziwa ya Asas kutoka Iringa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani kulia na  viongozi  wengine wakifuatilia maonyesho hayo huku  wakifurahia ubora wa maziwa ya Asas Dairies Ltd.
Picha zaidi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MAZIWA YA ASAS WAWADHAMINI BAJAJI



Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akikata utepe kuzindua uandikishwaji wa madereva bajaji kuweza kukata bima ya afya ambapo wamedhaminiwa na kampuni ya maziwa ya Asas ambapo mkurugenzi wake Ahmed Salim Abri akiwa pembeni mwa kushoto kwal Lukuvi.Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akimkabidhi cheti cha...

 

5 years ago

Michuzi

SAO HILL: MAZIWA YA NYUKI YANA KINGA YA BINAADAM KUZEEKA



Mhifadhi wa shamba la Miti la Sao Hill kitengo cha Nyuki Wilayani Mufindi Said Abubakari moja kati ya mazao ya Nyuki katika shamba la miti la serikali ao Hill
Wavunaji wa mazo ya Nyuki katika shambva la miti la miti sao Hill Wilayani Mufindi

Baadhi ya waandishi mkoani Iringa wakifuatia zoezi la ufunaji wa mazao ya mdudu Nyuki


NA FREDY MGUNDA,MUFINDI.

WAKALA wa huduma za misitu Tanzania TFS kupitia shamba la miti la Sao hill Mkoani Iringa wanatarajia kuanzisha Mpango maalumu wa uvunaji wa sumu...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MAZIWA YA ASAS YAIPA JOWUTA Barakoa 1,000

Katibu Mkuu wa JOWUTA, Suleiman Msuya kulia akimkabidhi Mwakilishi wa MICHUZI MEDIA GROUP (MMG), Avila Kakingo barakoa kwaajili ya waandishi wa chombo chake cha habari jijini Dar es Salaam leo, ili waweze kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona (COVID 19) wawapo kazini.Katibu Mkuu wa JOWUTA, Suleiman Msuya kulia akimkabidhi Mwakilishi wa MICHUZI MEDIA GROUP (MMG), Avila Kakingo barakoa kwaajili ya waandishi wa chombo chake cha habari jijini Dar es Salaam leo, ili waweze kujikinga na...

 

11 years ago

Michuzi

MAZIWA YA ASAS YASHINDA TUZO MAONYESHO YA NANE NANE

Kikombe  cha ushindi  katika maonyesho ya nane nane  ambacho kampuni ya maziwa ya Asas ilipata Wananchi  Dodoma  wakiwa katika banda la Asas  wakati wa nane nane  kununua maziwa Nyani  aliyekuwepo katika maonyesha  wakulima nane nane  katika mikoa ya nyanda za juu kusini mkoani Mbeya akifurahia maziwa ya Asas 
Na Francis Godwin KAMPUNI ya Asas Dairies Ltd ya  mkoani Iringa imeibuka kidedea baada ya  kushinda tuzo  katika maonyesho ya wakulima nane nane  mkoani Arusha na Mbeya. Pia kampuni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Asas Dairies Ltd kwa mwaka wa tatu mfululizo yashikilia tuzo ya ubora, yazibwaga kampuni kongwe

Afisa masoko wa kampuni hiyo ya Asas Dairies Ltd Bw Jimmy Kiwelu (kulia)  akiwa na   wafanyakazi  wenzake baada ya  kutwaa tuzo ya ubora ya Kitaifa katika  bidhaa za Asas Dairies Ltd. Hii  ndio kampuni  iliyoweza  kushinda tuzo ya  ubora.

Medali  ,vyeti na  tuzo  ya ushindi ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena  mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.

blogger-image--1075361007

Vyeti na medali tatu ambazo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena.

Baadhi ya  bidhaa za kampuni ya Asas...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA UBORA ,YAZIBWAGA KAMPUNI KONGWE TENA WAZIRI KAMANI APONGEZA

Afisa masoko wa kampuni hiyo ya Asas Dairies Ltd Bw Jimmy Kiwelu (kulia)  akiwa na   wafanyakazi  wenzake baada ya  kutwaa tuzo ya ubora ya Kitaifa katika  bidhaa za Asas Dairies Ltd 
Hii  ndio kampuni  iliyoweza  kushinda tuzo ya  uboraMedali  ,vyeti na  tuzo  ya ushindi  ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena  mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.Kwa habari kamili BOFYA HAPA

 

9 years ago

Habarileo

‘Sampuli zina ubora wa kimataifa’

TAASISI ya Twaweza imesema inaziamini kwa asilimia 95 sampuli zilizotumika kukusanya taarifa ya utafiti kuhusu ‘Sauti za Wananchi’ kwenye siasa na kusisitiza kuwa sampuli hizo zina ubora wa kimataifa.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

TCRA yapata ubora wa kimataifa


NA RACHEL KYALA
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imepata cheti cha kiwango cha ubora kutoka Shirika la Viwango la Kimataifa (ISO), kutokana na  kukidhi vigezo vya utoaji huduma kwa jamii.
Akizungumza katika hafla ya kukabidhiwa cheti hicho, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Profesa John Nkoma, alisema mamlaka hiyo imepata cheti hicho kutokana na utendaji kazi wake katika kudhibiti sekta ya mawasiliano ikiwemo kujulikana kimataifa.
“Tulikwenda shule chini ya Shirika la Viwango Nchini (TBS),...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani