Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA UBORA ,YAZIBWAGA KAMPUNI KONGWE TENA WAZIRI KAMANI APONGEZA

Afisa masoko wa kampuni hiyo ya Asas Dairies Ltd Bw Jimmy Kiwelu (kulia)  akiwa na   wafanyakazi  wenzake baada ya  kutwaa tuzo ya ubora ya Kitaifa katika  bidhaa za Asas Dairies Ltd 
Hii  ndio kampuni  iliyoweza  kushinda tuzo ya  uboraMedali  ,vyeti na  tuzo  ya ushindi  ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena  mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.Kwa habari kamili BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Asas Dairies Ltd kwa mwaka wa tatu mfululizo yashikilia tuzo ya ubora, yazibwaga kampuni kongwe

Afisa masoko wa kampuni hiyo ya Asas Dairies Ltd Bw Jimmy Kiwelu (kulia)  akiwa na   wafanyakazi  wenzake baada ya  kutwaa tuzo ya ubora ya Kitaifa katika  bidhaa za Asas Dairies Ltd. Hii  ndio kampuni  iliyoweza  kushinda tuzo ya  ubora.

Medali  ,vyeti na  tuzo  ya ushindi ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena  mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.

blogger-image--1075361007

Vyeti na medali tatu ambazo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena.

Baadhi ya  bidhaa za kampuni ya Asas...

 

11 years ago

Michuzi

MAZIWA YA ASAS DAIRIES LTD NDIO MAZIWA BORA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO ,MAKAMPUNI 30 YAACHWA MBALI

Afisa masoko wa kampuni ya maziwa ya Asas  Dairies Ltd ya mkoani Iringa Bw Jimy Kiwelu akishangilia baada ya  kampuni yake  kuwa ndio kampuni  bora ya uzalishaji maziwa nchini Tanzania katika mashindano yaliyofanyika mkoani mara Watoto  wa mkoa wa Mara  wakishangaa ubora wa maziwa ya Asas kutoka Iringa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani kulia na  viongozi  wengine wakifuatilia maonyesho hayo huku  wakifurahia ubora wa maziwa ya Asas Dairies Ltd.
Picha zaidi...

 

10 years ago

Michuzi

CLOUDS FM YASHINDA TENA TUZO YA UBORA YA SUPERBRAND KWA MARA YA TATU AFRIKA MASHARIKI.

 Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville,Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba,Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance. Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana Jawad Jaffer akiwa na baadhi ya viongozi wa juu wa kampuni ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Clouds FM yashinda tena tuzo ya ubora ya Superbrand kwa mara ya tatu Afrika Mashariki

Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba, Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance.

Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana Jawad Jaffer akiwa na baadhi ya viongozi wa juu wa...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Kairuki apongeza kampuni ya Qwihaya kuwekeza mkoa wa Kigoma

Na Francis Godwin , Iringa WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu Uwekezaji Angellah Kairuki ameeleza kufurahishwa na kasi ya uwekezaji inayofanywa na kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd kwa kuwekeza viwanda vya nguzo katika mikoa mbali mbali ukiwemo mkoa wa Kigoma na kutaka wadau wengine kuelekeza nguvu zao katika mkoa wa Kigoma badala ya kuwekeza Dar es Salaam ,Dodoma na mikoa mingine ambayo ni rahisi kufikika .
Alisema...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ASAS YATOA MSAADA KWA MAMA LISHE


NA DENIS MLOWE-IRINGA
Katika kuendelea na mapambano dhidi ya kuenea kwa virusi vya corona nchini kampuni Asas yenye makao makuu mkoani Iringa imegawa msaada wa barakoa 500 kwa mama lishe wanaofanya biashara zao katika masoko matano yaliyoko manispaa ya Iringa kwa ajili ya kujinga na Virusi Vya Corona.
Msaada huo umetolewa kwa mama lishe hao ikiwa ni juhudi za kampuni hiyo kuungana na serikali katika kutokomeza kuenea kwa virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19 ambao umekuwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAIRUKI APONGEZA NA KUWATAKA WAWEKEAZAJI WA VIWANDA KUIGA MFANO WA KAMPUNI QWIHAYA

 

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd Leonard Maheda akimueleza jambo waziri Kairuki alipofanya ziara katika kiwanda hicho kilicho mkoani Iringa wilaya ya Mufindi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu,Uwekezaji Angellah Kairuki akitete jambo naMkurugenzi mtendaji wa kampuni ya uchakataji nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprises Company Ltd Leonard Maheda pamoja na mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato...

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ASAS YAPONGEZWA KWA MKAKATI NZURI WA KUKABILIANA NA CORONA

Mkurugenzi wa Kiwanda cha maziwa ya Asas Ahmed Asas akizungumza na waandishi habari mara baada ya kumalizika kwa kikao cha wadau wa afya walipokuwa wakijadili kuhusu kupambana na maambukizi ya virusi vya Corona


NA FREDY MGUNDA,IRINGA.

Serikali ya wilaya ya Iringa imeipongeza kampuni ya Asas kwa mikakati ambayo wanayo katika kuhakikisha wanajilinda na maambukizi ya virusi vya Corona ambavyo vimekuwa tishio kwa maisha ya binadamu. 
Akizungumza kwenye kikao cha wadau mkuu wa wilaya ya Iringa...

 

5 years ago

CCM Blog

MADEREVA BAJAJI IRINGA WATAJIRIKA KWA UDHAMINI WA KAMPUNI YA ASAS

 Mlezi wa umoja huo, Ahamed Asas aliwapongeza Umbi akisema unaundwa na vijana wenye hali ya kujiajiri, wanaoaminika na kutimiza ahadi zao pale wanaposaidiwaNA FREDY MGUNDA,IRINGA.
KAMPUNI ya Asas Group ya mjini Iringa imeudhamini Umoja wa Madereva Bajaj Iringa (UMBI) kupata mkopo wa zaidi ya Sh Milioni 650 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita-uliowawezesha kununua bajaj 97 zilizokopeshwa kwa mwanachama mmoja mmoja.


Kati ya bajaj hizo, bajaj 40 zenye thamani ya Sh 280 zilikabidhiwa juzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani