Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CLOUDS FM YASHINDA TENA TUZO YA UBORA YA SUPERBRAND KWA MARA YA TATU AFRIKA MASHARIKI.

 Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville,Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba,Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance. Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana Jawad Jaffer akiwa na baadhi ya viongozi wa juu wa kampuni ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Clouds FM yashinda tena tuzo ya ubora ya Superbrand kwa mara ya tatu Afrika Mashariki

Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba, Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance.

Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana Jawad Jaffer akiwa na baadhi ya viongozi wa juu wa...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA NBC YASHINDA TUZO YA SUPERBRAND AFRIKA MASHARIKI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (kulia) akipokea tuzo ya ubora ya Superbrand ya Afrika Mashariki  kutoka kwa Mkurugenzi Mradi wa Taasisi ya Superbrands Ukanda wa Afrika, Jawad Jaffer katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Kaimu Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NBC, Rukia Mtingwa.  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks akizungumza katika hafla hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Edward Marks (wa pili...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA UBORA ,YAZIBWAGA KAMPUNI KONGWE TENA WAZIRI KAMANI APONGEZA

Afisa masoko wa kampuni hiyo ya Asas Dairies Ltd Bw Jimmy Kiwelu (kulia)  akiwa na   wafanyakazi  wenzake baada ya  kutwaa tuzo ya ubora ya Kitaifa katika  bidhaa za Asas Dairies Ltd 
Hii  ndio kampuni  iliyoweza  kushinda tuzo ya  uboraMedali  ,vyeti na  tuzo  ya ushindi  ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena  mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.Kwa habari kamili BOFYA HAPA

 

10 years ago

Mtanzania

Clouds Media yang’ara tuzo za ubora

rugeNa Adam Mkwepu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Clouds Media Group imeendelea kung’ara katika tuzo za ubora na viwango vya bidhaa (superbrands) baada ya majumuisho na uchambuzi wa kina kufanyika.
Tuzo hiyo ya mwaka 2015-16 ilitolewa na Taasisi ya Uchambazi wa Viwango yenye makao makuu London Uingereza.
Utoaji wake kwa kampuni zinazohusikana kutoa huduma na kuzalisha bidhaa umeelezwa unazingatia ushauri wa wataalamu wa masoko na maoni ya watumiaji zaidi ya 600.
Akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

Vijimambo

BUSH KUONGOZA MAREKANI TENA KWA MARA YA TATU


Jeb Bush ni mwana wa rais George Bush na nduguye ya George W Bush waliokuwa marais wa Marekani
Aliyekuwa Gavana wa Florida kupitia tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Jeb Bush ameripotiwa kujiuzulu kutoka nyadhfa zake zote za bodi akijiandaa kuwania urais mwaka ujao.Gazeti la The WashingtonPost limenukuu ujumbe wake kutoka kwa msaidizi wake uliodai kwamba bwana Bush pia amejiuzulu katika bodi ya hazina yake ya elimu.Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 61 pia alitangaza mwezi...

 

11 years ago

Michuzi

BIA YA SAFARI LAGER YASHINDA TUZO LA UBORA KIMATAIFA 2014

Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu tuzo iliyopata hivi karibuni ya ubora wa kimataifa Dar es Salaam. Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akionyesha moja ya tuzo za dhahabu ilizowahi kupata wakati wa mkutano na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu tuzo iliyopata hivi karibuni ya ubora wa kimataifa Dar es Salaam.
Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo...

 

11 years ago

Michuzi

MAZIWA YA ASAS DAIRIES LTD NDIO MAZIWA BORA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO ,MAKAMPUNI 30 YAACHWA MBALI

Afisa masoko wa kampuni ya maziwa ya Asas  Dairies Ltd ya mkoani Iringa Bw Jimy Kiwelu akishangilia baada ya  kampuni yake  kuwa ndio kampuni  bora ya uzalishaji maziwa nchini Tanzania katika mashindano yaliyofanyika mkoani mara Watoto  wa mkoa wa Mara  wakishangaa ubora wa maziwa ya Asas kutoka Iringa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani kulia na  viongozi  wengine wakifuatilia maonyesho hayo huku  wakifurahia ubora wa maziwa ya Asas Dairies Ltd.
Picha zaidi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bia ya Kibo Gold Lager ya SBL yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya ubora duniani ya Monde Selection

l

Na Mwandishi wetu

BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa. 

‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji....

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Asas Dairies Ltd kwa mwaka wa tatu mfululizo yashikilia tuzo ya ubora, yazibwaga kampuni kongwe

Afisa masoko wa kampuni hiyo ya Asas Dairies Ltd Bw Jimmy Kiwelu (kulia)  akiwa na   wafanyakazi  wenzake baada ya  kutwaa tuzo ya ubora ya Kitaifa katika  bidhaa za Asas Dairies Ltd. Hii  ndio kampuni  iliyoweza  kushinda tuzo ya  ubora.

Medali  ,vyeti na  tuzo  ya ushindi ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena  mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.

blogger-image--1075361007

Vyeti na medali tatu ambazo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda  tena.

Baadhi ya  bidhaa za kampuni ya Asas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani