CLOUDS FM YASHINDA TENA TUZO YA UBORA YA SUPERBRAND KWA MARA YA TATU AFRIKA MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s72-c/5.jpg)
Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville,Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba,Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance.
Mkuu wa Kitengo cha Idara ya Uchambuzi wa viwango Afrika Mashariki,Bwana Jawad Jaffer akiwa na baadhi ya viongozi wa juu wa kampuni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 May
Clouds FM yashinda tena tuzo ya ubora ya Superbrand kwa mara ya tatu Afrika Mashariki
![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s1600/5.jpg)
Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba, Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance.
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCthXoIYQC8/VUCiHiSTPPI/AAAAAAAHT_g/ViYtsWFmkrg/s1600/_MG_0868.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V08ahUUEp1U/VYFNQ0dqQXI/AAAAAAAHgZ0/-ElwsDN4Uoo/s72-c/01.jpeg)
BENKI YA NBC YASHINDA TUZO YA SUPERBRAND AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-V08ahUUEp1U/VYFNQ0dqQXI/AAAAAAAHgZ0/-ElwsDN4Uoo/s640/01.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SdFF2fqviVw/VYFNQlTsn5I/AAAAAAAHgZw/dQ-2iOCdNyE/s640/02.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KAALie30jgw/VYFNQfRmrGI/AAAAAAAHgZs/jsWiz9z0O_c/s640/03..jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s72-c/blogger-image--1990319810.jpg)
KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA UBORA ,YAZIBWAGA KAMPUNI KONGWE TENA WAZIRI KAMANI APONGEZA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s640/blogger-image--1990319810.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hu7bI-xcrDI/VXgzNZhV3pI/AAAAAAAB9kk/CP-0xXS3x-w/s640/blogger-image-1808652216.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fr4V4xm3ZkM/VXgy6EPLKRI/AAAAAAAB9j8/qCw_lVL3whE/s640/blogger-image--1152033488.jpg)
10 years ago
Mtanzania30 Apr
Clouds Media yang’ara tuzo za ubora
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Clouds Media Group imeendelea kung’ara katika tuzo za ubora na viwango vya bidhaa (superbrands) baada ya majumuisho na uchambuzi wa kina kufanyika.
Tuzo hiyo ya mwaka 2015-16 ilitolewa na Taasisi ya Uchambazi wa Viwango yenye makao makuu London Uingereza.
Utoaji wake kwa kampuni zinazohusikana kutoa huduma na kuzalisha bidhaa umeelezwa unazingatia ushauri wa wataalamu wa masoko na maoni ya watumiaji zaidi ya 600.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Vijimambo02 Jan
BUSH KUONGOZA MAREKANI TENA KWA MARA YA TATU
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/16/141216162740_jeb_bush_brother_of_george_bush_640x360_afp_nocredit.jpg)
Aliyekuwa Gavana wa Florida kupitia tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Jeb Bush ameripotiwa kujiuzulu kutoka nyadhfa zake zote za bodi akijiandaa kuwania urais mwaka ujao.Gazeti la The WashingtonPost limenukuu ujumbe wake kutoka kwa msaidizi wake uliodai kwamba bwana Bush pia amejiuzulu katika bodi ya hazina yake ya elimu.Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 61 pia alitangaza mwezi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-icxoB0KrQmI/U4dvzr_41AI/AAAAAAAFmUI/PSglYTQrW5g/s72-c/unnamed.jpg)
BIA YA SAFARI LAGER YASHINDA TUZO LA UBORA KIMATAIFA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-icxoB0KrQmI/U4dvzr_41AI/AAAAAAAFmUI/PSglYTQrW5g/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oe3dbXMrJTE/U4dwAln2YxI/AAAAAAAFmUQ/O6828cn9K8c/s1600/unnamed.jpg)
Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo...
11 years ago
Michuzi08 Jun
MAZIWA YA ASAS DAIRIES LTD NDIO MAZIWA BORA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UBORA KWA MIAKA MIWILI MFULULIZO ,MAKAMPUNI 30 YAACHWA MBALI
![](https://3.bp.blogspot.com/-aFc38PQQofU/U5Rerz75knI/AAAAAAABpDA/JzbQQ9hwuog/s640/IMG-20140608-WA0009.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-T70C-dEoBN8/U5RexZ66_CI/AAAAAAABpDI/PTmOVQhgpa0/s640/IMG-20140608-WA0017.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-2wihN_Rl-G8/U5Re0Fsrk8I/AAAAAAABpDQ/n7Juk5lQjs8/s640/IMG-20140608-WA0018.jpg)
Picha zaidi...
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Bia ya Kibo Gold Lager ya SBL yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya ubora duniani ya Monde Selection
Na Mwandishi wetu
BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa.
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji....
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Kampuni ya Asas Dairies Ltd kwa mwaka wa tatu mfululizo yashikilia tuzo ya ubora, yazibwaga kampuni kongwe
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hu7bI-xcrDI/VXgzNZhV3pI/AAAAAAAB9kk/CP-0xXS3x-w/s640/blogger-image-1808652216.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fr4V4xm3ZkM/VXgy6EPLKRI/AAAAAAAB9j8/qCw_lVL3whE/s640/blogger-image--1152033488.jpg)
Medali ,vyeti na tuzo ya ushindi ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda tena mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.
Vyeti na medali tatu ambazo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda tena.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-meOkZRHnyBs/VXgX3u_BcOI/AAAAAAAB9jk/HyLEx-Gjc-c/s640/blogger-image--833356817.jpg)