BIA YA SAFARI LAGER YASHINDA TUZO LA UBORA KIMATAIFA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-icxoB0KrQmI/U4dvzr_41AI/AAAAAAAFmUI/PSglYTQrW5g/s72-c/unnamed.jpg)
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu tuzo iliyopata hivi karibuni ya ubora wa kimataifa Dar es Salaam.
Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akionyesha moja ya tuzo za dhahabu ilizowahi kupata wakati wa mkutano na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu tuzo iliyopata hivi karibuni ya ubora wa kimataifa Dar es Salaam.
Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziBIA YA SAFARI LAGER NA NDOVU SPECIAL MALT ZAREJEA NCHINI NA TUZO YA UBORA WA KIMATAIFA 2014 “INTERNATIONAL HIGH QUALITY TROPHY”
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Bia ya Kibo Gold Lager ya SBL yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya ubora duniani ya Monde Selection
Na Mwandishi wetu
BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa.
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HBmK1G7G_q0/VBAniDmHwTI/AAAAAAACqds/B4ZwnUa7zJ4/s72-c/DSC_0855.jpg)
BIA YA KIBO GOLD LAGER YA SERENGETI BREWERIES LTD YASHINDA TUZO YA MEDALI YA DHAHABU YA UBORA DUNIANI YA MONDE SELECTION.
![](http://4.bp.blogspot.com/-HBmK1G7G_q0/VBAniDmHwTI/AAAAAAACqds/B4ZwnUa7zJ4/s1600/DSC_0855.jpg)
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji. Bidhaa hizo...
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Bia ya Kibo Gold yashinda tuzo
BIA ya Kibo Gold imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa katika sherehe za 53 za kila...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ReuTOx5h8cE/VFICIU8hWPI/AAAAAAAGuJs/CacIWcGGbnc/s72-c/DSCF0081.jpg)
SAFARI LAGER YAZINDUA RASMI PROGAMU YAKE YA “SAFARI LAGER WEZESHWA” KWA MSIMU 4 JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ReuTOx5h8cE/VFICIU8hWPI/AAAAAAAGuJs/CacIWcGGbnc/s1600/DSCF0081.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D0YseoIFta0/VFICIJz6vwI/AAAAAAAGuJo/g6I5j5mxTVU/s1600/DSCF0093.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-u1qQby7lzpg/VKxglk947LI/AAAAAAAG7wg/MDI0-uKW3cI/s72-c/unnamedn1.jpg)
SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI UPATIKANAJI WA FOMU ZA PROGAMU YA SAFARI LAGER WEZESHWA MSIMU IV
Fomu hizo zichukuliwe, zijazwe na kurejeshwa kwenye vituo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s72-c/5.jpg)
CLOUDS FM YASHINDA TENA TUZO YA UBORA YA SUPERBRAND KWA MARA YA TATU AFRIKA MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCthXoIYQC8/VUCiHiSTPPI/AAAAAAAHT_g/ViYtsWFmkrg/s1600/_MG_0868.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 May
Clouds FM yashinda tena tuzo ya ubora ya Superbrand kwa mara ya tatu Afrika Mashariki
![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s1600/5.jpg)
Picha ya pamoja ya baadhi ya makapuni binafsi waliopewa tuzo bora za viwango,kutoka shoto ni Bi.Dorothy Mashamsham kutoka kampuni ya Mafuta ya PetrolFuel,Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One Bi Joyce Mhaville, Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi Clouds Media Group Bwa.Ruge Mutahaba, Meneja Masoko Bwa. Elisa Ernest kutoka kampuni ya bima ya Alliance Insurance.
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCthXoIYQC8/VUCiHiSTPPI/AAAAAAAHT_g/ViYtsWFmkrg/s1600/_MG_0868.jpg)
9 years ago
Habarileo23 Sep
Mjunita yashinda tuzo ya kimataifa
MTANDAO wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjunita), umetangazwa kuwa miongoni mwa asasi 21 zilizoshinda tuzo ya Ikweta (Equator Prize) kwa mwaka huu.