Bia ya Kibo Gold yashinda tuzo
BIA ya Kibo Gold imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa katika sherehe za 53 za kila...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Bia ya Kibo Gold Lager ya SBL yashinda tuzo ya medali ya dhahabu ya ubora duniani ya Monde Selection
Na Mwandishi wetu
BIA ya Kibo Gold Lager imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa wakati wa sherehe za 53 za kila mwaka zilizofanyika huko Bordeaux, Ufaransa.
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HBmK1G7G_q0/VBAniDmHwTI/AAAAAAACqds/B4ZwnUa7zJ4/s72-c/DSC_0855.jpg)
BIA YA KIBO GOLD LAGER YA SERENGETI BREWERIES LTD YASHINDA TUZO YA MEDALI YA DHAHABU YA UBORA DUNIANI YA MONDE SELECTION.
![](http://4.bp.blogspot.com/-HBmK1G7G_q0/VBAniDmHwTI/AAAAAAACqds/B4ZwnUa7zJ4/s1600/DSC_0855.jpg)
‘Monde Selection’ ni tuzo zinazotolewa kila mwaka tangu mwaka 1961, kwa ajili ya bidhaa za vinywaji na chakula. Huendeshwa na kampuni ya Biashara ijulikanayo kama ‘International Institute for Quality Selections’ ya Brussels, Ubelgiji. Bidhaa hizo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-icxoB0KrQmI/U4dvzr_41AI/AAAAAAAFmUI/PSglYTQrW5g/s72-c/unnamed.jpg)
BIA YA SAFARI LAGER YASHINDA TUZO LA UBORA KIMATAIFA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-icxoB0KrQmI/U4dvzr_41AI/AAAAAAAFmUI/PSglYTQrW5g/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oe3dbXMrJTE/U4dwAln2YxI/AAAAAAAFmUQ/O6828cn9K8c/s1600/unnamed.jpg)
Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo...
9 years ago
Habarileo23 Sep
Mjunita yashinda tuzo ya kimataifa
MTANDAO wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjunita), umetangazwa kuwa miongoni mwa asasi 21 zilizoshinda tuzo ya Ikweta (Equator Prize) kwa mwaka huu.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
'Game of thrones' yashinda tuzo za Emmy
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Picha ya bweha yashinda tuzo ya mwaka
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kgdHhvkhuT0/U2j5fHnq3tI/AAAAAAAFf7o/nPmTFZCrios/s72-c/6567_i3nGUIb9_o.jpg)
Vodacom yashinda tuzo ya Usalama na Afya kazini
![](http://1.bp.blogspot.com/-kgdHhvkhuT0/U2j5fHnq3tI/AAAAAAAFf7o/nPmTFZCrios/s1600/6567_i3nGUIb9_o.jpg)
Tuzo hiyo inayotolewa na Mamlaka ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Nchini (OSHA) imetolewa wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Duniani ambapo kitaifa ilifanyika jijini Dar es salaam wiki...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1J3ekpyUxOI/VEU1m9ZqKJI/AAAAAAAGsDs/0YwnjquELZI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
FILAMU YA DOGO MASAI YASHINDA TUZO MAREKANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1J3ekpyUxOI/VEU1m9ZqKJI/AAAAAAAGsDs/0YwnjquELZI/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
FILAMU ya kitanzania ya Dogo Masai iliyotengenezwa na kuongozwa na muongozaji Timoth Conrad ‘Tico’ imeibuka kidedea baada ya kushinda katika tuzo za Silcon Valley African Film Festival (SVAFF) kama Filamu Bora kutengenezwa Afrika (The best African Production Movie ) tuzo hizi zimetolewa California Marekani.
Mtayarishaji wa filamu hiyo Timoth kupitia kampuni yake ya Timamu African Media amesema ushindi huo ni wa Tanzania ndio maana hata kama hakupewa Support na taasisi...
9 years ago
VijimamboNGO YA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA