Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vodacom yashinda tuzo ya Usalama na Afya kazini

Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeshinda tuzo ya nafasi ya kwanza ya Usalama na Afya Mahala pa kazi kwa mwaka 2014 kwa upande wa sekta ya mawasilinao ikiwa ni mara ya kwanza kwa kampuni hiyo kushinda tuzo hiyo tangu ilipoanzishwa mwaka 2000.
Tuzo hiyo inayotolewa na Mamlaka ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Nchini (OSHA) imetolewa wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Duniani ambapo kitaifa ilifanyika jijini Dar es salaam wiki...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

OSHA, WENYE VIWANDA WAJADILI UTEKELEZAJI WA SHERIA YA AFYA NA USALAMA KAZINI

Viongozi wa Shirikisho la Wenye Viwanda (CTI) wametembelea ofisi za Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kwa lengo la kujadiliana na wenyeji wao namna bora zaidi ya kuboresha mifumo ya usalama na afya katika viwanda hapa nchini.

Ujumbe huo wa viongozi kutoka CTI ambao ulijumuisha baadhi ya wawakilishi wa wanachama wa CTI uliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa shirikisho hilo, Bw. Leodgar Tenga.Akizungumza baada ya kuhitimisha kikao hicho, Tenga amesema madhumuni ya kikao yalikuwa ni...

 

5 years ago

Michuzi

DC ayataka makampuni mafuta na gesi kuimarisha mifumo ya usalama na afya kazini

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Bi. Sarah Msafiri akiongea na wadau wa Mafuta na gesi (ambao hawapo pichani), Kikao kilichofanyika Ofisi za Mkuu wa Wilaya Kigamboni kwaajili ya kujadiliana masuala ya usalama na afya mahali pa kazi kwa wanyafanyakazi wa sekta hiyo.

Kaimu Mtendaji Mkuu wa OSHA Bi Khadija Mwenda akiongea kwenye Kikao na wadau wa mafuta na gesi, kwenye kikao cha Kujadiliana masuala ya utekelezaji wa masula ya usalama na Afya kwenye sekta hiyo, kilichofanyika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA

Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Mhe. Pereira Ame Silima (Mb.) (wa kwanza toka kushoto) akimweleza jambo Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania, Abigail Ambweni (wa tatu toka kushoto) wakati Baraza hili lilipotia saini makubaliano na kampuni hiyo kuendeleza ushirikiano katika kampeni za usalama barabarani ambazo Vodacom imekuwa ikidhamini tangu mwaka 2014. Akisikiliza pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza hilo na Kamanda...

 

9 years ago

Habarileo

Mjunita yashinda tuzo ya kimataifa

MTANDAO wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjunita), umetangazwa kuwa miongoni mwa asasi 21 zilizoshinda tuzo ya Ikweta (Equator Prize) kwa mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Picha ya bweha yashinda tuzo ya mwaka

Picha ya bweha imeshinda tuzo mashuhuri ya Mpiga picha wa Wanyamapori aliye Bora wa Mwaka 2015.

 

9 years ago

BBCSwahili

'Game of thrones' yashinda tuzo za Emmy

Tamasha kubwa la kila mwaka Emmys Awards, la kutoa tuzo kwa vipindi vya televisheni limefanyika mjini Los Angeles Marekani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bia ya Kibo Gold yashinda tuzo

BIA ya Kibo Gold imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa katika sherehe za 53 za kila...

 

10 years ago

Michuzi

FILAMU YA DOGO MASAI YASHINDA TUZO MAREKANI

Na Myovela Mfwaisa TCA.
FILAMU  ya kitanzania ya Dogo Masai iliyotengenezwa na kuongozwa na muongozaji Timoth Conrad ‘Tico’ imeibuka kidedea baada ya kushinda katika tuzo za Silcon Valley African Film Festival (SVAFF) kama Filamu Bora kutengenezwa Afrika (The best African Production Movie ) tuzo hizi zimetolewa California Marekani.
Mtayarishaji wa filamu hiyo Timoth kupitia kampuni yake ya Timamu African Media amesema ushindi huo ni wa Tanzania ndio maana hata kama hakupewa Support na taasisi...

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHINDA TUZO YA UTALII NCHINI INDIA




Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda (kulia) akipokea Tuzo ya Utalii baada ya Tanzania kuibuka mshindi kwa kuonekana ni eneo bora zaidi la Utalii wa Wanyamapori duniani nchini India kwa mwaka 2020 (The Best International Wildlife Destination) iliyotangazwa katika hafla ya kutoa tuzo hizo zilizotolewa na Jarida la Utalii la "Outlook Traveller Magazine" na kufanyika katika Hoteli ya Rossette jijini New Delhi, India tarehe 22 Februari 2020.

Mhe. Balozi Luvanda akifuatilia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani