Picha ya bweha yashinda tuzo ya mwaka
Picha ya bweha imeshinda tuzo mashuhuri ya Mpiga picha wa Wanyamapori aliye Bora wa Mwaka 2015.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Tigo yashinda tuzo ya mwajiri bora wa mwaka
Naibu Mkuu wa Rasilmali Watu nwa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Doris Luvanda akipokea kikombe cha mshindi wa mwajiri bora wa mwaka 2015 kutoka kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa kuhitimisha hafla hiyo. Kulia ni Katibu mkuu Dkt Florens Turuka na mwenyekiti wa ATE Almas Maige, Mkuu wa Mkoa wa DSM Said Meck Sadiki na Mkurugenzi wa ATE Dkt Aggrey Mlimuka.
Maadili ya kazi yanayoonyeshwa na wafanyakazi wa kampuni ya simu ya mikononi ya Tigo Tanzania pamoja na juhudi zinazohitajika...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL Group yashinda tuzo ya mwajiri bora mwaka 2015
Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa (kulia) akimkabidhi kombe la tuzo ya mwajiri bora kwa Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese (Kushoto) katika hafla iliyoandaliwa na Chama Cha Waajiri Tanzania na kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City mwishoni mwa wiki ambapo TBL iliibuka kwa mshindi wa tuzo hiyo kwa mwaka 2015,(katikati) ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck sadiki.
Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese akionyesha kombe la tuzo ya mwajiri bora...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC_0716.jpg)
MeTL YASHINDA TUZO 3 ZA RAIS ZA WATENGENEZAJI BIDHAA KWA MWAKA 2013
9 years ago
Habarileo23 Sep
Mjunita yashinda tuzo ya kimataifa
MTANDAO wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjunita), umetangazwa kuwa miongoni mwa asasi 21 zilizoshinda tuzo ya Ikweta (Equator Prize) kwa mwaka huu.
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Bia ya Kibo Gold yashinda tuzo
BIA ya Kibo Gold imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa katika sherehe za 53 za kila...
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
'Game of thrones' yashinda tuzo za Emmy
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s72-c/INDIA1.jpg)
TANZANIA YASHINDA TUZO YA UTALII NCHINI INDIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s640/INDIA1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uyvoSviojYQ/XlLOo8yiuyI/AAAAAAAA91c/x7elC_BiY3kjIlNUXu1vU6nU9iBPg6g1gCLcBGAsYHQ/s640/INDIA2.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda (kulia) akipokea Tuzo ya Utalii baada ya Tanzania kuibuka mshindi kwa kuonekana ni eneo bora zaidi la Utalii wa Wanyamapori duniani nchini India kwa mwaka 2020 (The Best International Wildlife Destination) iliyotangazwa katika hafla ya kutoa tuzo hizo zilizotolewa na Jarida la Utalii la "Outlook Traveller Magazine" na kufanyika katika Hoteli ya Rossette jijini New Delhi, India tarehe 22 Februari 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1LPfrjx1_EY/XlLOwmNPniI/AAAAAAAA91k/w2BM0Cb3S18bPsbyzw0hyt8jnqPMHFcdACLcBGAsYHQ/s640/INDIA4.jpg)
Mhe. Balozi Luvanda akifuatilia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kgdHhvkhuT0/U2j5fHnq3tI/AAAAAAAFf7o/nPmTFZCrios/s72-c/6567_i3nGUIb9_o.jpg)
Vodacom yashinda tuzo ya Usalama na Afya kazini
![](http://1.bp.blogspot.com/-kgdHhvkhuT0/U2j5fHnq3tI/AAAAAAAFf7o/nPmTFZCrios/s1600/6567_i3nGUIb9_o.jpg)
Tuzo hiyo inayotolewa na Mamlaka ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Nchini (OSHA) imetolewa wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Duniani ambapo kitaifa ilifanyika jijini Dar es salaam wiki...