Mjunita yashinda tuzo ya kimataifa
MTANDAO wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjunita), umetangazwa kuwa miongoni mwa asasi 21 zilizoshinda tuzo ya Ikweta (Equator Prize) kwa mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-icxoB0KrQmI/U4dvzr_41AI/AAAAAAAFmUI/PSglYTQrW5g/s72-c/unnamed.jpg)
BIA YA SAFARI LAGER YASHINDA TUZO LA UBORA KIMATAIFA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-icxoB0KrQmI/U4dvzr_41AI/AAAAAAAFmUI/PSglYTQrW5g/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oe3dbXMrJTE/U4dwAln2YxI/AAAAAAAFmUQ/O6828cn9K8c/s1600/unnamed.jpg)
Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo...
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Tigo yashinda tuzo ya huduma bora ya kibunifu katika kutuma na kupokea fedha kimataifa
Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez.
Tigo Tanzania imeshinda tuzo ya “Huduma Bora ya Kibunifu” kutokana na huduma yake ya kutuma na kupokea fedha kimataifa kati ya Tigo Pesa Tanzania na Tigo Cash Rwanda katika kongamano na maonyesho ya kimawasiliano barani Afrika ijulikanayo kama AfricaCom iliyofanyika Cape Town, Afrika Kusini hivi karibuni.
Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez, alisema kwamba tuzo hii ni matokeo ya kuwa na mwaka wenye mafanikio tele katika huduma zake...
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Bia ya Kibo Gold yashinda tuzo
BIA ya Kibo Gold imechaguliwa kuwa mshindi wa medali ya dhahabu kwa ubora duniani inayotolewa na ‘Monde Selection’. Kibo ilipokea utambulisho huo wa kimataifa katika sherehe za 53 za kila...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Picha ya bweha yashinda tuzo ya mwaka
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
'Game of thrones' yashinda tuzo za Emmy
9 years ago
VijimamboNGO YA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kgdHhvkhuT0/U2j5fHnq3tI/AAAAAAAFf7o/nPmTFZCrios/s72-c/6567_i3nGUIb9_o.jpg)
Vodacom yashinda tuzo ya Usalama na Afya kazini
![](http://1.bp.blogspot.com/-kgdHhvkhuT0/U2j5fHnq3tI/AAAAAAAFf7o/nPmTFZCrios/s1600/6567_i3nGUIb9_o.jpg)
Tuzo hiyo inayotolewa na Mamlaka ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Nchini (OSHA) imetolewa wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya Usalama na Afya Mahala pa kazi Duniani ambapo kitaifa ilifanyika jijini Dar es salaam wiki...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Tigo yashinda tuzo ya mwajiri bora wa mwaka
Naibu Mkuu wa Rasilmali Watu nwa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Doris Luvanda akipokea kikombe cha mshindi wa mwajiri bora wa mwaka 2015 kutoka kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa kuhitimisha hafla hiyo. Kulia ni Katibu mkuu Dkt Florens Turuka na mwenyekiti wa ATE Almas Maige, Mkuu wa Mkoa wa DSM Said Meck Sadiki na Mkurugenzi wa ATE Dkt Aggrey Mlimuka.
Maadili ya kazi yanayoonyeshwa na wafanyakazi wa kampuni ya simu ya mikononi ya Tigo Tanzania pamoja na juhudi zinazohitajika...