NGO YA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
Bi. Helen Clark, Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ( UNDP) akiwatangaza washindi wa Tuzo ya Ikweta ambayo hutolewa na Umoja Mataifa kwa NGO ambazo zinajihusisha na utunzaji wa mazingira, ulinzi na uhifadhi wa misitu, matumizi bora na endelevu ya ardhi na mali asili na kupiga vita umaskini. Tuzo ya mwaka huu wa 2015 ambayo ni dola za kimarekani 10, 000 kwa kila mshindi inakwenda kwa NGO 21 ambapo NGO ya Tanzania ijulikanayo kama Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L0avcRS0xcA/VgD5VIiYDaI/AAAAAAAH6vw/5XcYrx_-JzI/s72-c/unnamed.jpg)
NGO YA TANZANIA Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Tanzania yang’ara Kimataifa,Asasi yake yatwaa tuzo ya Ikweta 2015 zinazotolewa na Umoja wa Mataifa-UN
Bi. Helen Clark, Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa ( UNDP) akiwatangaza washindi wa Tuzo ya Ikweta ambayo hutolewa na Umoja Mataifa kwa NGO ambazo zinajihusisha na utunzaji wa mazingira, ulinzi na uhifadhi wa misitu, matumizi bora na endelevu ya ardhi na mali asili na kupiga vita umaskini.Tuzo ya mwaka huu wa 2015 ambayo ni dola za kimarekani 10, 000 kwa kila mshindi inakwenda kwa NGO 21 ambapo NGO ya Tanzania ijulikanayo kama Mtandao wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu...
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Umoja wa Mataifa waibuka kidedea katika uhabarishaji na utoaji elimu kwenye tuzo za maonyesho ya 39 ya Sabasaba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkadhi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) cheti na tuzo katika kipengele cha Uelimishaji bora kupitia Uandishi wa machapisho na mpangilio bora wa maonyesho, baada ya Umoja wa Mataifa kuibuka mshindi wa kwanza katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba yalipozinduliwa rasmi. Wanaoshuhudia tukio hilo...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_01781.jpg)
UMOJA WA MATAIFA WAIBUKA KIDEDEA KATIKA UHABARISHAJI NA UTOAJI ELIMU KWENYE TUZO ZA MAONYESHO YA 39 YA SABASABA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s72-c/INDIA1.jpg)
TANZANIA YASHINDA TUZO YA UTALII NCHINI INDIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s640/INDIA1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uyvoSviojYQ/XlLOo8yiuyI/AAAAAAAA91c/x7elC_BiY3kjIlNUXu1vU6nU9iBPg6g1gCLcBGAsYHQ/s640/INDIA2.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda (kulia) akipokea Tuzo ya Utalii baada ya Tanzania kuibuka mshindi kwa kuonekana ni eneo bora zaidi la Utalii wa Wanyamapori duniani nchini India kwa mwaka 2020 (The Best International Wildlife Destination) iliyotangazwa katika hafla ya kutoa tuzo hizo zilizotolewa na Jarida la Utalii la "Outlook Traveller Magazine" na kufanyika katika Hoteli ya Rossette jijini New Delhi, India tarehe 22 Februari 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1LPfrjx1_EY/XlLOwmNPniI/AAAAAAAA91k/w2BM0Cb3S18bPsbyzw0hyt8jnqPMHFcdACLcBGAsYHQ/s640/INDIA4.jpg)
Mhe. Balozi Luvanda akifuatilia...
9 years ago
Bongo514 Dec
EFM yashinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] 2015
![1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1-300x194.jpg)
Kituo cha redio cha EFM cha Dar es Salaam, kimeshinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] zinazotolewa na taasisi maarufu ya Purple Cow.
Utoaji wa tuzo hizo ulifanyika Ijumaa iliyopita kwenye hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro. Katika kipengele cha Kituo Bora cha Redio mwaka 2015, nafasi ya pili ilikamatwa na TBC Taifa.
Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa EFM, Dennis Ssebo amesema ushindi huo una maana kubwa kwao.
“Sina wasiwasi kwa mafanikio haya kwasababu juhudi zetu zinajidhihirisha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tOA0NzDXlTA/UxjoZ1ZKDUI/AAAAAAAFRmA/eUrb2P2Fr60/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Umoja wa Mataifa wainua wanawake Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-tOA0NzDXlTA/UxjoZ1ZKDUI/AAAAAAAFRmA/eUrb2P2Fr60/s1600/unnamed+(10).jpg)
Dunia ikiwa inaelekea kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Umoja wa Mataifa uko mstari wa mbele kuwawezesha wanawake katika maeneo mbalimbali ikiwamo afya ya uzazi, mazingira na hata kuwajengea uwezo wa kujiamini.
Nchini Tanzania Umoja huo kupitia chama cha umoja wa Mataifa cha vijana YUNA umejikita katika kutoa elimu na miongonimwa walionufaika ni Chantal Mwango'nda ambaye amemweleza Joseph Msami wa idhaa hii katika mahojino maalum nmna YUNA ilivyomjengea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_1_m6HFOZaA/VI-pW1TxeBI/AAAAAAAG3b8/IPRH3k5Ai0w/s72-c/sh1.jpg)
Nahodha atembelea ubalzi wa Tanzania Umoja wa Mataifa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_1_m6HFOZaA/VI-pW1TxeBI/AAAAAAAG3b8/IPRH3k5Ai0w/s1600/sh1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bUI0xGdDOxw/VI-pXNNLtzI/AAAAAAAG3cA/1g_usDnMzs8/s1600/sh2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Krniecer6Fo/VWEld00azrI/AAAAAAAHZb8/8ZO37qCYmRc/s72-c/un5.jpg)
TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA WIKI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Krniecer6Fo/VWEld00azrI/AAAAAAAHZb8/8ZO37qCYmRc/s640/un5.jpg)