EFM yashinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] 2015
Kituo cha redio cha EFM cha Dar es Salaam, kimeshinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] zinazotolewa na taasisi maarufu ya Purple Cow.
Utoaji wa tuzo hizo ulifanyika Ijumaa iliyopita kwenye hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro. Katika kipengele cha Kituo Bora cha Redio mwaka 2015, nafasi ya pili ilikamatwa na TBC Taifa.
Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa EFM, Dennis Ssebo amesema ushindi huo una maana kubwa kwao.
“Sina wasiwasi kwa mafanikio haya kwasababu juhudi zetu zinajidhihirisha...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/L7nuCPaUTek/default.jpg)
10 years ago
GPLTANZANIA AWARDS INTERNATIONAL LTD KUTOA ‘TUZO YA JAMII’ APRILI 2015
9 years ago
Vijimambo21 Sep
Presidential Leadership Awards hosted by GPS and African Leadership Magazine
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12004783_1676349259255066_4539426065247233460_n.jpg?oh=6def51334c9015c2f785fa24007d886a&oe=5660C0A0)
Fun and Inspiration, celebrating great leadership @ Presidential Leadership Awards hosted by GPS and African Leadership Magazine. In attendance : President Hage Geinbgob of Namibia, Vice President Isatou Njie Saidy of The Gambia representing the Head of State and other great leaders from United States Congress including Honorable John Lewis, Martin Luther King III, Hank Johnson and more. Congratulations once more to GPS and African Leadership Magazine and Thanks to the dynamic Ms Nene Barry...
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL Group yashinda tuzo ya mwajiri bora mwaka 2015
Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa (kulia) akimkabidhi kombe la tuzo ya mwajiri bora kwa Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese (Kushoto) katika hafla iliyoandaliwa na Chama Cha Waajiri Tanzania na kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City mwishoni mwa wiki ambapo TBL iliibuka kwa mshindi wa tuzo hiyo kwa mwaka 2015,(katikati) ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck sadiki.
Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa TBL Group, David Magese akionyesha kombe la tuzo ya mwajiri bora...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L0avcRS0xcA/VgD5VIiYDaI/AAAAAAAH6vw/5XcYrx_-JzI/s72-c/unnamed.jpg)
NGO YA TANZANIA Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s72-c/INDIA1.jpg)
TANZANIA YASHINDA TUZO YA UTALII NCHINI INDIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DrYLNicQ668/XlLOkqvR1yI/AAAAAAAA91Y/92i0UTSGURwuZZbqobXUVf3zfC-TSwQCwCLcBGAsYHQ/s640/INDIA1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uyvoSviojYQ/XlLOo8yiuyI/AAAAAAAA91c/x7elC_BiY3kjIlNUXu1vU6nU9iBPg6g1gCLcBGAsYHQ/s640/INDIA2.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda (kulia) akipokea Tuzo ya Utalii baada ya Tanzania kuibuka mshindi kwa kuonekana ni eneo bora zaidi la Utalii wa Wanyamapori duniani nchini India kwa mwaka 2020 (The Best International Wildlife Destination) iliyotangazwa katika hafla ya kutoa tuzo hizo zilizotolewa na Jarida la Utalii la "Outlook Traveller Magazine" na kufanyika katika Hoteli ya Rossette jijini New Delhi, India tarehe 22 Februari 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1LPfrjx1_EY/XlLOwmNPniI/AAAAAAAA91k/w2BM0Cb3S18bPsbyzw0hyt8jnqPMHFcdACLcBGAsYHQ/s640/INDIA4.jpg)
Mhe. Balozi Luvanda akifuatilia...
9 years ago
VijimamboNGO YA TANZANIA YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/U1Ua-UYnFYo/default.jpg)
9 years ago
Bongo508 Sep
Washindi wa tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (Orodha kamili)