TANZANIA AWARDS INTERNATIONAL LTD KUTOA ‘TUZO YA JAMII’ APRILI 2015
Mwenyekiti wa Tanzania Awards International Ltd,  Deonatus Julius Malegesi (kushoto) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Mkuu wa kitengo cha Utafiti, Nyaraka na Majadiliano, Sylivester Mayunga,  akitoa ufafanuzi baada ya kuulizwa swali na wanahabari. Wanahabari wakiwa kazini kwenye hafla hiyo. KAMPUNI  ya Tanzania…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/L7nuCPaUTek/default.jpg)
9 years ago
Bongo514 Dec
EFM yashinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] 2015
![1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1-300x194.jpg)
Kituo cha redio cha EFM cha Dar es Salaam, kimeshinda tuzo za Tanzania Leadership [Awards] zinazotolewa na taasisi maarufu ya Purple Cow.
Utoaji wa tuzo hizo ulifanyika Ijumaa iliyopita kwenye hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro. Katika kipengele cha Kituo Bora cha Redio mwaka 2015, nafasi ya pili ilikamatwa na TBC Taifa.
Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa EFM, Dennis Ssebo amesema ushindi huo una maana kubwa kwao.
“Sina wasiwasi kwa mafanikio haya kwasababu juhudi zetu zinajidhihirisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_4DTGij9Ck0/XooCfRmUHDI/AAAAAAALmG8/UK7OxAHMxt0xYivashlRnlGoi11BshjUgCLcBGAsYHQ/s72-c/29ecbe31-0488-484c-80bb-ff5a6789c20e.jpg)
KUNDI LA SIMBA JAMII TANZANIA LAZIDI KUTOA MISAADA KWA JAMII
Msaada huo ulitolewa mbele ya Mwenyekiti wa Kamati ya Shule hiyo Ndg Happy Bakamba pamoja na maafisa kadhaa wa Kata.
Simba Jamii iliwakilishwa na wanachama wake Ndg Jacob Madege,Ndg Mwakalilila,Ndg Anangisye na Ndg Maureen.
Mkuu wa msafara wa Simba Jamii Ndg Maureen amedai kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h8VB6cIWwg4/VSbTQHd1uEI/AAAAAAAHP9Q/lqhpYwQkfEc/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
UZINDUZI WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO MKOANI MOROGORO TAREHE 9 APRILI, 2015
Baraza la Wafanyakazi linaundwa na wawakilishi wa wafanyakazi wote wa Wizara na wanachaguliwa kwa mfumo wa haki na uwazi. Baraza hili ni chombo muhimu sana kwani uhalali na uundwaji wake upo kisheria. ...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/U1Ua-UYnFYo/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwpHC1naFUufDV6Irhi9EKkTjUo3Ny1qg9PP1nIW5McH9HpijIrGAhsi*edNLzt6XOGZ1qmrv0C83WMrxpc9WYW7/293D4AB7000005783105338imagem34_1433128999057.jpg)
WASHINDI WA TUZO ZA CRITICS' CHOICE TELEVISION AWARDS 2015
9 years ago
Bongo508 Sep
Washindi wa tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (Orodha kamili)
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Mkutano mkuu wa 31, tuzo za viongozi wa serikali za mitaa (Mayors Award) na miaka 30 ya ALAT kufanyika aprili 8-11, 2015 jijini Dar
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ambaye pia ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini jana kuhusu Mkutano Mkuu wa 31 wa ALAT utakaokwenda sambamba na Tuzo za Viongozi wa Serikali za Mitaa ‘Mayors Award’ na Miaka 30 ya ALAT, utakaofanyika katika hoteli ya Kunduchi jijijni Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu wa ALAT, Habraham Shamumoyo na (kulia) ni Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB ambao ndio...
10 years ago
Bongo506 Dec
Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)