Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)

Majina ya wasanii wanaowania tuzo kubwa za Grammy Awards yametangazwa Ijumaa Dec 5. Pharrell Williams na Ed Sheeran ndio wanaowania vipengele vikubwa vinne kikiwemo cha album bora ya mwaka. Wengine waliotajwa kuwania tuzo hizo ni pamoja na Beyonce, Iggy Azalea, Drake, Nicki Minaj, Chris Brown, Kanye West na wengine. Beyonce pia ametajwa kuwa ndio msanii […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Majina ya washindi wa tuzo za Grammy 2015 zilizofanyika Jumapili Feb.8 (Orodha kamili)

Tuzo za 57 za Grammy Awards 2015 zimetolewa Jumapili Feb.8 huko Los Angeles, California nchini Marekani. Beyonce, Pharrell Williams, Eminem, Kendrick Lamar ni miongoni mwa wasanii walioibuka washindi. Beyonce akipokea tuzo Miongoni mwa wasanii waliotumbuiza kwenye tuzo hizo ni pamoja na Rihanna na Kanye West, Pharrell Williams, Beyonce, Mary J Blige. Pharrell baada ya kupokea […]

 

9 years ago

Bongo5

Washindi wa tuzo za ‘Nigeria Entertainment Awards’ 2015 (Orodha kamili)

Orodha kamili ya washindi wa tuzo za Nigeria Entertainment Awards 2015 (NEA) zilizotolewa Sept 6 New York, Marekani tayari imetolewa. Katika tuzo hizo msanii wa Uganda, Eddy Kenzo ndiye ameshinda kipengele cha ‘African Artist of The Year’ cha wasanii wasiotoka Nigeria ambacho Diamond pia alikuwa nominee. Hii ni orodha kamili ya washindi. Album of the […]

 

10 years ago

Michuzi

ORODHA KAMILI YA WANAOWANIA TUZO ZA TASWA 2013/2014

 KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo. Tuzo itafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao. Ni imani yetu kwamba zaidi ya wanamichezo 40 watakabidhiwa tuzo zao siku hiyo,...

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya wanaowania American Music Awards 2015, Taylor Swift aongoza

Orodha ya wasanii wanaowania American Music Awards 2015 yametangazwa, ambapo mwimbaji Taylor Swift ndiye mwenye nominations nyingi zaidi akiwa anawania vipengele sita ikiwa ni pamoja na msanii bora wa mwaka. Jennifer Lopez ndiye atakuwa host wa tuzo hizo kwa mwaka huu, ikiwa ni mara yake ya kwanza kupata nafasi hiyo. Tuzo za AMAs zitatolewa Nov.22. […]

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya wanasoka 23 wanaowania tuzo ya Ballon D’or 2015

Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetoa orodha ya wachezaji 23 ambao wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani kwa mwaka 2015 (the 2015 Ballon d’Or). Cristiano Ronaldo, Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar Jr ni moja kati ya majina yaliyo tajwa kuwania tuzo hiyo ya mwanasoka bora wa dunia maarufu kama Ballon d’Or kwa mwaka 2015. […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

LIST KAMILI YA WANAOWANIA TUZO ZA KTMA 2015

Tweet

MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIUME
1. Mzee Yusuf
2. Christian Bella
3. Diamond Platnumz
4. Ally Kiba


MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIKE
1. Vanessa Mdee
2. Khadija Kopa
3. Isha Mashauzi
4. Shaa
5. Dayna Nyange
MWIMBAJI BORA WA KIUME- BONGO FLEVA
1. Ali Kiba
2. Ben Pol
3. Jux
4. Diamond
5. Belle 9


MWIMBAJI BORA WA KIUME- TAARAB1. Mzee Yussuf
2. Prince Amigo
3. Hassan Vocha
4. Hassan Ally
5. Mussa Kijoti

MWIMBAJI BORA WA KIUME- BENDI
1. Jose Mara
2. Kalala Junior
3. Khalidi Chokoraa
4. Chaz Baba
5....

 

10 years ago

Bongo5

Majina yatakayowania Tuzo za Watu 2015 yatangazwa

Majina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa rasmi Ijumaa hii. Hiyo ni baada ya siku kadhaa za kuhesabu mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na wananchi kwa kipindi cha wiki tatu tangu kuzinduliwa kwa tuzo hizo. Zoezi la kupiga kura linafunguliwa rasmi Jumamosi hii, April 25. Haya ndio majina matano yaliyoingia kwenye […]

 

9 years ago

Bongo5

American Music Awards 2015: Orodha kamili ya washindi

amas

Tuzo za za Muziki za Marekani ‘American Music Awards 2015’(AMAs) zimetolewa usiku wa Jumapili (Nov 22) kwenye ukumbi wa Microsoft Theater jijini Los Angeles.

amas

Jennifer Lopez ndiye alikuwa mc wa shughuli hiyo.

Ifuatayo ni orodha ya washindi:

ARTIST OF THE YEAR
• Luke Bryan
• Ariana Grande
• Maroon 5
• Nicki Minaj
• One Direction — WINNER
• Ed Sheeran
• Sam Smith
• Taylor Swift
• Meghan Trainor
• The Weeknd

NEW ARTIST OF THE YEAR PRESENTED BY KOHL’S
• Fetty Wap
• Sam Hunt — WINNER
• Tove...

 

10 years ago

Bongo Movies

Majina ya Wanaowania Tuzo za Filamu Mwaka 2015 Haya Hapa

Waandaaji wa tuzo kubwa kufanyika za filamu Tanzania Film Awards 2015 (TAFA) yametajwa rasmi na tayari kwa kupigiwa kura baada ya namba za majina hayo kutoka katika ukumbi wa Hotel ya New Africa,  mmoja kati  ya waratibu wa tuzo hizo Teacher Issa Mbura alieleza kuwa tuzo hizo zitakuwa na vipengele kumi na mbili tu, na baadae kulingana na mahitaji vinaweza kuongezeka kwa miaka ijayo.

Majina ya wanaowania tuzo hizo hayo hapo chini fuatilia na kwa makini kisha jiandae kumpigia kura msanii wako...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani