Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Orodha ya wanaowania American Music Awards 2015, Taylor Swift aongoza

Orodha ya wasanii wanaowania American Music Awards 2015 yametangazwa, ambapo mwimbaji Taylor Swift ndiye mwenye nominations nyingi zaidi akiwa anawania vipengele sita ikiwa ni pamoja na msanii bora wa mwaka. Jennifer Lopez ndiye atakuwa host wa tuzo hizo kwa mwaka huu, ikiwa ni mara yake ya kwanza kupata nafasi hiyo. Tuzo za AMAs zitatolewa Nov.22. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Iggy Azalea aongoza nomination za 2014 ‘American Music Awards’, pata orodha kamili

Majina ya wasanii wanaowania tuzo za 2014 ‘American Music Awards’ (AMA) yametangazwa Jumatatu wiki hii, na rapper mzaliwa wa Australia Iggy Azalea ndiye aliyetajwa kuwania vipengele vingi zaidi, anawania vipengele sita. Iggy anawania kipengele cha ‘Msanii bora wa mwaka’ huku akichuana na wakali wengine akiwemo Beyonce, ‘Msanii mpya wa mwaka’, ‘Wimbo bora wa mwaka’, ‘Favorite […]

 

9 years ago

Bongo5

American Music Awards 2015: Orodha kamili ya washindi

amas

Tuzo za za Muziki za Marekani ‘American Music Awards 2015’(AMAs) zimetolewa usiku wa Jumapili (Nov 22) kwenye ukumbi wa Microsoft Theater jijini Los Angeles.

amas

Jennifer Lopez ndiye alikuwa mc wa shughuli hiyo.

Ifuatayo ni orodha ya washindi:

ARTIST OF THE YEAR
• Luke Bryan
• Ariana Grande
• Maroon 5
• Nicki Minaj
• One Direction — WINNER
• Ed Sheeran
• Sam Smith
• Taylor Swift
• Meghan Trainor
• The Weeknd

NEW ARTIST OF THE YEAR PRESENTED BY KOHL’S
• Fetty Wap
• Sam Hunt — WINNER
• Tove...

 

10 years ago

Bongo5

Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)

Majina ya wasanii wanaowania tuzo kubwa za Grammy Awards yametangazwa Ijumaa Dec 5. Pharrell Williams na Ed Sheeran ndio wanaowania vipengele vikubwa vinne kikiwemo cha album bora ya mwaka. Wengine waliotajwa kuwania tuzo hizo ni pamoja na Beyonce, Iggy Azalea, Drake, Nicki Minaj, Chris Brown, Kanye West na wengine. Beyonce pia ametajwa kuwa ndio msanii […]

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa MTV Video Music Awards 2015

Tuzo za MTV Video Music Awards 2015 zimetolewa Jumapili Agosti 30, 2015 huko Los Angeles, Marekani. Muimbaji Taylor Swift aliyekuwa anawania vipengele 10 ameongoza kwa kushinda tuzo 4 za ‘Video of the year’ , Best Female Video’ ambayo kawashinda Nicki Minaj na Beyonce. Zingine alizoshinda ni ‘Best Pop Video’ pamoja na ‘Best Collaboration’. Hii ni […]

 

9 years ago

Bongo5

American Music Awards 2015: Picha za red carpet na performance za wasanii

AMA-46

Wasanii mbalimbali walijitokeza kwenye tuzo za American Music Awards 2015 zilizotolewa usiku wa Jumapili (Nov.22) jijini Los Angeles.

AMA-20 JENIFFER LOPEZ
Jeniffer Lopez

AMA-21

Miongoni mwa waliohudhuria ni pamoja na Nicki Minaj, Ciara, Wiz Khalifa, Bow Wow, Kylie na Kendall Jenner na wengine.

Hizi ni picha za red carpet pamoja na perfomance

AMA-1 CIARA
Ciara

AMA-2

AMA-3 WIZ KHALIFA
Wiz Khalifa

AMA-4 SELENA GOMEZ
Selena Gomez

AMA-5

AMA-6 KENDALL JENNER
Kendall Jenner

AMA-7

AMA-8 KYLIE JENNER
Kylie Jenner

AMA-9

AMA-10 KARRUECHE
Karrueche Tran

AMA-11

AMA-12 GWEN STEPHAN
Gwen Stephan

AMA-13 CHRISTINA MILIAN
Christina Millian

AMA14

AMA-14

AMA-15 BOW WOW
Bow Wow

AMA-16 JUSTIN BIEBER
Justin Bieber

AMA-17

AMA-18 TYRESE
Tyrese

AMA-19 TYGA
Tyga

AMA-22

AMA-23

AMA-24

AMA-25

AMA-26 ARIANA GRANDE
Ariana Grande

AMA-27 CELINE DION
Celine Dion

AMA-28

AMA-29

 

9 years ago

Bongo5

Katy Perry aongoza orodha ya ‘Forbes Highest Paid Women In Music 2015’

Katy

Jarida la Forbes limetoa orodha ya wanawake wanaoongoza kwa kuingiza pesa nyingi zaidi kwenye muziki kwa mwaka 2015 (Forbes Highest Paid Women In Music 2015).

Katy

Katy Perry ndiye mwanamke anayeongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi duniani kwenye muziki kwa mwaka huu, kwa mujibu wa orodha hiyo. Perry amekamata nafasi ya kwanza kwa kuingiza $135 million kwa kipindi cha mwka ammoja kuanzia June 1, 2014, hadi June 1, 2015.

Nafasi ya pili imeshikiliwa na Taylor Swift ambaye ameingiza $80...

 

9 years ago

Bongo5

Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza

kendrick lamar

Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.

kendrick lamar

Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.

Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.

Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...

 

10 years ago

GPL

TAYLOR SWIFT AKIMBIZA TUZO ZA BILLBOARD 2015, ATWAA 8 KATI YA 14

Msanii Taylor Swift wakati akipokea mojawapo ya tuzo zake jana. MSANII wa Marekani, Taylor Swift ametwaa tuzo nane za Billboard kati ya 14 alizokuwa akishindania. Zoezi hilo la utoaji tuzo lilifanyika jana katika Ukumbi wa MGM Grand uliopo Las Vegas, Marekani. Washereheshaji katika tuzo hizo Ludacris na Chrissy Teigen. Washereheshaji katika utoaji tuzo hizo walikuwa mwanamuziki Ludacris na Chrissy Teigen. Mwanamuziki Sam… ...

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya wanasoka 23 wanaowania tuzo ya Ballon D’or 2015

Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetoa orodha ya wachezaji 23 ambao wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani kwa mwaka 2015 (the 2015 Ballon d’Or). Cristiano Ronaldo, Lionel Messi, Luis Suarez na Neymar Jr ni moja kati ya majina yaliyo tajwa kuwania tuzo hiyo ya mwanasoka bora wa dunia maarufu kama Ballon d’Or kwa mwaka 2015. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani