Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza

kendrick lamar

Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.

kendrick lamar

Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.

Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.

Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Majina ya wanaowania tuzo za 2015 Grammy Awards yatangazwa, zitatolewa Feb. (orodha kamili)

Majina ya wasanii wanaowania tuzo kubwa za Grammy Awards yametangazwa Ijumaa Dec 5. Pharrell Williams na Ed Sheeran ndio wanaowania vipengele vikubwa vinne kikiwemo cha album bora ya mwaka. Wengine waliotajwa kuwania tuzo hizo ni pamoja na Beyonce, Iggy Azalea, Drake, Nicki Minaj, Chris Brown, Kanye West na wengine. Beyonce pia ametajwa kuwa ndio msanii […]

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya washindi wa BET Hip Hop Awards 2015: Kendrick Lamar na Big Sean waongoza

Rappers Kendrick Lamar na Big Sean ndio wameibuka na tuzo nyingi zaidi kwenye tuzo za BET Hip Hop Awards 2015 zilizorekodiwa weekend iliyopita na kuoneshwa usiku wa Oct.13. Kendrick Lamar na Big Sean kila mmoja ameshinda tuzo tatu wakifuatiwa kwa karibu na Drake aliyeshinda tuzo mbili. Hii ni orodha kamili ya washindi Best Hip Hop […]

 

9 years ago

Bongo5

People’s Choice Awards 2016: Majina ya wanaowania upande wa muziki

the-weeknd

Majina ya wanaowania tuzo za People’s Choice Awards 2016 yametangazwa Jumanne hii Nov.3.

the-weeknd

Upande wa muziki miongoni mwa wasanii wenye nomination nyingi ni pamoja na The Weeknd anayeongoza kwa nominations tano. Wengine waliofanikiwa kuingia ni pamoja Taylor Swift , Drake, Justin Bieber, Madonna.

Tuzo hizo zitatolewa na kuoneshwa kupitia CBS January 6, 2016

Hii ni orodha ya wanaowania tuzo hizo upande wa muziki

Favorite Male Artist
Ed Sheeran
Justin Bieber
Luke Bryan
Nick Jonas
The...

 

9 years ago

Bongo5

Sababu za ‘Hotline Bling’ ya Drake kutoingia kwenye Grammy Awards 2016 – Ripoti

drake sad

Drake anawania vipengele vinne kwenye tuzo za Grammy 2016 lakini hit song yake ya ‘Hotline Bling’ haijaingia kwenye kipengele chochote kati ya hivyo licha ya kufanya vizuri mwaka huu.

drake sad

Mitandao mbalimbali imeripoti sababu inayodaiwa kupelekea wimbo huo usiwemo kabisa kwenye tuzo za 58 za Grammy ambazo majina ya nominees yametangazwa jana.

Label ya Cash Money Records ndio imetupiwa lawama za kusababisha wimbo huo wa rapa wa Canada, Drake kutoingia kwenye nomination za Grammy Awards 2016....

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya wanaowania American Music Awards 2015, Taylor Swift aongoza

Orodha ya wasanii wanaowania American Music Awards 2015 yametangazwa, ambapo mwimbaji Taylor Swift ndiye mwenye nominations nyingi zaidi akiwa anawania vipengele sita ikiwa ni pamoja na msanii bora wa mwaka. Jennifer Lopez ndiye atakuwa host wa tuzo hizo kwa mwaka huu, ikiwa ni mara yake ya kwanza kupata nafasi hiyo. Tuzo za AMAs zitatolewa Nov.22. […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Kendrick Lamar — These Walls

Rapper Kendrick Lamar ameachia video mpya wimbo ‘These Walls‘ wimbo huu unaopatikana kwenye Album yake ya ‘To Pimp a Butterfly’. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

5 years ago

Bongo5

Video: Kendrick Lamar – DNA

Rapper Kendrick Lamar ameachia video ya wimbo wake ‘DNA’. Video hiyo imeongozwa na Nabil & the little homies.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!Share on Whatsapp

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Kendrick Lamar — The Blacker The Berry

Siku moja baada ya tuzo za Grammy kufanyika, rapper Kendrick Lamar ambaye alishinda tuzo mbili za ‘Best Rap Song’ na ‘Best Rap Performance’ kupitia single yake ya “i”, ametoa wimbo mpya “The Blacker The Berry”. Jina la wimbo huo amechukua kutoka kwenye Novel ya mwaka 1929 ambayo ilikuwa inaitwa hivyo hivyo The Blacker The Berry.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani