Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sababu za ‘Hotline Bling’ ya Drake kutoingia kwenye Grammy Awards 2016 – Ripoti

drake sad

Drake anawania vipengele vinne kwenye tuzo za Grammy 2016 lakini hit song yake ya ‘Hotline Bling’ haijaingia kwenye kipengele chochote kati ya hivyo licha ya kufanya vizuri mwaka huu.

drake sad

Mitandao mbalimbali imeripoti sababu inayodaiwa kupelekea wimbo huo usiwemo kabisa kwenye tuzo za 58 za Grammy ambazo majina ya nominees yametangazwa jana.

Label ya Cash Money Records ndio imetupiwa lawama za kusababisha wimbo huo wa rapa wa Canada, Drake kutoingia kwenye nomination za Grammy Awards 2016....

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Adele aonesha nia ya kutaka kufanya official remix ya ‘Hotline Bling’ ya Drake

Adele and drake

Collabo ya muimbaji wa Uingereza, Adele na rapper wa Canada, Drake yanukia. Hit maker wa ‘Hello’ Adele amesema kuwa angependa kufanya official remix na Drake ya hit song ya rapper huyo ‘Hotline Bling’.

Adele and drake

Katika mahojiano ya hivi karibuni na Danielle Graham, Adele amekiri kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Drake kiasi mpaka aliamua kununua koti jekundu linaloonekana kwenye video ya ‘Hotline Bling’.

“I really want us to do an official remix,” amesema Adele. “I love Drake. I love Drake so much. I...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Sikiliza gospel remix ya wimbo wa Drake ‘Hotline Bling’ iliyofanywa na kwaya ya kanisani

drake

Zimetoka cover nyingi za hit song ya Drake ‘Hotline Bling’, lakini ulitarajia kama kuna watu wangeamua kufanya gospel remix ya wimbo huo?

drake

Kwaya ya gospel ya kanisa la Destiny la Atlanta, Marekani iliamua kufanya remix ya wimbo huo kwa kubadili mashairi ya Drake na kuweka maneno ya kumsifu Mungu. Kuna video imesambaa ya kwaya hiyo ikitumbuiza remix hiyo kanisani huku shwangwe zikitawala kutoka kwa waumini.

Hotline Bling gospel remix inaanzia 1:30

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

9 years ago

Bongo5

Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza

kendrick lamar

Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.

kendrick lamar

Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.

Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.

Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...

 

9 years ago

Bongo5

Drake ajibu ombi la Adele la kutaka kuwemo kwenye ‘official remix’ ya Hotline Bling

adele-drake-hotline-bling

Adele alidai kutamani kuwepo kwenye official remix ya wimbo wa Drake, Hotline Bling.

adele-drake-hotline-bling

Mashabiki wao walikuwa wanasubiri tu jibu la Drake na sasa rapper huyo wa Toronto amejibu. “Nitafanya chochote kwa Adele,” Drake aliwaambia waandishi wa habari jijini Toronto Jumatano hii alipoenda kuangalia game ya timu ya kikapu ya Raptors.

“Ninaweza hata kwenda nyumbani kwa Adele muda huu na kufua nguo zake,” aliongeza.

Kwenye mahojiano hivi karibuni, Adele alisema: “I love Drake so much. I even got the...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waliong’ara kwenye Red-Carpet 2015 Grammy Awards hawa hapa!

Madonna, Giuliana Rancic, Sam Smith.(All Photos by Getty Images).

grammys1

Charlie Benante, Kelly Osborne, Jesse McCartney.

grammys2

Jessie J, HAIM, Ariana Grande

grammy4

Flip, Soli Olds, Angelique Kidjo.

red-carpet-57th-grammy-awards-trip-recovered

Billy Ray Cyrus, Clean Bandit, Aloe Blacc.

grammys5

Childish Gambino, Gwen Stefani, Sean Paul

grammys6

Big Sean, Chrissy Tiegan and John Legend, Dierks Bentley.

grammys7

Katherine McPhee, Weird Al, Jhene Aiko.

grammys8

Hozier, Sia, Blake Shelton and Miranda Lambert.

grammys9

Ed Sheeran, Annie Lennox, Questlove

grammys10

Chris Brown, Meghan Trainor, Ryan Adams

grammys11

 

9 years ago

Bongo5

Video: Drake — ‘Hotline Bling’

Drake baada ya kuachia single yake ya “Hotline Bling”. Hii ni official music video ya wimbo huo Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Mtanzania huyu atinga tuzo za Grammy 2016

10593089_742746879124089_1364310142790121327_n

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Grammy mwaka 2016 yametajwa. Grammy ni tuzo zenye heshima zaidi nchini Marekani.

10534549_742746822457428_4660708305664574914_n

Rapper mwenye asili ya Tanzania, Allan Kingdom naye ametajwa kwenye tuzo hizo thanks kwa shavu alilopewa na Kanye West kwenye wimbo wake All Day. Wimbo huo umetajwa kuwania vipengele viwili, Best Rap Performance na Best Rap Song.

Allan anaishi Minnesota, Marekani.
https://www.youtube.com/watch?v=X8GsQhCAkcg

MFAHAMU ZAIDI ALLAN KINGDOM

Mwaka jana mtandao wa Complex...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Rihanna Reveals That She Lied About the Reason She Skipped Her 2016 Grammy Performance

Rihanna Reveals That She Lied About the Reason She Skipped Her 2016 Grammy Performance  Showbiz Cheat Sheet

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani