Sababu za ‘Hotline Bling’ ya Drake kutoingia kwenye Grammy Awards 2016 – Ripoti
Drake anawania vipengele vinne kwenye tuzo za Grammy 2016 lakini hit song yake ya ‘Hotline Bling’ haijaingia kwenye kipengele chochote kati ya hivyo licha ya kufanya vizuri mwaka huu.
Mitandao mbalimbali imeripoti sababu inayodaiwa kupelekea wimbo huo usiwemo kabisa kwenye tuzo za 58 za Grammy ambazo majina ya nominees yametangazwa jana.
Label ya Cash Money Records ndio imetupiwa lawama za kusababisha wimbo huo wa rapa wa Canada, Drake kutoingia kwenye nomination za Grammy Awards 2016....
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Nov
Adele aonesha nia ya kutaka kufanya official remix ya ‘Hotline Bling’ ya Drake
![Adele and drake](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-and-drake-300x194.jpg)
Collabo ya muimbaji wa Uingereza, Adele na rapper wa Canada, Drake yanukia. Hit maker wa ‘Hello’ Adele amesema kuwa angependa kufanya official remix na Drake ya hit song ya rapper huyo ‘Hotline Bling’.
Katika mahojiano ya hivi karibuni na Danielle Graham, Adele amekiri kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Drake kiasi mpaka aliamua kununua koti jekundu linaloonekana kwenye video ya ‘Hotline Bling’.
“I really want us to do an official remix,” amesema Adele. “I love Drake. I love Drake so much. I...
9 years ago
Bongo519 Nov
Video: Sikiliza gospel remix ya wimbo wa Drake ‘Hotline Bling’ iliyofanywa na kwaya ya kanisani
![drake](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/drake-300x194.jpg)
Zimetoka cover nyingi za hit song ya Drake ‘Hotline Bling’, lakini ulitarajia kama kuna watu wangeamua kufanya gospel remix ya wimbo huo?
Kwaya ya gospel ya kanisa la Destiny la Atlanta, Marekani iliamua kufanya remix ya wimbo huo kwa kubadili mashairi ya Drake na kuweka maneno ya kumsifu Mungu. Kuna video imesambaa ya kwaya hiyo ikitumbuiza remix hiyo kanisani huku shwangwe zikitawala kutoka kwa waumini.
Hotline Bling gospel remix inaanzia 1:30
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...
9 years ago
Bongo508 Dec
Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza
![kendrick lamar](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kendrick-lamar-300x194.jpg)
Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.
Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.
Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.
Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...
9 years ago
Bongo527 Nov
Drake ajibu ombi la Adele la kutaka kuwemo kwenye ‘official remix’ ya Hotline Bling
![adele-drake-hotline-bling](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-drake-hotline-bling-300x194.jpg)
Adele alidai kutamani kuwepo kwenye official remix ya wimbo wa Drake, Hotline Bling.
Mashabiki wao walikuwa wanasubiri tu jibu la Drake na sasa rapper huyo wa Toronto amejibu. “Nitafanya chochote kwa Adele,” Drake aliwaambia waandishi wa habari jijini Toronto Jumatano hii alipoenda kuangalia game ya timu ya kikapu ya Raptors.
“Ninaweza hata kwenda nyumbani kwa Adele muda huu na kufua nguo zake,” aliongeza.
Kwenye mahojiano hivi karibuni, Adele alisema: “I love Drake so much. I even got the...
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Waliong’ara kwenye Red-Carpet 2015 Grammy Awards hawa hapa!
Madonna, Giuliana Rancic, Sam Smith.(All Photos by Getty Images).
Charlie Benante, Kelly Osborne, Jesse McCartney.
Jessie J, HAIM, Ariana Grande
Flip, Soli Olds, Angelique Kidjo.
Billy Ray Cyrus, Clean Bandit, Aloe Blacc.
Childish Gambino, Gwen Stefani, Sean Paul
Big Sean, Chrissy Tiegan and John Legend, Dierks Bentley.
Katherine McPhee, Weird Al, Jhene Aiko.
Hozier, Sia, Blake Shelton and Miranda Lambert.
Ed Sheeran, Annie Lennox, Questlove
Chris Brown, Meghan Trainor, Ryan Adams
9 years ago
Bongo520 Oct
Video: Drake — ‘Hotline Bling’
9 years ago
Bongo508 Dec
Mtanzania huyu atinga tuzo za Grammy 2016
![10593089_742746879124089_1364310142790121327_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10593089_742746879124089_1364310142790121327_n-300x194.jpg)
Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Grammy mwaka 2016 yametajwa. Grammy ni tuzo zenye heshima zaidi nchini Marekani.
Rapper mwenye asili ya Tanzania, Allan Kingdom naye ametajwa kwenye tuzo hizo thanks kwa shavu alilopewa na Kanye West kwenye wimbo wake All Day. Wimbo huo umetajwa kuwania vipengele viwili, Best Rap Performance na Best Rap Song.
Allan anaishi Minnesota, Marekani.
https://www.youtube.com/watch?v=X8GsQhCAkcg
MFAHAMU ZAIDI ALLAN KINGDOM
Mwaka jana mtandao wa Complex...
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet09 Apr
Rihanna Reveals That She Lied About the Reason She Skipped Her 2016 Grammy Performance
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10