Mtanzania huyu atinga tuzo za Grammy 2016
Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Grammy mwaka 2016 yametajwa. Grammy ni tuzo zenye heshima zaidi nchini Marekani.
Rapper mwenye asili ya Tanzania, Allan Kingdom naye ametajwa kwenye tuzo hizo thanks kwa shavu alilopewa na Kanye West kwenye wimbo wake All Day. Wimbo huo umetajwa kuwania vipengele viwili, Best Rap Performance na Best Rap Song.
Allan anaishi Minnesota, Marekani.
https://www.youtube.com/watch?v=X8GsQhCAkcg
MFAHAMU ZAIDI ALLAN KINGDOM
Mwaka jana mtandao wa Complex...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Dec
Wanaowania Grammy Awards 2016 watangazwa, Kendrick Lamar aongoza
![kendrick lamar](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kendrick-lamar-300x194.jpg)
Majina ya wanaowania tuzo za 58 za Grammy 2016 yametangazwa Jumatatu Dec 7.
Wasanii wa Marekani waliotajwa kuwania vipengele vingi zaidi ni Kendrick Lamar anayewania vipengele 11, akifatiwa na Taylor Swift na The Weeknd wanaowania vipengele 7 kila mmoja.
Taylor Swift ndiye msanii pekee aliyefanikiwa kuingia kwenye vipengele vyote vikubwa – ‘Album of the Year’, ‘Song of the Year’, na ‘Record of the Year’.
Wengine waliotajwa kwenye kinyang’anyiro hicho ni Angelique Kidjo na kundi la Ladysmith...
5 years ago
Showbiz Cheat Sheet09 Apr
Rihanna Reveals That She Lied About the Reason She Skipped Her 2016 Grammy Performance
9 years ago
Bongo509 Dec
Sababu za ‘Hotline Bling’ ya Drake kutoingia kwenye Grammy Awards 2016 – Ripoti
![drake sad](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/drake-sad-300x194.jpg)
Drake anawania vipengele vinne kwenye tuzo za Grammy 2016 lakini hit song yake ya ‘Hotline Bling’ haijaingia kwenye kipengele chochote kati ya hivyo licha ya kufanya vizuri mwaka huu.
Mitandao mbalimbali imeripoti sababu inayodaiwa kupelekea wimbo huo usiwemo kabisa kwenye tuzo za 58 za Grammy ambazo majina ya nominees yametangazwa jana.
Label ya Cash Money Records ndio imetupiwa lawama za kusababisha wimbo huo wa rapa wa Canada, Drake kutoingia kwenye nomination za Grammy Awards 2016....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avrPoJD970sf-Z4dE9N6lD54*qOIFLyjY8i8sUK0RzadJWvbYf-d6RL2kHoMgCs3hDVna2o0HFfcGvmGi9GcQ6ER/grammyawardsMainCover1.jpg)
ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA GRAMMY
10 years ago
CloudsFM09 Feb
Sam Smith afunika tuzo za Grammy,Marekani
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avoGP3XMW4FbBfywRY2oVeMv6w5ASvsoqwee*aYh4X0zPJwKg*U6cGU7mDdqNEKxZsVAOPismePnNuXVQakEIWLJ/kim.jpg)
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avqjpfMy9Bnnod0x3iU6UDYy3q1QZE0Nex1MpvIjU2enR1xjVh5Cf*PuMy*FIZTjF7G8Y9yTtjHMhKUY9ME8Ttmz/madona.jpg)
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avofbizAxPYpWcC*k6rDNSeQJY9qoYdzJmK2xFk5fddQN*wvxuK*Da6H6e-*7EUN9Tws4eRxdAf5F2s3fI6ZuZnr/gramm2.jpg)
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avpG29zAQBq3yg*aeRzb407S2RStVtj*m0uY6AhgtT69sPxEKkjP7q2ejbRBlKqRFg1nRTo8t5EPLu8vJ2vDaeQ3/grammy1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avqCcsR2WHfvOX75ehRxdt-Pj34HFDCWlP69smSd4nBRzSZX3YQrsfOvjbWL32zOiGrIRY1UjcjSZrOiZ89kERYD/grammy3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avobL1s7cj6-VkRULHbJytbLAOljUYvQkAAeA-zG7rmOGLvyXGcIielQSJ0WIij3SBsLa8hWksu2JQqN5y2qCtNY/grammy5.jpg)
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avoIe8aX8qOPJFdVS-NxySdkCaNgzlDJHysEs69u7NKS23uAcSBvmwY00THaWcbQT7SDQmxxxHQ5OZu-4YDrptH4/grammy7.jpg)
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avrg5snA1T4xd4cbjKtkiSwwtCop74TrdmLg6CBqC5Esxixjlmfw*4NrgLmYnnuDcLGNQgjufhKnPU*wUOllxBKl/grammy8.jpg)
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avoqZJoseIc78bcSPijs1NOJRmGtIEP*lulp36J3U4ygJlttgkb6cQ9ZXRFAW7f28SlXwgp*BYRiEPuAMd7yIIOM/madona.jpg)
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avr7qttYL33sLJyv6sr4q1zng36jXRPK17*N1rsj5kUDznhEyYs4AroE2Ep*eeYNEWjbT33K72ftSEEpK7igZttz/grammy11.jpg)
10 years ago
Bongo506 Dec
Beyonce awa mwanamke aliyetajwa kuwania tuzo za Grammy mara nyingi zaidi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avoY8dyTc0uG9DPCG7GEjLLUYpXyn4vnUJD0g50S7zHIWxtak5np7OnH9XE8Fm*Rktn6DTE8zO9RRaY5jjmnSElM/madonnabuttgrammyawards.png?width=650)
MADONNA AONYESHA MAKALIO YAKE KATIKA RED CARPET ZA TUZO ZA GRAMMY 2015