Beyonce awa mwanamke aliyetajwa kuwania tuzo za Grammy mara nyingi zaidi
Beyonce amekuwa mwanamke kwenye muziki aliyewahi kutajwa kuwania tuzo nyingi zaidi za Grammy. Kabla ya majina mapya yaliyotajwa Ijumaa, Queen Bey alikuwa analingana na Dolly Parton kwa kuwa na nomination 46 za Grammy. Hata hivyo baada ya album yake Beyoncé kutajwa kuwania ‘Best Urban Contemporary Album’, Beyonce amefikisha nomination 47. Beyonce amewahi kushinda tuzo 17 […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo525 Aug
MTV VMA 2014: Beyonce azoa tuzo nyingi zaidi, Drake, Eminem, Miley Cyrus pia washinda (orodha kamili)
10 years ago
Bongo505 Nov
Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014
9 years ago
Bongo504 Dec
Nomination ya Kora Awards yataka kumtoa machozi Wakazi aliyetajwa kuwania ‘Best Hip Hop Act’
![wakazi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wakazi2-300x194.jpg)
Rapa Webiro Wassira maarufu kama Wakazi ni miongoni mwa wasanii watano wa Tanzania waliochaguliwa kuwania tuzo za Kora 2016 zitakazotolewa mwakani nchini Namibia.
Wakazi anawania kipengele cha ‘Best Hip Hop Act’ akichuana na wakali wengine wa Afrika akiwemo K.O wa Afrika Kusini na Sarkodie wa Ghana.
Baada ya nomination za Kora kutangazwa jana Dec 3, Wakazi alieleza furaha yake na mshituko alioupata baada ya kupokea taarifa ya kuchaguliwa kuwania tuzo hizo za kimataifa.
Katika ujumbe...
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Casillas kuwania tuzo ya kipa bora zaidi
5 years ago
BBCSwahili25 May
Mona Lisa: Kwa nini mwanamke huyu anajulikana kwa 'kupigwa busu' nyingi zaidi duniani
10 years ago
Bongo529 Sep
Peter Msechu aelezea furaha aliyoipata baada ya kutajwa kuwania tuzo (AFRIMA) kwa mara ya kwanza, ‘leo siogi’…!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avrPoJD970sf-Z4dE9N6lD54*qOIFLyjY8i8sUK0RzadJWvbYf-d6RL2kHoMgCs3hDVna2o0HFfcGvmGi9GcQ6ER/grammyawardsMainCover1.jpg)
ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA GRAMMY
9 years ago
Bongo504 Nov
ALikiba: Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo
![king kiba3](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/king-kiba3-300x194.jpg)
Alikiba ameweka wazi jinsi anavyozichukulia tuzo kwenye kazi yake ya muziki, na kama zinamuongezea thamani yoyote yeye kama msanii.
Mwimbaji huyo wa ‘Mwana’ ambaye amekuwa haendi kwenye tuzo nyingi zikiwemo hata zile ambazo anaibuka kuwa mshindi, ametaja sababu za kwanini huwa haudhurii.
“Nimegundua kwamba mimi ni mwanamuziki ambaye si focus sana kwenye tuzo japokuwa ndio moja ya sifa” Alikiba ameiambia AYO TV. “lakini kiukweli muziki wangu una thamani kubwa na mimi ni mkubwa zaidi ya...