Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014
Beyonce ndiye mwanamke kwenye muziki aliyeingiza fedha nyingi zaidi mwaka 2014. Kwa mujibu wa jarida la Forbes, mke huyo wa Jay Z ameingiza dola milioni 115 mwaka huu ikiwa ni zaidi ya nusu ya aliyoingiza mwaka jana. Fedha hizo zimepatikana zaidi kutokana na ziara yake ya muziki duniani na hivyo kumpiku Taylor Swift ambaye mwaka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo505 Aug
Forbes: Orodha ya waigizaji wa kike wa Hollywood waliolipwa pesa nyingi zaidi 2013-2014
10 years ago
Bongo505 Sep
Orodha ya wachezaji 12 wa tennis duniani walioingiza fedha nyingi mwaka 2015
11 years ago
Bongo522 Jul
Forbes: Waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi 2014
11 years ago
Bongo525 Aug
MTV VMA 2014: Beyonce azoa tuzo nyingi zaidi, Drake, Eminem, Miley Cyrus pia washinda (orodha kamili)
10 years ago
Bongo510 Sep
Hii ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi kwenye EPL
10 years ago
Bongo523 Oct
Rapper K.O aongoza kwenye orodha ya ‘MTV Base Hottest MCs 2014’
9 years ago
Bongo506 Nov
Katy Perry aongoza orodha ya ‘Forbes Highest Paid Women In Music 2015’

Jarida la Forbes limetoa orodha ya wanawake wanaoongoza kwa kuingiza pesa nyingi zaidi kwenye muziki kwa mwaka 2015 (Forbes Highest Paid Women In Music 2015).
Katy Perry ndiye mwanamke anayeongoza kwa kulipwa pesa nyingi zaidi duniani kwenye muziki kwa mwaka huu, kwa mujibu wa orodha hiyo. Perry amekamata nafasi ya kwanza kwa kuingiza $135 million kwa kipindi cha mwka ammoja kuanzia June 1, 2014, hadi June 1, 2015.
Nafasi ya pili imeshikiliwa na Taylor Swift ambaye ameingiza $80...
9 years ago
Bongo516 Dec
Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka kwenye TV anayelipwa fedha nyingi zaidi UK

Mchezaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka anayelipwa fedha nyingi zaidi nchini Uingereza.
Sky Sport wanamlipa pauni milioni nne kila mwaka katika mkataba wake wa miaka sita.
Pamoja na kuwa nao, mkataba wake unamruhusu kufanya kazi hiyo na vituo vya runinga vingine.
Tayari imefahamika kuwa BBC Sport wanatarajia kumtangaza kama mchambuzi wao wa European Championship.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...