Hii ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi kwenye EPL
Hii ni orodha ya nyota wanaolipwa mishahara mikubwa kwenye ligi kuu, ya Uingereza. Wayne Rooney analipwa pauni 260,000 kwa wiki Wastani wa mshahara kwa kila mchezaji wa katika ligi hiyo ni pauni 44,000 kwa wiki ambazo ni sawa na pauni milioni 2.29 kwa mwaka lakini vilabu vikubwa hulipa zaidi ya hivyo. Sergio Aguero huchukua pauni […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo505 Sep
Orodha ya wachezaji 12 wa tennis duniani walioingiza fedha nyingi mwaka 2015
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-xJJ-zEgkCes/VYmR6c45qJI/AAAAAAAACMg/n5TyPxN_kUg/s72-c/Apresentacao-Kaka-Foto-DivulgacaoOrlando-City_LANIMA20140807_0210_25.jpg)
LIST YA WACHEZAJI WANAOLIPWA PESA NYINGI ZAIDI LIGI YA MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xJJ-zEgkCes/VYmR6c45qJI/AAAAAAAACMg/n5TyPxN_kUg/s400/Apresentacao-Kaka-Foto-DivulgacaoOrlando-City_LANIMA20140807_0210_25.jpg)
Kwanza kabisa ujue Kaka ndie mchezaji anaelipwa pesa nyingi kuliko wachezaji wote kwenye MLS ambapo yeye anapokea $7.16m (£4.51m) kwa mwaka. Pia anaefuatia sio Lampard wala Gerrad.Clint Dempsey ambae alikua Fulham and Tottenham na sasa anachezea Seattle Sounders, Michael Bradley wa Toronto FC wanalipwa pesa nyingi kuliko wachezaji hawa wa England.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RVqc5XtTMr8/VYmRGmXgxtI/AAAAAAAACMQ/mz6cuKwuZIc/s400/2462E86100000578-2895288-image-m-8_1420291496128.jpg)
.
Clint Dempsey analipwa kiasi cha $6.7m (£4.2m) na Michael Bradley analipwa $6.5m (£4.1m).Namba 4 anakaa Steven Gerrard amabe anacheza L.A Galaxy...
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Mabeki wa pembeni wanaolipwa fedha nyingi
10 years ago
Bongo505 Nov
Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014
11 years ago
Bongo522 Jul
Forbes: Waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi 2014
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Hii ndiyo orodha ya wachezaji 40 ambao wanawania kuwepo katika kikosi cha Ulaya 2015
MAKIPA
Joe Hart (Man City)
Gianluigi Buffon (Juventus)
Manuel Neuer (Bayern)
Denys Bokyo (Dnipro)
MABEKI
David Alaba (Bayern)
Jerome Boateng (Bayern)
Dani Alves (Barcelona)
Javier Mascherano (Barcelona)
Gerard Pique (Barcelona)
Giorgio Chiellini (Juventus)
Leonardo Bonucci (Juventus)
David Luiz (PSG)
Thiago Silva (PSG)
Diego Godin (Atletico Madrid)
Sergio Ramos (Real Madrid)
Ricardo Rodriguez (Wolfsburg)
VIUNGO
James Rodrigues (Real Madrid)
Paul Pogba (Juventus)
Claudio Marchisio(Juventus)
9 years ago
Bongo516 Dec
Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka kwenye TV anayelipwa fedha nyingi zaidi UK
![1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1DA5076200000578-3361435-image-a-63_1450207906418-300x194.jpg)
Mchezaji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thiery Henry ndiye mchambuzi wa soka anayelipwa fedha nyingi zaidi nchini Uingereza.
Sky Sport wanamlipa pauni milioni nne kila mwaka katika mkataba wake wa miaka sita.
Pamoja na kuwa nao, mkataba wake unamruhusu kufanya kazi hiyo na vituo vya runinga vingine.
Tayari imefahamika kuwa BBC Sport wanatarajia kumtangaza kama mchambuzi wao wa European Championship.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Fabregas kaongea haya kuhusu wachezaji wenzake wa Chelsea wanaolipwa mishahara mikubwa …
Klabu ya Chelsea ya Uingereza ni miongoni mwa vilabu vinavyolipa mishahara mikubwa wachezaji wake, klabu hiyo ambayo inamilikiwa na bilionea wa kirusi Roman Abromavich imekumbana na wakati mgumu msimu huu, baada ya kupokea jumla ya vipigo 9 katika mechi 16 ilizocheza. Kocha wa klabu hiyo Jose Mourinho alinukuliwa siku moja nyuma akilaumu wachezaji wake wanamsaliti, ila […]
The post Fabregas kaongea haya kuhusu wachezaji wenzake wa Chelsea wanaolipwa mishahara mikubwa … appeared first on...