Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabeki wa pembeni wanaolipwa fedha nyingi

Katika timu yoyote ya soka kuna nafasi nyingi wanazocheza wachezaji, wapo mabeki, viungo na washambuliaji. Mabeki ni miongoni mwa nafasi zilizopo kwenye mchezo wa soka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hii ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi kwenye EPL

Hii ni orodha ya nyota wanaolipwa mishahara mikubwa kwenye ligi kuu, ya Uingereza. Wayne Rooney analipwa pauni 260,000 kwa wiki Wastani wa mshahara kwa kila mchezaji wa katika ligi hiyo ni pauni 44,000 kwa wiki ambazo ni sawa na pauni milioni 2.29 kwa mwaka lakini vilabu vikubwa hulipa zaidi ya hivyo. Sergio Aguero huchukua pauni […]

 

11 years ago

Bongo5

Forbes: Waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi 2014

Mtandao wa Forbes umetoa orodha ya waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi. Nao ni kama wafuatao: Robert Downey, Jr. Robert Downey, Jr. $75 million Dwayne Johnson ‘The Rock’ $52 million Bradley Cooper $46 million Leonardo DiCaprio $39 million Chris Hemsworth $37 million Liam Neeson $36 million Ben Affleck $35 million Christian Bale […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

LIST YA WACHEZAJI WANAOLIPWA PESA NYINGI ZAIDI LIGI YA MAREKANI


Kwanza kabisa ujue Kaka ndie mchezaji anaelipwa pesa nyingi kuliko wachezaji wote kwenye MLS ambapo yeye anapokea $7.16m (£4.51m) kwa mwaka. Pia anaefuatia sio Lampard wala Gerrad.Clint Dempsey ambae alikua Fulham and Tottenham na sasa anachezea Seattle Sounders, Michael Bradley wa Toronto FC wanalipwa pesa nyingi kuliko wachezaji hawa wa England.

.
Clint Dempsey analipwa kiasi cha $6.7m (£4.2m) na Michael Bradley analipwa $6.5m (£4.1m).Namba 4 anakaa Steven Gerrard amabe anacheza L.A Galaxy...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanamichezo waliolipwa fedha nyingi 2014

Wanacheza na kufurahisha mamilioni ya watu duniani, lakini vilevile wanapata fedha nyingi kutokana na matangazo ya kibiashara, tuzo za fedha na ujira. Wafuatao ni wanamichezo 20 waliolipwa fedha nyingi mwaka 2014 kwa mujibu wa Jarida la Forbes la Marekani:

 

9 years ago

BBCSwahili

Ni busara kutumia fedha nyingi kwa sikukuu?

Watu wengi huwa hawajapangia matumizi ya wakati wa sikukuu tangu mwanzo wa mwaka na mwishowe hutumia fedha nyingi wakati wa sherehe.

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota waliovuna fedha nyingi usajili 2014/15

Kama ilivyozoeleka katika kila kipindi cha usajili, wapo wachezaji watakaotawala mazungumzo ya wapenzi wa soka kutokana na usajili wao kuzigharimu fedha nyingi klabu zao mpya na wakati mwingine klabu za awali.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yashauriwa kutenga fedha nyingi za maendeleo

Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
SERIKALI imeshauriwa kutenga kiasi kikubwa cha fedha za bajeti yake katika miradi mbalimbali ya maendeleo.

Ushauri huo ulitolewa Dar es Salaam jana na wadau wa maendeleo walioshiriki katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Policy Forum, uliojadili iwapo fedha zilizotengwa katika sekta ya elimu na afya ya uzazi zinakidhi.
Akizungumza katika mdahalo huo, Ofisa Utafiti na Uchambuzi na Sera wa HakiElimu, Makumba Mwenezi, alisema licha ya Serikali kutenga Sh...

 

9 years ago

Bongo5

Orodha ya wachezaji 12 wa tennis duniani walioingiza fedha nyingi mwaka 2015

Hii ni orodha ya wachezaji wa tennis duniani walioingiza fedha nyingi mwaka huu kwa mujibu wa Forbes. 1. Roger Federer – $67 million 2. Novak Djokovic – $48.2 million 3. Rafael Nadal – $32.5 million 4. Maria Sharapova -$29.7 millio 5. Serena Williams – $24.6 million 6. Andy Murray – $22.3 million 7. Kei Nishikori […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani