Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota waliovuna fedha nyingi usajili 2014/15

Kama ilivyozoeleka katika kila kipindi cha usajili, wapo wachezaji watakaotawala mazungumzo ya wapenzi wa soka kutokana na usajili wao kuzigharimu fedha nyingi klabu zao mpya na wakati mwingine klabu za awali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Sugu aongoza orodha wabunge waliovuna kura nyingi majimboni

Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ndiye aliongoza kwa kuchaguliwa na wapigakura wengi kuliko mbunge yeyote kati ya wabunge 257 waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu.     

 

10 years ago

Mwananchi

Wanamichezo waliolipwa fedha nyingi 2014

Wanacheza na kufurahisha mamilioni ya watu duniani, lakini vilevile wanapata fedha nyingi kutokana na matangazo ya kibiashara, tuzo za fedha na ujira. Wafuatao ni wanamichezo 20 waliolipwa fedha nyingi mwaka 2014 kwa mujibu wa Jarida la Forbes la Marekani:

 

11 years ago

Bongo5

Forbes: Waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi 2014

Mtandao wa Forbes umetoa orodha ya waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi. Nao ni kama wafuatao: Robert Downey, Jr. Robert Downey, Jr. $75 million Dwayne Johnson ‘The Rock’ $52 million Bradley Cooper $46 million Leonardo DiCaprio $39 million Chris Hemsworth $37 million Liam Neeson $36 million Ben Affleck $35 million Christian Bale […]

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014

Beyonce ndiye mwanamke kwenye muziki aliyeingiza fedha nyingi zaidi mwaka 2014. Kwa mujibu wa jarida la Forbes, mke huyo wa Jay Z ameingiza dola milioni 115 mwaka huu ikiwa ni zaidi ya nusu ya aliyoingiza mwaka jana. Fedha hizo zimepatikana zaidi kutokana na ziara yake ya muziki duniani na hivyo kumpiku Taylor Swift ambaye mwaka […]

 

9 years ago

Habarileo

Changamoto nyingi usajili Zanzibar

KATIBU wa Kamati ya Usajili wa klabu za wilaya ya Mjini Unguja, Ali Othman Kibichwa amesema kuwa wanaendelea vizuri na upitiaji wa fomu za usajili, licha ya kukutana na changamoto mbali mbali wakati wa upitiaji huo.

 

11 years ago

GPL

Nyota Simba waomba usajili Yanga

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akihojiwa na wanahabari. Na Wilbert Molandi
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, baadhi ya wachezaji wa Simba wamepiga hodi kwenye Klabu ya Yanga na kuomba kusajiliwa na timu hiyo. Usajili wa ligi kuu unatarajiwa kufunguliwa Juni 16 na kumalizika mapema Agosti, mwaka huu.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya uongozi wa Yanga, wengi wa… ...

 

11 years ago

GPL

Maximo ashikilia usajili wa nyota wanne Yanga

Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa hatima ya wachezaji wao wanne ambao mikataba yao imemalizika, ipo chini ya kocha mpya, Mbrazili, Marcio Maximo. Mbrazili huyo hivi sasa yupo katika mazungumzo ya mwisho na klabu hiyo kwa ajili ya kutua kuja kukinoa kikosi hicho akimrithi Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Nyota hao wanne ambao mikataba nayo imemalizika ni kipa Ali Mustapha...

 

10 years ago

Mwananchi

USAJILI: ‘Simba, Yanga zinajengea nyumba nyota’

>Winga wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amesema sasa ndiyo wakati wa Yanga na Simba kuwajengea nyumba wachezaji.

 

9 years ago

Bongo5

Manchester City imekamilisha usajili wa nyota wa Valencia, Nicolas Otamend

Klabu ya Manchester City hatimaye imekamilisha usajili wa mlinzi wa kimataifa wa Argentina, Nicolas Otamendi aliyekuwa mchezaji wa Valencia kwa dau la pauni milioni 32. Kocha mkuu wa klabu hiyo, Manuel Pellegrini anaamini kuwa amenunua beki bora zaidi. Otamendi alifuzu vipimo vya afya na kukubali kusaini mkataba wa miaka mitano. Kabla ya hapo Otamendi alikuwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani