Nyota waliovuna fedha nyingi usajili 2014/15
Kama ilivyozoeleka katika kila kipindi cha usajili, wapo wachezaji watakaotawala mazungumzo ya wapenzi wa soka kutokana na usajili wao kuzigharimu fedha nyingi klabu zao mpya na wakati mwingine klabu za awali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Sugu aongoza orodha wabunge waliovuna kura nyingi majimboni
Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ndiye aliongoza kwa kuchaguliwa na wapigakura wengi kuliko mbunge yeyote kati ya wabunge 257 waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu. Â Â Â
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Wanamichezo waliolipwa fedha nyingi 2014
Wanacheza na kufurahisha mamilioni ya watu duniani, lakini vilevile wanapata fedha nyingi kutokana na matangazo ya kibiashara, tuzo za fedha na ujira.
Wafuatao ni wanamichezo 20 waliolipwa fedha nyingi mwaka 2014 kwa mujibu wa Jarida la Forbes la Marekani:
11 years ago
Bongo522 Jul
Forbes: Waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi 2014
Mtandao wa Forbes umetoa orodha ya waigizaji wa kiume wa Hollywood wanaolipwa fedha nyingi zaidi. Nao ni kama wafuatao: Robert Downey, Jr. Robert Downey, Jr. $75 million Dwayne Johnson ‘The Rock’ $52 million Bradley Cooper $46 million Leonardo DiCaprio $39 million Chris Hemsworth $37 million Liam Neeson $36 million Ben Affleck $35 million Christian Bale […]
10 years ago
Bongo505 Nov
Beyonce aongoza orodha ya Forbes ya wanawake kwenye muziki walioingiza fedha nyingi zaidi 2014
Beyonce ndiye mwanamke kwenye muziki aliyeingiza fedha nyingi zaidi mwaka 2014. Kwa mujibu wa jarida la Forbes, mke huyo wa Jay Z ameingiza dola milioni 115 mwaka huu ikiwa ni zaidi ya nusu ya aliyoingiza mwaka jana. Fedha hizo zimepatikana zaidi kutokana na ziara yake ya muziki duniani na hivyo kumpiku Taylor Swift ambaye mwaka […]
9 years ago
Habarileo13 Sep
Changamoto nyingi usajili Zanzibar
KATIBU wa Kamati ya Usajili wa klabu za wilaya ya Mjini Unguja, Ali Othman Kibichwa amesema kuwa wanaendelea vizuri na upitiaji wa fomu za usajili, licha ya kukutana na changamoto mbali mbali wakati wa upitiaji huo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75pecdqB77AWyxEtfnTUfYXxEFIZe7bRJqIa1ih4MCrOTSrE*dRUNJ5aqZnYWvVef0TzWVEjLhjJv9JMWKa4Tvee/NYOTA.jpg?width=650)
Nyota Simba waomba usajili Yanga
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji akihojiwa na wanahabari. Na Wilbert Molandi
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, baadhi ya wachezaji wa Simba wamepiga hodi kwenye Klabu ya Yanga na kuomba kusajiliwa na timu hiyo. Usajili wa ligi kuu unatarajiwa kufunguliwa Juni 16 na kumalizika mapema Agosti, mwaka huu.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya uongozi wa Yanga, wengi wa… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx9nB-7qVtYRAkD07e0nTNx4Azp*bULL588RM5iKYG6KhntvsSB1oAccSJcCM8-1bGmPvG1F5B2dJnW5ruJK555y/11.gif?width=600)
Maximo ashikilia usajili wa nyota wanne Yanga
Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa hatima ya wachezaji wao wanne ambao mikataba yao imemalizika, ipo chini ya kocha mpya, Mbrazili, Marcio Maximo. Mbrazili huyo hivi sasa yupo katika mazungumzo ya mwisho na klabu hiyo kwa ajili ya kutua kuja kukinoa kikosi hicho akimrithi Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Nyota hao wanne ambao mikataba nayo imemalizika ni kipa Ali Mustapha...
10 years ago
Mwananchi26 May
USAJILI: ‘Simba, Yanga zinajengea nyumba nyota’
>Winga wa zamani wa Simba, Ulimboka Mwakingwe amesema sasa ndiyo wakati wa Yanga na Simba kuwajengea nyumba wachezaji.
9 years ago
Bongo521 Aug
Manchester City imekamilisha usajili wa nyota wa Valencia, Nicolas Otamend
Klabu ya Manchester City hatimaye imekamilisha usajili wa mlinzi wa kimataifa wa Argentina, Nicolas Otamendi aliyekuwa mchezaji wa Valencia kwa dau la pauni milioni 32. Kocha mkuu wa klabu hiyo, Manuel Pellegrini anaamini kuwa amenunua beki bora zaidi. Otamendi alifuzu vipimo vya afya na kukubali kusaini mkataba wa miaka mitano. Kabla ya hapo Otamendi alikuwa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania