Changamoto nyingi usajili Zanzibar
KATIBU wa Kamati ya Usajili wa klabu za wilaya ya Mjini Unguja, Ali Othman Kibichwa amesema kuwa wanaendelea vizuri na upitiaji wa fomu za usajili, licha ya kukutana na changamoto mbali mbali wakati wa upitiaji huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Nyota waliovuna fedha nyingi usajili 2014/15
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Hongera Rais Kikwete, changamoto bado nyingi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8NWk_FqiJrg/VPXKYgLjtLI/AAAAAAAHHUg/m4mLI2SSPvw/s72-c/DSC_0834.jpg)
Watu wenye Ulemavu wanakabiliwa na changamoto nyingi - SVF
Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na kusaidia watu wenye mahitaji maalum (SVF) limesema watu wenye ulemavu wako milioni 4.5 lakini wanakabiliwa na changamoto kutokana na mazingira wanayoishi.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Katibu Mkuu wa shirika hilo,Leontine Rwechungura amesema kutokana na kutambua mahitaji ya kundi la watu wenye ulemavu,wataanza kujenga miundombinu rafiki kwa wanafunzi katika shuke ya Sekondari,...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-3St79zTJ2DY/VMuJL8tRUQI/AAAAAAAAaLg/bD63BoEla20/s72-c/securedownload%5B1%5D.jpg)
LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA, ZUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3St79zTJ2DY/VMuJL8tRUQI/AAAAAAAAaLg/bD63BoEla20/s1600/securedownload%5B1%5D.jpg)
Na Ally Kondo, Addis AbabaWakuu wa Nchi za Afrika wamekumbushwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3St79zTJ2DY/VMuJL8tRUQI/AAAAAAAAaLg/bD63BoEla20/s72-c/securedownload%5B1%5D.jpg)
LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA - ZUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3St79zTJ2DY/VMuJL8tRUQI/AAAAAAAAaLg/bD63BoEla20/s1600/securedownload%5B1%5D.jpg)
Na Ally Kondo, Addis AbabaWakuu wa Nchi za Afrika wamekumbushwa...
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Hii ndiyo listi ya makocha 10 ambao wametumia pesa nyingi kufanya usajili tangu mwaka 2006
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Katika soka ili kupata kilicho bora unahitaji kufanya usajili licha ya kuwapo kwa makocha wachache ambao wamekuwa hawasajili sana na badili yake wamekuwa wakitumia wachezaji vijana ambao wanakuwa wakitokea katika vituo vya kukuzia vipaji [akademi] za klabu husika, kuchukua wachezaji ambao wapo huru au kununua wachezaji kwa gharama nafuu.
Modewjiblog imekuandalia listi ya makocha 10 ambao wametumia pesa nyingi kufanya usajili kwa kipindi miaka 10 iliyopita kwa...
10 years ago
VijimamboMWANADINGA WA SIKU NYINGI PATRICK KLUIVERT ATEMBELEA PANDE ZA ZANZIBAR
Mchezaji Patrikc Kluivert akiwasili Zanzibar huku akiwa amezingwa na wanahabari wanataka kupata mawili matatu kutoka kwa mwanadinga huyo wa siku nyingi.
kwa picha zaidi bofya soma zaidi
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …
Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]
The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto