Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …

Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]

The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Diego afunika usajili wa dirisha dogo

Dirisha dogo la usajili lilifungwa rasmi Jumanne usiku, huku wachezaji 32 wakithibitishwa kusajiliwa na timu 16 za Ligi Kuu, lakini aliyeibua gumzo ni kiungo mpya wa Yanga, Boubacar Issofou au Diego.

 

10 years ago

Mwananchi

Klabu zitumie vizuri dirisha dogo la usajili

Siku chache zijazo klabu 14 za Ligi Kuu pamoja na timu za madaraja mengine nchini zitaanza usajili mdogo kwa ajili ya kuziba nafasi zilizoonekana kuwa zina udhaifu wakati wa duru la kwanza la msimu huu.

 

9 years ago

MillardAyo

Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga wasajili nyota wawili …

Uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African usiku wa December 15 tukiwa tunaelekea kufunga dirisha la usajili imetangaza kukamilisha usajili wa nyota wawili. Yanga ambao walithibitisha kumtema mchezaji wa kimataifa wa Brazil aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Andry Coutinho wametangaza kusajili wachezaji wawili. Yanga wamethibtisha kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City na baadae Mwadui FC Paul […]

The post Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetesi za usajili Barani ulaya

Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi kwa kwa mlinda mlango David De Gea toka klabu ya Man United.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawindo ya usajili barani ulaya

Bossi wa Manchester City Manuel Pellegrini amefungua milango ya kutaka kumsajili mshambuliaji Lionel Messi toka Barcelona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dirisha la usajili lafugwa Tanzania

Usajili wa wachezaji nchini Tanzania msimu wa mwaka 2014/2015 umefugwa jana usiku.

 

10 years ago

Habarileo

Dirisha la usajili kufungwa leo

PILIKAPILIKA za usajili kwa wachezaji wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza (FDL) na Ligi Daraja la Pili (SDL), zinafikia tamati leo saa 6:00 usiku, imeelezwa. Msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema kuwa TFF imezikumbusha klabu zote zinazoshiriki msimu mpya wa mwaka 2015/2016, kuhakikisha vinakamilisha usajili wa wachezaji wao kabla ya dirisha hilo la usajili kufungwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dirisha la Usajili lafungwa England

Dirisha la kimataifa la usajili limefungwa huku Man united wakiibuka kidedea kwa kumnyakua Radamel Falcao kwa paundi milioni 6

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani