Diego afunika usajili wa dirisha dogo
Dirisha dogo la usajili lilifungwa rasmi Jumanne usiku, huku wachezaji 32 wakithibitishwa kusajiliwa na timu 16 za Ligi Kuu, lakini aliyeibua gumzo ni kiungo mpya wa Yanga, Boubacar Issofou au Diego.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …
Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]
The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Klabu zitumie vizuri dirisha dogo la usajili
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga wasajili nyota wawili …
Uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African usiku wa December 15 tukiwa tunaelekea kufunga dirisha la usajili imetangaza kukamilisha usajili wa nyota wawili. Yanga ambao walithibitisha kumtema mchezaji wa kimataifa wa Brazil aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Andry Coutinho wametangaza kusajili wachezaji wawili. Yanga wamethibtisha kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City na baadae Mwadui FC Paul […]
The post Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga...
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Nyota wa dirisha dogo wachemsha
9 years ago
Habarileo07 Nov
Kocha Yanga apotezea dirisha dogo
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema hafikiri kusajili mchezaji mpya kwenye dirisha dogo la usajili zaidi ya kuwaongezea mbinu aliokuwa nao kwenye kikosi alichoanza nacho msimu huu.
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Dirisha la usajili lafugwa Tanzania
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Dirisha la Usajili lafungwa England
10 years ago
Habarileo06 Aug
Dirisha la usajili kufungwa leo
PILIKAPILIKA za usajili kwa wachezaji wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza (FDL) na Ligi Daraja la Pili (SDL), zinafikia tamati leo saa 6:00 usiku, imeelezwa. Msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema kuwa TFF imezikumbusha klabu zote zinazoshiriki msimu mpya wa mwaka 2015/2016, kuhakikisha vinakamilisha usajili wa wachezaji wao kabla ya dirisha hilo la usajili kufungwa.