Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Yanga apotezea dirisha dogo

KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema hafikiri kusajili mchezaji mpya kwenye dirisha dogo la usajili zaidi ya kuwaongezea mbinu aliokuwa nao kwenye kikosi alichoanza nacho msimu huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga wasajili nyota wawili …

Uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African usiku wa December 15 tukiwa tunaelekea kufunga dirisha la usajili imetangaza kukamilisha usajili wa nyota wawili. Yanga ambao walithibitisha kumtema mchezaji wa kimataifa wa Brazil aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Andry Coutinho wametangaza kusajili wachezaji wawili. Yanga wamethibtisha kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City na baadae Mwadui FC Paul […]

The post Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota wa dirisha dogo wachemsha

Pamoja na baadhi ya klabu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara kutumia mamilioni ya fedha kufanya usajili wa wachezaji kwenye dirisha dogo mwezi Desemba mwaka jana, nyota wengi waliosajiliwa na timu hizo wameshindwa kuzisaidia timu zao kwa kiasi kikubwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Diego afunika usajili wa dirisha dogo

Dirisha dogo la usajili lilifungwa rasmi Jumanne usiku, huku wachezaji 32 wakithibitishwa kusajiliwa na timu 16 za Ligi Kuu, lakini aliyeibua gumzo ni kiungo mpya wa Yanga, Boubacar Issofou au Diego.

 

10 years ago

Mwananchi

Klabu zitumie vizuri dirisha dogo la usajili

Siku chache zijazo klabu 14 za Ligi Kuu pamoja na timu za madaraja mengine nchini zitaanza usajili mdogo kwa ajili ya kuziba nafasi zilizoonekana kuwa zina udhaifu wakati wa duru la kwanza la msimu huu.

 

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …

Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]

The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

11 years ago

GPL

DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE

Dogo Lila na Dogo Hilal wakifanya makamuzi ya nguvu ndani ya Dar Live.

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’

Lady Jaydee ameamua kujibu habari iliyoandikwa kwenye gazeti la udaku la Risasi kuhusu kuwa na uhusiano na aliyewahi kuwa mtuma salamu maarufu kwenye redio, Meddy Ahmed aka ‘Mtoto wa Vitoto’. Kwenye habari hiyo, Risasi wanadai kuwa Jaydee ambaye anadaiwa kuachana na mume wake Gadner G Habash ameonekana mara kadhaa na Mtoto wa Vitoto na kwamba […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani