KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.
Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Pluijm aunga mkono Niyonzima kutimuliwa Yanga
SIKU moja baada ya Yanga kusitisha mkataba wake na Haruna Niyonzima, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Hans van der Pluijm ameibuka na kusema alikwishamuondoa kiungo huyo kwenye mipango yake.
9 years ago
Habarileo14 Aug
Kocha: Yanga haijaiva
KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van der Pluijm amesema timu yake bado haijaiva kiasi cha kuridhika kutetea taji lake la Ligi Kuu hivyo inahitajika marekebisho kidogo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA HANS AAGA YANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLeW*7VDqh8QxF4DS0Cm-5M8uq3uRFCV1zghEfiT5wo90FRS30BGRAV1xrJTHKqUBbmFshepJRt2c57qy1T6*KV/yanga.gif?width=650)
Yanga yafuata kocha Brazil
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Kocha Yanga atoa masharti
KOCHA wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Hans Pluijm ameikataa kambi ya Zanzibar ameutaka uongozi kutafuta kambi hapa Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao wa kwanza wa ligi Kuu dhidi ya Coastal Union Jumapili katika Uwanja wa Taifa.
Awali uongozi wa Yanga ulitangaza kwenda kuweka kambi visiwani Zanzibar na kucheza mchezo mmoja wa kirafiki ili kujiweka sawa na Ligi Kuu Tanzania Bara.
Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alisema jana kuwa kocha wao hameghairi...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Kocha Al Ahly aichambua Yanga
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Kocha Pluijm kustaafia Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DQwulM1ND*jzXN7xRt7GbROb3x8PgZBb-RgLNvBq8I*AGWInz2RV4veIZe0H76Qes1rnXZqCJMqNmtLA6gcE0Th/KOCHA.jpg?width=650)
Kocha awatimua watatu Yanga SC
9 years ago
Habarileo18 Sep
Yanga yampa raha kocha
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amekisifu kikosi chake kwa kucheza vizuri na kupata ushindi wa nguvu wa mabao 3-0 katika mchezo dhidi ya Tanzania Prisons uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.