Kocha awatimua watatu Yanga SC
![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DQwulM1ND*jzXN7xRt7GbROb3x8PgZBb-RgLNvBq8I*AGWInz2RV4veIZe0H76Qes1rnXZqCJMqNmtLA6gcE0Th/KOCHA.jpg?width=650)
Kocha Ernie Brandts. Na Mwandishi Wetu KOCHA Ernie Brandts amesema kama angeendelea kubaki Yanga, basi angewatimua wachezaji watatu katika kikosi chake. Brandts, raia wa Uholanzi, amesema angewafukuza mara moja nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’, kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ na mshambuliaji Hamis Kiiza, raia wa Uganda. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Brandts alisema wachezaji hao wanapaswa kuondolewa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV19 May
Rais wa Burundi awatimua kazi mawaziri watatu.
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, amewafuta kazi mawaziri watatu, huku maandamano yakiendelea katika mji mkuu kufuatia jaribio la mapinduzi, juma lililopita.
Mawaziri walioachishwa kazi ni wa Ulinzi, mashauri ya nchi za kigeni na biashara.
Mapema hii leo, polisi walifyatua risasi hewani katika mji mkuu Bujumbura, kujaribu kuutawanya umati wa vijana uliokuwa ukifanya ghasia.
BBC
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Nyota watatu kuiacha Yanga karibuni
9 years ago
Habarileo14 Aug
Kocha: Yanga haijaiva
KOCHA Mkuu wa Yanga Hans van der Pluijm amesema timu yake bado haijaiva kiasi cha kuridhika kutetea taji lake la Ligi Kuu hivyo inahitajika marekebisho kidogo.
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Kocha Yanga amtega Kamara
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Yanga wamtega kocha mpya
KLABU ya Yanga imetangaza rasmi kumpatia mkataba wa miezi sita Kocha wake mpya, Hans Van Der Pluijm, ambaye tayari ameungana na timu hiyo iliyopo nchini Uturuki kujipanga kwa raundi ya...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Kocha Yanga amtosa Adebayor
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLeW*7VDqh8QxF4DS0Cm-5M8uq3uRFCV1zghEfiT5wo90FRS30BGRAV1xrJTHKqUBbmFshepJRt2c57qy1T6*KV/yanga.gif?width=650)
Yanga yafuata kocha Brazil
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Kocha Yanga atoa masharti
KOCHA wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Hans Pluijm ameikataa kambi ya Zanzibar ameutaka uongozi kutafuta kambi hapa Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao wa kwanza wa ligi Kuu dhidi ya Coastal Union Jumapili katika Uwanja wa Taifa.
Awali uongozi wa Yanga ulitangaza kwenda kuweka kambi visiwani Zanzibar na kucheza mchezo mmoja wa kirafiki ili kujiweka sawa na Ligi Kuu Tanzania Bara.
Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alisema jana kuwa kocha wao hameghairi...