Rais wa Burundi awatimua kazi mawaziri watatu.
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, amewafuta kazi mawaziri watatu, huku maandamano yakiendelea katika mji mkuu kufuatia jaribio la mapinduzi, juma lililopita.
Mawaziri walioachishwa kazi ni wa Ulinzi, mashauri ya nchi za kigeni na biashara.
Mapema hii leo, polisi walifyatua risasi hewani katika mji mkuu Bujumbura, kujaribu kuutawanya umati wa vijana uliokuwa ukifanya ghasia.
BBC
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKocha awatimua watatu Yanga SC
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Kova awatimua kazi askari wanne
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewafukuza kazi askari wake wanne kwa makosa ya utovu wa nidhamu, ikiwemo kujihusisha na vitendo vya ujambazi. Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
DC awatimua kazi mganga, muuguzi wa zahanati
MKUU wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kuwafukuza kazi watumishi wawili wa zahanati ya Kijiji cha Isakamaliwa kwa kudharau maelekezo yake ya kuwataka warudi...
10 years ago
MichuziJUST IN: MAWAZIRI WA EAC WAWASILISHA MAAMUZI YA WAKUU WA NCHI KWA RAIS WA BURUNDI
10 years ago
VijimamboMAWAZIRI WA EAC WAWASILISHA MAAMUZI YA WAKUU WA NCHI KWA RAIS WA BURUNDI
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Pierre Nkurunziza: Baraza la mawaziri lasema litaongoza Burundi hadi rais atakapoapishwa
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Mwigulu awatimua Kazi Viongozi Matapeli wa Vyama vya Tumbaku-Iringa
10 years ago
Mtanzania28 Jan
Mawaziri watatu kitanzini
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
BAADA ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, baadhi ya wananchi wamekuwa wakijiuliza ni nini ambacho mawaziri wapya wataweza kufanya kwa muda wa miezi tisa iliyobaki.
Pamoja na kuwa na muda mfupi, bado kuna mambo kadhaa ambayo huenda ikawa ni ‘kitanzi’ kwa mawaziri hao kabla ya nchi kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu.
Changamoto kubwa ni fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hasa baada ya nchi wahisani kugoma kutoa fedha kwa...
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Mawaziri watatu wa Magufuli wazua utata