Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC awatimua kazi mganga, muuguzi wa zahanati

MKUU wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kuwafukuza kazi watumishi wawili wa zahanati ya Kijiji cha Isakamaliwa kwa kudharau maelekezo yake ya kuwataka warudi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RC TABORA AAGIZA TAKUKURU SIKONGE KUMKAMATA MGANGA MFAWIDHI WA ZAHANATI YA TUTUO KWA TUHUMA ZA MALIPO KWA KAZI HEWA YA KISIMA

NA TIGANYA VINCENT
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kova awatimua kazi askari wanne

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewafukuza kazi askari wake wanne kwa makosa ya utovu wa nidhamu, ikiwemo kujihusisha na vitendo vya ujambazi. Akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

StarTV

Rais wa Burundi awatimua kazi mawaziri watatu.

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, amewafuta kazi mawaziri watatu, huku maandamano yakiendelea katika mji mkuu kufuatia jaribio la mapinduzi, juma lililopita.

Mawaziri walioachishwa kazi ni wa Ulinzi, mashauri ya nchi za kigeni na biashara.

Mapema hii leo, polisi walifyatua risasi hewani katika mji mkuu Bujumbura, kujaribu kuutawanya umati wa vijana uliokuwa ukifanya ghasia.

BBC

 

9 years ago

Global Publishers

Mwigulu awatimua Kazi Viongozi Matapeli wa Vyama vya Tumbaku-Iringa

Mwigulu (1) Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Mifugo, Mwigulu Nchemba akisalimiana na wadau wakati wa mkutano wake na viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika pamoja na wakulima, Iringa. Waziri wa Kilimo, Uvuvi na Mifugo, Mwigulu Nchemba amewasimamisha kazi viongozi wa vyama vya msingi vya tumbaku mkoani Iringa wanaotuhumiwa kushiriki katika ufisadi wa mkopo wa matrekta 9 kupitia mgongo wa vyama vya msingi vya wakulima wa tumbaku na kujimilikisha wenyewe. Mwigulu (2) Mwigulu akisalimiana na wadau Nchemba alifikia...

 

11 years ago

Mwananchi

Sista Theopista: Muuguzi anayefanya kazi akiwa kipofu kwa miaka 28

>Ni harufu ya dawa, damu,  mandhari iliyotawaliwa na bomba za sindano, dripu na mavazi meupe.

 

9 years ago

Michuzi

DC AAGIZA MUUGUZI ALIYEKAMATWA KWA WIZI WA DAWA SHINYANGA ASIMAMISHWE KAZI MARA MOJA

  Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amefanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha afya Kambarage mjini Shinyanga ili kujionea hali halisi jinsi huduma zinavyotolewa kwa wananchi siku moja tu baada ya muuguzi wa kituo hicho kukamatwa kwa tuhuma ya kuiba dawa za serikali.Pichani ni mkuu wa wilaya Josephine Matiro na katibu tawala wa wilaya ya Shinyanga wakiwa katika chumba cha kuhifadhia dawa wakiwa wamepigwa butwaa baada ya kuona chumba kimesheheni dawa wakati mara kwa mara...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mganga asimamishwa kazi kwa wizi wa dawa

court-hammer

Na Mwandishi wetu

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga, Mkoani Tabora wamependekeza kuwa Mganga wa    zahanati ya kata ya Sungwizi, Tarafa ya Nsimbo John Malaba asimamishwe kazi, kumfutia uhamisho aliopata wa kwenda makao makuu ya wilaya.

Licha ya kusimamishwa kazi baraza hilo pia limeamua kumfungulia mashtaka Mahakamani kwa tuhuma za wizi wa madawa ya binadamu yenye thamani ya shilingi 1,600,000/=.

Madiwani hao walifikia hatua hiyo baada ya kujibadili kutoka Baraza la...

 

11 years ago

GPL

Kocha awatimua watatu Yanga SC

Kocha Ernie Brandts. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Ernie Brandts amesema kama angeendelea kubaki Yanga, basi angewatimua wachezaji watatu katika kikosi chake. Brandts, raia wa Uholanzi, amesema angewafukuza mara moja nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’, kiungo Athumani Idd ‘Chuji’ na mshambuliaji Hamis Kiiza, raia wa Uganda. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Brandts alisema wachezaji hao wanapaswa kuondolewa...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI HAWA GHASIA AWATIMUA WAKURUGENZI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia (pichani) leo amewavua madaraka wakurugenzi wa Kasulu, Bunda, Serengeti, Mkuranga, Sengerema, Kaliua kwa uzembe wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani