Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC AAGIZA MUUGUZI ALIYEKAMATWA KWA WIZI WA DAWA SHINYANGA ASIMAMISHWE KAZI MARA MOJA

  Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amefanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha afya Kambarage mjini Shinyanga ili kujionea hali halisi jinsi huduma zinavyotolewa kwa wananchi siku moja tu baada ya muuguzi wa kituo hicho kukamatwa kwa tuhuma ya kuiba dawa za serikali.Pichani ni mkuu wa wilaya Josephine Matiro na katibu tawala wa wilaya ya Shinyanga wakiwa katika chumba cha kuhifadhia dawa wakiwa wamepigwa butwaa baada ya kuona chumba kimesheheni dawa wakati mara kwa mara...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mganga asimamishwa kazi kwa wizi wa dawa

court-hammer

Na Mwandishi wetu

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga, Mkoani Tabora wamependekeza kuwa Mganga wa    zahanati ya kata ya Sungwizi, Tarafa ya Nsimbo John Malaba asimamishwe kazi, kumfutia uhamisho aliopata wa kwenda makao makuu ya wilaya.

Licha ya kusimamishwa kazi baraza hilo pia limeamua kumfungulia mashtaka Mahakamani kwa tuhuma za wizi wa madawa ya binadamu yenye thamani ya shilingi 1,600,000/=.

Madiwani hao walifikia hatua hiyo baada ya kujibadili kutoka Baraza la...

 

9 years ago

Michuzi

MHE. JENISTA AAGIZA KAMATI ZA MENEJIMENTI YA MAAFA NCHINI KUWATAKA WANAOISHI KWENYE MAENEO HATARISHI KUHAMA MARA MOJA

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira, Kazi na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akitoa maagizo ya utekelezaji kwa Kamati za maafa katika ngazi zote nchini kuhusu tahadhari ya uwezekano wa kuwepo kwa mvua za El- Nino tarehe 22 Desemba,2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.)

 

9 years ago

Mwananchi

Muuguzi mbaroni kwa kuiba dawa za Serikali

Muuguzi mmoja wa Kituo cha Afya cha Kata ya Kambarage, Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa, ametiwa mbaroni kwa tuhuma za wizi wa dawa mali ya Serikali.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kamati yataka Blatter asimamishwe kazi

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza rais wa shirikisho la soka duniani FIFA asimamishwe kazi kwa siku tisini.

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU MAJALIWA AAGIZA ALIYEKAMATWA NA ZANA ZA UVUVI HARAMU MWANZA AKIONE CHA MTEMAKUNI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza kwa njia ya video na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mwanza akiwa ofisini kwake, Mlimwa jijini Dodoma, Aprili 15, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
/
DODOMA, TanzaniaWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa (KUU) wa Mwanza imchukulie hatua za kisheria mfanyabiashara aliyekamatwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya zana haramu za uvuvi.
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo ambaye...

 

11 years ago

Mwananchi

Sista Theopista: Muuguzi anayefanya kazi akiwa kipofu kwa miaka 28

>Ni harufu ya dawa, damu,  mandhari iliyotawaliwa na bomba za sindano, dripu na mavazi meupe.

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti ya mwanamke iliyofukuliwa Shinyanga yazikwa kwa mara ya pili

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga kwa kushirikiana na wananchi wa Mtaa wa Masekelo, Manispaa ya Shinyanga wamelifukia kaburi la Benadetha Steven (35) aliyezikwa na kifaranga tumboni lililofukuliwa juzi na watu wasiojulikana kwa madai ya imani za kishirikina.

 

10 years ago

Bongo5

Jackie Chain asema mwanae aliyekamatwa na dawa za kulevya China amemuaibisha sana

Kama mzazi, mwanao anapojihusisha katika kitendo cha aibu ni lazima hata wewe mwenyewe utajiskia aibu, ndivyo anavyojiskia muigizaji wa filamu za Hollywood, Jackie Chan baada ya mtoto wake wa kiume kukamatwa na dawa za kulevya. Baba na mwana Jacky Chan amesema mwanae aitwaye Jaycee amemuaibisha sana yeye na familia nzima hasa mama yake, baada ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani