DC AAGIZA MUUGUZI ALIYEKAMATWA KWA WIZI WA DAWA SHINYANGA ASIMAMISHWE KAZI MARA MOJA
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amefanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha afya Kambarage mjini Shinyanga ili kujionea hali halisi jinsi huduma zinavyotolewa kwa wananchi siku moja tu baada ya muuguzi wa kituo hicho kukamatwa kwa tuhuma ya kuiba dawa za serikali.Pichani ni mkuu wa wilaya Josephine Matiro na katibu tawala wa wilaya ya Shinyanga wakiwa katika chumba cha kuhifadhia dawa wakiwa wamepigwa butwaa baada ya kuona chumba kimesheheni dawa wakati mara kwa mara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Mganga asimamishwa kazi kwa wizi wa dawa
Na Mwandishi wetu
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Igunga, Mkoani Tabora wamependekeza kuwa Mganga wa zahanati ya kata ya Sungwizi, Tarafa ya Nsimbo John Malaba asimamishwe kazi, kumfutia uhamisho aliopata wa kwenda makao makuu ya wilaya.
Licha ya kusimamishwa kazi baraza hilo pia limeamua kumfungulia mashtaka Mahakamani kwa tuhuma za wizi wa madawa ya binadamu yenye thamani ya shilingi 1,600,000/=.
Madiwani hao walifikia hatua hiyo baada ya kujibadili kutoka Baraza la...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Of8TBoyvZu4/Vnk4vXToV6I/AAAAAAAIN3s/vqnsJpfbc8I/s72-c/a02777ee-7245-43bc-b8e3-b3d288643945.jpeg)
MHE. JENISTA AAGIZA KAMATI ZA MENEJIMENTI YA MAAFA NCHINI KUWATAKA WANAOISHI KWENYE MAENEO HATARISHI KUHAMA MARA MOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Of8TBoyvZu4/Vnk4vXToV6I/AAAAAAAIN3s/vqnsJpfbc8I/s640/a02777ee-7245-43bc-b8e3-b3d288643945.jpeg)
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Muuguzi mbaroni kwa kuiba dawa za Serikali
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Kamati yataka Blatter asimamishwe kazi
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA AAGIZA ALIYEKAMATWA NA ZANA ZA UVUVI HARAMU MWANZA AKIONE CHA MTEMAKUNI
/
DODOMA, TanzaniaWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa (KUU) wa Mwanza imchukulie hatua za kisheria mfanyabiashara aliyekamatwa kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya zana haramu za uvuvi.
“Yuko mfanyabiashara anaitwa Jeremiah Asam Omolo ambaye...
11 years ago
Mwananchi08 Mar
Sista Theopista: Muuguzi anayefanya kazi akiwa kipofu kwa miaka 28
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Maiti ya mwanamke iliyofukuliwa Shinyanga yazikwa kwa mara ya pili
10 years ago
Bongo521 Aug
Jackie Chain asema mwanae aliyekamatwa na dawa za kulevya China amemuaibisha sana