Muuguzi mbaroni kwa kuiba dawa za Serikali
Muuguzi mmoja wa Kituo cha Afya cha Kata ya Kambarage, Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa, ametiwa mbaroni kwa tuhuma za wizi wa dawa mali ya Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziDC AAGIZA MUUGUZI ALIYEKAMATWA KWA WIZI WA DAWA SHINYANGA ASIMAMISHWE KAZI MARA MOJA
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Mlemavu mbaroni kwa dawa za kulevya
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Said Tidwa (36), mkazi wa Vijibweni, Temeke kwa tuhuma za kufanya biashara ya dawa za kulevya. Akizungumza na waandishi wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uF-jR-abTls/XkThoCHKsPI/AAAAAAAAuyM/IVUvswzR-u0Vc8keXjQERN6jOR78a93wgCLcBGAsYHQ/s72-c/EC9zhJnXsAUMZlO.jpg)
MUUGUZI ALIYETUMBULIWA VYETI FEKI MBARONI KUMTOA MIMBA MWANAFUNZI NA KUMSABABISHIA KIFO
![](https://1.bp.blogspot.com/-uF-jR-abTls/XkThoCHKsPI/AAAAAAAAuyM/IVUvswzR-u0Vc8keXjQERN6jOR78a93wgCLcBGAsYHQ/s640/EC9zhJnXsAUMZlO.jpg)
Aliyeuawa ni mwanafunzi wa darasa la sita Shule ya Msingi Kilima, ambapo mtuhumiwa huyo alimtoa mimba kwa njia isiyokuwa halali na salama.
Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Revocatus Malimi amesema kuwa tukio hilo lilitokea Februari 08 mwaka huu nyumbani kwa Vedastina Cleophace, huku Kahwa ambaye...
11 years ago
Mwananchi08 Jan
‘Mrembo’ mbaroni kwa dawa za kulevya Uwanja wa Ndege
Kikosi Kazi cha Kupambana na Dawa za Kulevya, Uwanja wa Ndege wa Dar es Salam (JNIA) jana kilimkamata mwanamke mmoja, Salama Omari Muzara akiwa amemeza kete za dawa za kulevya aina ya Heroin ambazo idadi yake kamili haijajulikana.
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Mbaroni akidaiwa kuiba mtoto
Polisi wanamshikilia mkazi wa Mjimwema Makambako kwa tuhuma za wizi wa mtoto wa kiume mwenye umri ya miezi mitatu katika Hospitali ya Kibena, Njombe.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mtumishi adaiwa kuiba dawa hospitalini
Polisi wilayani Rufiji, mkoani Pwani inamshikilia mtumishi wa hospitali ya wilaya ya Rufiji (jina linahifadhiwa) kwa tuhuma za wizi wa makopo 48 ya dawa za antibiotic katika hospitali hiyo.
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Daktari atuhumiwa kuiba dawa Igunga
Na Abdallah Amiri, Igunga
MKUU wa wilaya ya Igunga, mkoani Tabora, Elibariki Kingu, ameiagiza polisi wilayani kwake, kumkamata mganga aliyeuza dawa katika zahanati iliyoko kata ya Sungwizi, wilayani Igunga.
Kingu alitoa agizo hilo jana, alipotembelea kata ya Sungwizi, katika ziara za kuhamasisha wananchi kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Alisema alishangazwa na taarifa za wananchi kuwa zahanati katika kata ya Sungwizi haina dawa kutokana...
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Wawili mbaroni kwa nyara za Serikali
Polisi mkoani Rukwa inawashikilia watu wawili akiwemo dereva wa gari mali ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa wakiwa na mizoga miwili ya nyamapori aina ya swala kinyume cha sheria.
9 years ago
Mwananchi28 Oct
100 watiwa mbaroni kwa kuchoma ofisi ya Serikali
Kundi la wananchi leo lilivamia ofisi ya Serikali ya kata ya Njoro,Manispaa ya Moshi, na kuichoma moto wakipinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea udiwani wa Chadema, Jomba Koyi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania