100 watiwa mbaroni kwa kuchoma ofisi ya Serikali
Kundi la wananchi leo lilivamia ofisi ya Serikali ya kata ya Njoro,Manispaa ya Moshi, na kuichoma moto wakipinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea udiwani wa Chadema, Jomba Koyi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Wanaodaiwa kuchoma ofisi ya Serikali kortini
9 years ago
Habarileo17 Dec
Mbaroni wakituhumiwa kwa mauaji, kuchoma makanisa
POLISI mkoani Kagera imewakamata watu watatu wanaotuhumiwa kujihusisha na matukio mbalimbali ya mauaji na uchomaji moto makanisa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Augustine Ollomi aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa matukio hayo yalikuwa yakifanyika mfululizo tangu mwaka 2013 hadi Novemba Mosi mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Saba mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa Bukoba
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Mwenyekiti wa CUF Bukoba na wengine 15 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma makanisa
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Wawili watiwa mbaroni kwa ‘unga’
10 years ago
Habarileo28 Apr
Watano watiwa mbaroni kwa upigaji ramli
WATU watano wa kijiji cha Mheza kilichopo Kata ya Mhinduro wilayani Mkinga wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa wakipiga ramli za uchonganishi zilizolenga kufichua wachawi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p0Z5czUmZow/U90KR3WfjmI/AAAAAAAF8ec/8AAHw7Gmyg0/s72-c/IMG-20140802-WA0012.jpg)
23 WATIWA MBARONI KWA KUKUTWA NA BANGI MKOANI PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-p0Z5czUmZow/U90KR3WfjmI/AAAAAAAF8ec/8AAHw7Gmyg0/s1600/IMG-20140802-WA0012.jpg)
KATI YA WATUHUMIWA HAO 7 WAMESHAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUPATIKANA NA MAKOSA WALIYOKUTWA NAYO NA WENGINE WALIACHIWA BAADA YA KUPATIKANA NA MAKOSAJI HALISI.
KIASI HICHO CHA BANGI KINGEINGIA MWALONI KINGELETA...
9 years ago
Habarileo27 Oct
166 watiwa mbaroni kwa kutumia ovyo mitandao
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu zaidi ya 166, ambao wanatuhumiwa kutumia mitandao ya kijamii kutangaza matokeo yasiyo rasmi. Kamishna wa Polisi wa kanda hiyo, Suleiman Kova alisema jana kuwa watu hao walikamatwa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/uA6n-PL7MzA/default.jpg)