Raia watatu wa kigeni watiwa mbaroni kwa wizi wa mitandao
![](http://img.youtube.com/vi/uA6n-PL7MzA/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIA WATATU WA KIGENI WAKAMATWA KWA MAKOSA YA WIZI WA MTANDAO KATIKA MABENKI JIJINI DAR ES SALAAM.
Polisi wa kikosi Maalum cha kupambana na wizi wa mtandao (Cyber Crime) walipata taarifa za kuaminika kwamba watu hao watatu walikuwa katika mazingira ya kutiliwa...
9 years ago
Habarileo27 Oct
166 watiwa mbaroni kwa kutumia ovyo mitandao
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu zaidi ya 166, ambao wanatuhumiwa kutumia mitandao ya kijamii kutangaza matokeo yasiyo rasmi. Kamishna wa Polisi wa kanda hiyo, Suleiman Kova alisema jana kuwa watu hao walikamatwa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lTzV_oHerZc/VZGnnfjFFOI/AAAAAAAHlwk/4dx55ce0HCY/s72-c/image061%2B%25281%2529.jpg)
WATATU WATIWA MBARONI JIJII DAR ES SALAAM KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lTzV_oHerZc/VZGnnfjFFOI/AAAAAAAHlwk/4dx55ce0HCY/s400/image061%2B%25281%2529.jpg)
Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa za mchana mtoa taarifa alifika kituo cha Polisi na kueleza kwamba marehemu ANNA D/O MIZINGI aliondoka tangu tarehe 26/12/2014 majira ya saa 1:00hrs...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-x-xe0PkHBO4/VVfE3CdoukI/AAAAAAAHXq8/IC03iwNBw50/s72-c/unnamed.jpg)
WATATU MBARONI KWA UVUNJAJI NA WIZI MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-x-xe0PkHBO4/VVfE3CdoukI/AAAAAAAHXq8/IC03iwNBw50/s400/unnamed.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyekamatwa huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Yarabi Salama (Yarabi Salama guest house) katika Manispaa ya Dodoma.
Aliyekamatwa anafahamika kwa jina la MASAGARA S/O MESO, Mwenye miaka 40, Kabila Mzanaki wa Butiama, akiwa na funguo bandia 19, Master key 2, Bisibisi 2, Kisu kimoja, Tupa moja, Mikasi mitatu mikubwa ya kukatia vyuma, Msumeno ya kukatia vyuma mitano, Mitalimbo ya...
10 years ago
VijimamboWATU WATATU MBARONI KWA UVUNJAJI NA WIZI MKOANI DODOMA
10 years ago
MichuziNEWSSSSS ALERT!!!!!!!!!! MAJAMBAZI WATATU WAUWAWA NA WAWILI WATIWA MBARONI
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiMAJAMBAZI waliovamia Kituo cha Stakishari jijini Dar es Salaam watatu wauwawa na wawili watiwa mbaroni wakati wakitupiana risasi katika eneo la Tuangoma, Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo la kukamatwa na kuuawa kwa majambazi hao lilitokea Julai 17 mwaka huu huko maeneo ya Tuangoma Kigamboni jijini Dar es Salaam, na majambazi wa tukio la kinyama la kuuwawa kwa askari wanne na raia watatu katika kituo cha Stakishari wanakadiriwa kuwa kati ya 16 hadi...
Tukio hilo la kukamatwa na kuuawa kwa majambazi hao lilitokea Julai 17 mwaka huu huko maeneo ya Tuangoma Kigamboni jijini Dar es Salaam, na majambazi wa tukio la kinyama la kuuwawa kwa askari wanne na raia watatu katika kituo cha Stakishari wanakadiriwa kuwa kati ya 16 hadi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3NOjMuMBiGE/VTZtVEdl-QI/AAAAAAAHSRk/2SivmDfdMKs/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM JUU YA KUTIWA MBARONI KWA WATUHUMIWA SUGU WA KUPORA RAIA WA KIGENI NA AKINA MAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3NOjMuMBiGE/VTZtVEdl-QI/AAAAAAAHSRk/2SivmDfdMKs/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Hivi karibuni kumeibuka wimbi la wahalifu kuwapora pesa na vitu vya thamani kama mikufu, bangili, hereni pia pete na vitu mbalimbali vya thamani raia wa kigeni na akina mama ambao hupenda kutembea na pochi. Wahalifu hawa hutumia gari dogo ambalo mara kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Fr74s4q3MTw/U6Q-fMjaMKI/AAAAAAAFr9U/n4fWQpvvhbM/s72-c/unnamed+(16).jpg)
WATU WATATU WATIWA MBARONI MKOANI PWANI,WAKUTWA NA BASTOLA NA SARE ZA JESHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fr74s4q3MTw/U6Q-fMjaMKI/AAAAAAAFr9U/n4fWQpvvhbM/s1600/unnamed+(16).jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kuwakamata watu watatu akiwemo mtu Daniel Mtalisi mkazi wa Kisemvule wilaya ya Mkuranga ambaye alipitia mafunzo ya kijeshi kwa tuhuma za kufanya tukio la uhalifu wa kupora silaha na vitu mbalimbali.
Mtuhumiwa huyo ambayealiwahi kupata mafunzo ya kijeshi kwenye Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kikosi namba 833 Oljoro Arusha na namba yake ni MT. 95150.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kwa waandishi wa habari mjini Kibaha,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--EsEBeArhDU/U_dhp9zoyfI/AAAAAAAGBc4/Hn4C9mANAOY/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni
![](http://1.bp.blogspot.com/--EsEBeArhDU/U_dhp9zoyfI/AAAAAAAGBc4/Hn4C9mANAOY/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dHnPbYwDnEg/U_dhvcv-mxI/AAAAAAAGBdA/61pMNRyp4uo/s1600/scan0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXE026mtggo/U_djUzEFIqI/AAAAAAAGBdU/I8j6UL4Z5JU/s1600/scan00002.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania