166 watiwa mbaroni kwa kutumia ovyo mitandao
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu zaidi ya 166, ambao wanatuhumiwa kutumia mitandao ya kijamii kutangaza matokeo yasiyo rasmi. Kamishna wa Polisi wa kanda hiyo, Suleiman Kova alisema jana kuwa watu hao walikamatwa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/uA6n-PL7MzA/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Wawili watiwa mbaroni kwa ‘unga’
Kikosi cha Polisi cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kia), kimewakamata mkazi wa Ilala na raia wa Nigeria, kwa tuhuma za kukutwa na begi lenye kilo 4.8 za dawa zinazodhaniwa kuwa ni za kulevya.
10 years ago
Habarileo28 Apr
Watano watiwa mbaroni kwa upigaji ramli
WATU watano wa kijiji cha Mheza kilichopo Kata ya Mhinduro wilayani Mkinga wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa wakipiga ramli za uchonganishi zilizolenga kufichua wachawi.
9 years ago
Mwananchi28 Oct
100 watiwa mbaroni kwa kuchoma ofisi ya Serikali
Kundi la wananchi leo lilivamia ofisi ya Serikali ya kata ya Njoro,Manispaa ya Moshi, na kuichoma moto wakipinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea udiwani wa Chadema, Jomba Koyi.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p0Z5czUmZow/U90KR3WfjmI/AAAAAAAF8ec/8AAHw7Gmyg0/s72-c/IMG-20140802-WA0012.jpg)
23 WATIWA MBARONI KWA KUKUTWA NA BANGI MKOANI PWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-p0Z5czUmZow/U90KR3WfjmI/AAAAAAAF8ec/8AAHw7Gmyg0/s1600/IMG-20140802-WA0012.jpg)
KATI YA WATUHUMIWA HAO 7 WAMESHAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUPATIKANA NA MAKOSA WALIYOKUTWA NAYO NA WENGINE WALIACHIWA BAADA YA KUPATIKANA NA MAKOSAJI HALISI.
KIASI HICHO CHA BANGI KINGEINGIA MWALONI KINGELETA...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s72-c/AC.jpg)
WANAFUNZI 84 WA UDOM WATIWA MBARONI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s640/AC.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-750dCVUUmvQ/VLaS6eTNrgI/AAAAAAACVqg/SME6IEMUVxY/s640/ZC.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lTzV_oHerZc/VZGnnfjFFOI/AAAAAAAHlwk/4dx55ce0HCY/s72-c/image061%2B%25281%2529.jpg)
WATATU WATIWA MBARONI JIJII DAR ES SALAAM KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lTzV_oHerZc/VZGnnfjFFOI/AAAAAAAHlwk/4dx55ce0HCY/s400/image061%2B%25281%2529.jpg)
Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa za mchana mtoa taarifa alifika kituo cha Polisi na kueleza kwamba marehemu ANNA D/O MIZINGI aliondoka tangu tarehe 26/12/2014 majira ya saa 1:00hrs...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s72-c/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ....: WANAOTUHUMIWA KWA UJAMBAZI WA SILAHA WATIWA MBARONI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-uDgZT_0_WM8/VTYeS7jH6LI/AAAAAAAHSMI/UngHHClER_A/s1600/IMG-20150421-WA0015%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uoW6XzNIBWo/VTYeSTpMd3I/AAAAAAAHSME/koTvyMoET6A/s1600/IMG-20150421-WA0017%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UhPaldN1yqc/VTYeSs3L5NI/AAAAAAAHSMU/24dlrcWN_6g/s1600/IMG-20150421-WA0019%2Bcopy.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s72-c/MISA%2B3.jpg)
WATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA FAIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B3.jpg)
Muongozaji wa majadiliano Bw. Michael Gwimile akifafanua jambo wakati wa mkutano wa majadiliano uliowashirikisha wadau mbalimbali wa Habari ulioandaliwa na MISA-Tan na kufanyika hivi karibuni Jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ghm6G37z5M/Xs5dCXDDKRI/AAAAAAAAH8U/rqiyZRJDYYApjpwAKRsaD1lJWVIzudxawCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-P-WIdrfvkgY/Xs5dDBhbCBI/AAAAAAAAH8c/SO2djtsPsywdEWM-Wpaf06L0l3cr-FG1wCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B5.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10