WATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA FAIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s72-c/MISA%2B3.jpg)
Muongozaji wa majadiliano Bw. Michael Gwimile akifafanua jambo wakati wa mkutano wa majadiliano uliowashirikisha wadau mbalimbali wa Habari ulioandaliwa na MISA-Tan na kufanyika hivi karibuni Jijini Dodoma.Muongozaji wa majadiliano Mrakibu Msaidizi wa Polisi Bw. Athumani Mtasha akifafanuakuhusu nafasi ya polisi katika kudhibiti makosa ya kimtandao na ushirikiano na vyombo vya Habari wakati wa mkutano wa majadiliano ulioandaliwa na MISA-Tan na kufanyika jijini Dodoma.
Washiriki wa mkutano wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8QN796L_tWk/VCGIY6bjB5I/AAAAAAADFNM/ZdaSI45RX1c/s72-c/PIX%2B1.png)
KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII SI DHAMBI, TUITUMIE VIZURI KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8QN796L_tWk/VCGIY6bjB5I/AAAAAAADFNM/ZdaSI45RX1c/s1600/PIX%2B1.png)
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM. 23/09/2014. Mitandao ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati hapa duniani. Pamoja na umuhimu nwa mitandao hii ya kijamii, kuna baadhi ya watu ambao wao hujiona kuwa wameendelea katika ulimwengu wa kisayansi na teknolojia kiasi cha kuanza...
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Shamim Mwasha atoa mada namna kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa kwenye semina ya taasisi ya Manjano
Mkurugenzi Mtendaji 8020 Fashion na Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha akitoa mada kwenye Semina ya kuwawezesha wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd. Mkurugenzi wa Manjano Foundation, Mama Shekhar Nasser.
Washiriki wakimsikiliza...
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
TPHA washauri wataalamu kutumia mitandao ya kijamii
Andrew Chale ambaye pia ni mwandishi wa habari wa Tanzania Daima akichangia mada juu ya umuhimu wa matumizi ya mitandao ya kijamii ikiwemo facebook,blogs,website, whatsapp na mingineo.
Wataalamu wa Afya wameshahuriwa kutumia mitandao ya kijamii katika kuwafikia watu mbalimbali katika sekta ya afya.
Hayo yamesemwa kwenye kongamano la 31 la Kisayansi na Mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) unaoendelea katika ukumbi wa Stella Maris, Bagamoyo.
Mada hiyo imewakilisha...
10 years ago
MichuziMKURUGENZI MTENDAJI WA 8020 FASHIONS SHAMIM MWASHA ATOA MADA NAMNA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA MANUFAA KWENYE SEMINA YATAASISI YA MANJANO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7xv7bxSe4jI/VCvhCKk38PI/AAAAAAAGm-k/N5U-OqyJ9HA/s72-c/PIX%2B9.JPGG.jpg)
Watanzania washauriwa kutumia mfumo wa KAIZEN kuleta tija
![](http://4.bp.blogspot.com/-7xv7bxSe4jI/VCvhCKk38PI/AAAAAAAGm-k/N5U-OqyJ9HA/s1600/PIX%2B9.JPGG.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
‘Mitandao ya kijamii itumike kwa maendeleo’
WATANZANIA wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kupata taarifa mbalimbali na kuzitumia katika maendeleo.
Mjumbe wa Bodi ya Utendaji ya Kituo cha Ushirikiano wa Kilimo na Maendeleo Vijijini cha nchi za Umoja wa Ulaya, Afrika, Karibiani na Pasifiki (CTA), Profesa Faustin Kamuzora, amesema taarifa hizo zina mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta za kilimo, usindikaji, biashara na ukuzaji wa masoko katika ukanda wa Afrika Mashariki na duniani kwa jumla.
Akifungua mafunzo ya...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-nVd6D5O3TK4/VFpxCgJnpQI/AAAAAAAGvqE/ulDVmljibuc/s1600/1415213231614_Screenshots.png)
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Mitandao ya kijamii itumike kwa malengo chanya
MITANDAO ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma, endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati. Pamoja na umuhimu wa mitandao...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XHBq5drzfB4/VkiV2Z2_nwI/AAAAAAAIF7o/1RLZCL2n3zs/s72-c/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
WAZIRI MKUU ACHAGULIWI KWA KURA ZA MAONI WALA KWA MITANDAO YA KIJAMII - MWAKYEMBE
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHBq5drzfB4/VkiV2Z2_nwI/AAAAAAAIF7o/1RLZCL2n3zs/s1600/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe (pichani) amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania atatokana na uteuzi utakaoidhinishwa na Bunge na si taarifa zilizopo sasa katika mitandao ya kijamii.Dkt. Mwakyembe ambaye amewahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne, alisema kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ambaye huwasilisha jina hilo kwa Spika wa Bunge na baadaye...