KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII SI DHAMBI, TUITUMIE VIZURI KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8QN796L_tWk/VCGIY6bjB5I/AAAAAAADFNM/ZdaSI45RX1c/s72-c/PIX%2B1.png)
Meneja mawasiliano wa mamamlaka ya mawasiliano Tanzania ( TCRA) Bwn. Innocent Mungy akisisitiza jambo
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM. 23/09/2014. Mitandao ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati hapa duniani. Pamoja na umuhimu nwa mitandao hii ya kijamii, kuna baadhi ya watu ambao wao hujiona kuwa wameendelea katika ulimwengu wa kisayansi na teknolojia kiasi cha kuanza...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Boniventura: Tuitumie mitandao ya kijamii kujiendeleza kielimu
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MA F A N I K I O na matokeo mazuri ya elimu kwa wanafunzi yanatokana na juhudi za mwalimu na mzazi kwa kumjengea mtoto mazingira mazuri ya kujifunzia.
Kutokana na hali hiyo, zipo shule mbalimbali ambazo walimu pamoja na wazazi wameungana kwa pamoja kuhakikisha wanawasaidia watoto wao kwa lengo la kuwapatia elimu bora yenye manufaa katika jamii.
Shule ya Sekondari ya Victor iliyopo Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Mitandao ya kijamii itumike kwa malengo chanya
MITANDAO ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma, endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati. Pamoja na umuhimu wa mitandao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s72-c/MISA%2B3.jpg)
WATANZANIA WASHAURIWA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA FAIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cXiKLt3clko/Xs5dCvTSH8I/AAAAAAAAH8Y/0vZNTfbQ7tg5xY1JoZ0RcsUC44syX5sJwCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B3.jpg)
Muongozaji wa majadiliano Bw. Michael Gwimile akifafanua jambo wakati wa mkutano wa majadiliano uliowashirikisha wadau mbalimbali wa Habari ulioandaliwa na MISA-Tan na kufanyika hivi karibuni Jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-8ghm6G37z5M/Xs5dCXDDKRI/AAAAAAAAH8U/rqiyZRJDYYApjpwAKRsaD1lJWVIzudxawCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-P-WIdrfvkgY/Xs5dDBhbCBI/AAAAAAAAH8c/SO2djtsPsywdEWM-Wpaf06L0l3cr-FG1wCLcBGAsYHQ/s640/MISA%2B5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Shamim Mwasha atoa mada namna kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa kwenye semina ya taasisi ya Manjano
Mkurugenzi Mtendaji 8020 Fashion na Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha akitoa mada kwenye Semina ya kuwawezesha wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd. Mkurugenzi wa Manjano Foundation, Mama Shekhar Nasser.
Washiriki wakimsikiliza...
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
TPHA washauri wataalamu kutumia mitandao ya kijamii
Andrew Chale ambaye pia ni mwandishi wa habari wa Tanzania Daima akichangia mada juu ya umuhimu wa matumizi ya mitandao ya kijamii ikiwemo facebook,blogs,website, whatsapp na mingineo.
Wataalamu wa Afya wameshahuriwa kutumia mitandao ya kijamii katika kuwafikia watu mbalimbali katika sekta ya afya.
Hayo yamesemwa kwenye kongamano la 31 la Kisayansi na Mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) unaoendelea katika ukumbi wa Stella Maris, Bagamoyo.
Mada hiyo imewakilisha...
10 years ago
MichuziMKURUGENZI MTENDAJI WA 8020 FASHIONS SHAMIM MWASHA ATOA MADA NAMNA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA MANUFAA KWENYE SEMINA YATAASISI YA MANJANO
10 years ago
Mwananchi08 Jun
MAONI: Umisseta itumike kikamilifu kutimiza malengo yaliyokusudiwa
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
‘Mitandao ya kijamii itumike kwa maendeleo’
WATANZANIA wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kupata taarifa mbalimbali na kuzitumia katika maendeleo.
Mjumbe wa Bodi ya Utendaji ya Kituo cha Ushirikiano wa Kilimo na Maendeleo Vijijini cha nchi za Umoja wa Ulaya, Afrika, Karibiani na Pasifiki (CTA), Profesa Faustin Kamuzora, amesema taarifa hizo zina mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta za kilimo, usindikaji, biashara na ukuzaji wa masoko katika ukanda wa Afrika Mashariki na duniani kwa jumla.
Akifungua mafunzo ya...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-nVd6D5O3TK4/VFpxCgJnpQI/AAAAAAAGvqE/ulDVmljibuc/s1600/1415213231614_Screenshots.png)