MAONI: Umisseta itumike kikamilifu kutimiza malengo yaliyokusudiwa
>Mashindano ya Taifa ya Umoja wa Michezo kwa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) yalianza jana mjini Mwanza na kushirikisha timu mbalimbali za michezo kutoka kanda mbalimbali zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Umisseta itumike kuibua vipaji, kujenga umoja
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8QN796L_tWk/VCGIY6bjB5I/AAAAAAADFNM/ZdaSI45RX1c/s72-c/PIX%2B1.png)
KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII SI DHAMBI, TUITUMIE VIZURI KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8QN796L_tWk/VCGIY6bjB5I/AAAAAAADFNM/ZdaSI45RX1c/s1600/PIX%2B1.png)
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM. 23/09/2014. Mitandao ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati hapa duniani. Pamoja na umuhimu nwa mitandao hii ya kijamii, kuna baadhi ya watu ambao wao hujiona kuwa wameendelea katika ulimwengu wa kisayansi na teknolojia kiasi cha kuanza...
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Mitandao ya kijamii itumike kwa malengo chanya
MITANDAO ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma, endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati. Pamoja na umuhimu wa mitandao...
11 years ago
Dewji Blog29 May
JK aitaka jumuiya ya kimataifa kutekeleza malengo ya milenia kikamilifu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameitaka Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha kuwa malengo ya milenia yanatekelezwa kwa ukamilifu hata baada ya kuisha muda uliowekwa wa kuyatimiza, kabla ya kuweka malengo mengine duniani.
Rais Kikwete ametoa ushauri huo tarehe 28 Mei,2014 mwanzoni mwa mkutano wa kimataifa unaohusu Afya ya Mama na Mtoto jijini Toronto Canada, ambapo alikuwa akijibu maswali kuhusu matokeo ya malengo ya milenia kuelekea mwisho wa muda wa kuyatekeleza mwakani 2015.
“Tukamilishe...
11 years ago
Habarileo02 May
RUBADA wahimizwa kutimiza malengo
WAJUMBE wa Bodi ya Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (Rubada), wamehimizwa kutimiza malengo yote waliyojiwekea katika muda wao wa miaka mitatu kwa kuongeza ufanisi zaidi wa mamlaka hiyo.
11 years ago
Mwananchi08 Jul
MAONI: Umiseta, Umitashumta itumike vizuri
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Tumsaidie Dk Magufuli kutimiza malengo haya
10 years ago
Habarileo30 Aug
Shein asifiwa kutimiza malengo ya milenia
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) imesema Serikali ya Zanzibar inayoongozwa na Rais Dk Ali Mohamed Shein imeyafikia malengo ya milenia kutokana na utendaji wake wa ufanisi, kama tamko hilo lilivyoazimiwa na Umoja wa Mataifa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOJz7HFqbWlaO8GFP8lJRHHleoE-FaE2EBZJD4eryMdChKFVRlV4qSPZMhD1778MOz7MRK4vSLHluATJY7xH*MpS/1goals.jpg?width=650)
NJIA BORA YA KUTIMIZA MALENGO YALIYOKWAMA MWAKA 2013 - 2