Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Umiseta, Umitashumta itumike vizuri

>Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta) yamemalizika juzi kwenye viwanja vya Shirika la Elimu, Kibaha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YASITISHA MASHINDANO YA UMISETA/UMITASHUMTA KUHOFIA MAAMBUKIZI YA CORONA


Charles James, Michuzi TV

Serikali imesitisha mashindano ya michezo kwa wanafunzi katika ngazi ya Shule ya Msingi na Sekondari (Umiseta, Umitashumta)  yaliyokua yafanyike hivi karibuni kutokana na tishio la maambukizi ya ugonjwa wa Corona hadi hapo itakapotangazwa baadae.

Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Selemani Jafo amesema pamoja na kusitisha mashindano hayo pia shule zitakazofanya mahafali ya kidato cha sita hazitoruhusiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Fursa ya kukuza soka itumike vizuri Kombe la FA

Uamuzi uliofikiwa juzi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kurejesha mashindano ya kombe la chama hicho, maarufu FA Cup unafaa kupongezwa na wanamichezo na wadau  wote wa soka nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

lugha yetu ya Kiswahili inajitosheleza, itumike vizuri

Baada ya kutafakari juu ya matumizi yasiyo sahihi ya lugha yetu ya Kiswahili, hivi karibuni nilishawishika kuandika ili kutoa mchango wangu kuhimiza matumizi ya lugha yetu kila mahali.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Umisseta itumike kikamilifu kutimiza malengo yaliyokusudiwa

>Mashindano ya Taifa ya Umoja wa Michezo kwa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) yalianza jana mjini Mwanza na kushirikisha timu mbalimbali za michezo kutoka kanda mbalimbali zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

FBF wamzawadia bingwa Umitashumta

BINGWA wa Michezo ya Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta), Tumaini James juzi alizawadiwa baada ya kufanya vizuri katika mchezo wa riadha taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nachingwea mabingwa soka Umitashumta Lindi

WILAYA ya Nachingwea mkoani hapa, imetawazwa mabingwa wapya wa soka katika michuano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta), ngazi ya mkoa, baada ya kuwalaza waliokuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

UMITASHUMTA: Magharibi, Kati waanza kwa dhahabu

Wanariadha, Agatha Paulo wa Kanda ya Magharibi na Jilunga Amos (Kanda ya Kati) wamekuwa wanamichezo wa kwanza kutwaa medali za dhahabu kwenye michuano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta).

 

10 years ago

Dewji Blog

PINDA afungua mashindano ya UMISETA jijini Mwanza

IMGL8638
IMGL8569

Waziri mkuu, Mizengo Pinda akikagua kundi la waamuzi na walimu wa michezo wa shule za sekondari baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 10, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGL8588

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wachezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya kanda ya ziwa baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

IMGL8638

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga mpira wakati alipofungua mashindano ya UMISETA...

 

10 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA UMITASHUMTA YAFIKIA ROBO FAINALI JIJINI MWANZA

 Mgeni rasmi katika mchezo wa robo fainali ya Netiboli kati ya Mtwara dhidi ya Mwanza Bibi Odilio Mushi ambaye pia ni Afisa Elimu Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI akitoa nasaha kwa wanamichezo hao mara baada ya kuzikagua timu zao  katika viwanja vya Chuo cha Ualimu cha Butimba, Mwanza. Waamuzi wa mchezo wa riadha wanaoshiriki katika mashindano ya UMITASHUMTA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufanyika kwa fainali ya mbio za mita 400 yanayoendelea katika viwanja vya Chuo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani