SERIKALI YASITISHA MASHINDANO YA UMISETA/UMITASHUMTA KUHOFIA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kB238HMM_VA/Xm4Woqw5FvI/AAAAAAALjvY/wMk46mT5AeE9aofmg9UUJX1GvtYcSVM2ACLcBGAsYHQ/s72-c/66bd3974-9bf8-412d-a965-db8aecfd0ecf%2B%25281%2529.jpg)
Charles James, Michuzi TV
Serikali imesitisha mashindano ya michezo kwa wanafunzi katika ngazi ya Shule ya Msingi na Sekondari (Umiseta, Umitashumta) yaliyokua yafanyike hivi karibuni kutokana na tishio la maambukizi ya ugonjwa wa Corona hadi hapo itakapotangazwa baadae.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Selemani Jafo amesema pamoja na kusitisha mashindano hayo pia shule zitakazofanya mahafali ya kidato cha sita hazitoruhusiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Jfer_RFw5JM/XnC7NHY7dZI/AAAAAAALkF8/NYeLpw-kBOkiatkhKEmezdY_u1XFDG-ZQCLcBGAsYHQ/s72-c/download-6.jpg)
CAF YASITISHA MASHINDANO YA CHAN KUHOFIA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jfer_RFw5JM/XnC7NHY7dZI/AAAAAAALkF8/NYeLpw-kBOkiatkhKEmezdY_u1XFDG-ZQCLcBGAsYHQ/s400/download-6.jpg)
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limeahirisha Mashindao ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ndani (CHAN) kufuatia kuongezeka kwa maambukizi ya COVID19 (virusi vya corona)Mashindano hayo yalipaswa kuanza April 04 mpaka April 25 2020 huko Cameroon.
Tanzania ni miongoni mwa timu zilizokuwa zishiriki mashindano hayo ambapo kikosi cha Stars bado kiko kambiniBaada ya uamuzi huo ni wazi kambi itavunjwa na wachezaji kurejea kwenye timu zao kuendelea na ligi kuu (kama TFF...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
MAONI: Umiseta, Umitashumta itumike vizuri
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qzAfK3w4T-Q/XnC4wxmvAFI/AAAAAAALkFA/mvu8kMtjtDY-bqxIA9S9UF2wftTa3k_sQCLcBGAsYHQ/s72-c/47ca69ff-2a20-4c75-b4e1-b45efa496c95.jpg)
WIZARA YA ELIMU YASITISHA SHEREHE ZA UFUNGUZI MASHINDANO YA MAKISATU KUEPUKA CORONA
Charles James, Globu ya Jamii
KATIKA kuchukua tahadhari ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona kwenye maeneo mbalimbali, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imehairisha sherehe za ufunguzi wa mashindano ya kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu zilizokua zifanyike leo jijini Dodoma.
Akizungumza leo katika uwanja wa Jamhuri ambapo mashindano hayo yanafanyika, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof James Mdoe kwa niaba ya Waziri wa Elimu, Prof Joyce Ndalichako...
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
PINDA afungua mashindano ya UMISETA jijini Mwanza
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akikagua kundi la waamuzi na walimu wa michezo wa shule za sekondari baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 10, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wachezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya kanda ya ziwa baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga mpira wakati alipofungua mashindano ya UMISETA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
MASHINDANO YA UMITASHUMTA YAFIKIA ROBO FAINALI JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fJYIk-14aF4/VZLX_r883NI/AAAAAAAHl8U/Dd2eCLrE2NM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA UMISETA, JIJINI MWANZA LEO
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Serikali ya Tanzania yafunga shule zote nchini kuzuia maambukizi ya virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CHAMA CHA CUF CHAUNGA MKONO MAAMUZI YA SERIKALI KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)