PINDA afungua mashindano ya UMISETA jijini Mwanza
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akikagua kundi la waamuzi na walimu wa michezo wa shule za sekondari baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 10, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wachezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya kanda ya ziwa baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga mpira wakati alipofungua mashindano ya UMISETA...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA UMISETA, JIJINI MWANZA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Gm1tFkGZPgs/VAneM-dVP5I/AAAAAAAGfGE/AruXRioL8zY/s72-c/unnamed.jpg)
MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA MIFUGO JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gm1tFkGZPgs/VAneM-dVP5I/AAAAAAAGfGE/AruXRioL8zY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--ZA5rmoZUvM/VAneM5-Wp2I/AAAAAAAGfGI/QpRtr2B40g4/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana (kushoto) baada ya kufungua mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo kwenye ukumbi wa hoteli ya Malaika jijini Mwanza, Septemba 5, 2014. Kulia ni mfugaji na Mkulima kutoka Kiteto. Papian Emmanuel.
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn14TPJFoNk/VAneMxhZkCI/AAAAAAAGfGQ/Ha2ETP6v9Mw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YyUfRhmKTQU/U-JfFci3QmI/AAAAAAAF9p8/35Cv3NfO5qw/s72-c/unnamed+(58).jpg)
MH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA MIFUGO DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YyUfRhmKTQU/U-JfFci3QmI/AAAAAAAF9p8/35Cv3NfO5qw/s1600/unnamed+(58).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0BR4SVd8ZsQ/U-JfD4DAbeI/AAAAAAAF9ps/pcQ-bRBBe_c/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AfpJR_qe5c0/U-JfD_XSKNI/AAAAAAAF9pw/TooGQB31WCA/s1600/unnamed+(60).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kB238HMM_VA/Xm4Woqw5FvI/AAAAAAALjvY/wMk46mT5AeE9aofmg9UUJX1GvtYcSVM2ACLcBGAsYHQ/s72-c/66bd3974-9bf8-412d-a965-db8aecfd0ecf%2B%25281%2529.jpg)
SERIKALI YASITISHA MASHINDANO YA UMISETA/UMITASHUMTA KUHOFIA MAAMBUKIZI YA CORONA
Charles James, Michuzi TV
Serikali imesitisha mashindano ya michezo kwa wanafunzi katika ngazi ya Shule ya Msingi na Sekondari (Umiseta, Umitashumta) yaliyokua yafanyike hivi karibuni kutokana na tishio la maambukizi ya ugonjwa wa Corona hadi hapo itakapotangazwa baadae.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Selemani Jafo amesema pamoja na kusitisha mashindano hayo pia shule zitakazofanya mahafali ya kidato cha sita hazitoruhusiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Iov8MuBjb3k/VXSbrQ_DeiI/AAAAAAAHc4U/8XnYFm7ryX0/s72-c/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
MULONGO AZINDUA MASHINDANO YA U13 TAIFA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iov8MuBjb3k/VXSbrQ_DeiI/AAAAAAAHc4U/8XnYFm7ryX0/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
Akifungua mashindano haya Mh Mulongo amewataka vijana hao kujituma katika michezo na masomo kwa kuwa vyote vinakwenda sambamba.
Amelisisitizia Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuongeza juhudi katika kuimarisha soka la vijana.
Katika salam zake za utangulizi Rais wa TFF Jamal Malinzi ameeleza kuwa lengo la mashindano haya ni kuibua timu ya vijana...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f6PcSQe0vXY/Vlr59uFnxxI/AAAAAAAIJAk/QO82SOrOyRs/s72-c/08d1ae8d-9a0f-4811-b189-221f2bb3d963.jpg)
MASHINDANO YA NGALAWA YA BALIMI YAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-f6PcSQe0vXY/Vlr59uFnxxI/AAAAAAAIJAk/QO82SOrOyRs/s640/08d1ae8d-9a0f-4811-b189-221f2bb3d963.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4WhdcZtdqRI/Vlr6AQu1djI/AAAAAAAIJAw/WxR8aOQgHNk/s640/a5200119-89c2-4aa4-903e-b531747c7f08.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
MASHINDANO YA UMITASHUMTA YAFIKIA ROBO FAINALI JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fJYIk-14aF4/VZLX_r883NI/AAAAAAAHl8U/Dd2eCLrE2NM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
11 years ago
Michuzimashindano ya vijana ya Airtel Rising Star yazinduliwa jijini mwanza
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7g0wcd3AtsU/VRLVCRwjO7I/AAAAAAAHNKw/sn6My2jhvpE/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA RIPOA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7g0wcd3AtsU/VRLVCRwjO7I/AAAAAAAHNKw/sn6My2jhvpE/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rqhOWtLCbpM/VRLQZG0BsCI/AAAAAAAHNJ8/7OrBctKtOx0/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania