MULONGO AZINDUA MASHINDANO YA U13 TAIFA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iov8MuBjb3k/VXSbrQ_DeiI/AAAAAAAHc4U/8XnYFm7ryX0/s72-c/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh Magessa Mulongo leo hii kwenye uwanja wa CCM Kirumba amefungua mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13.
Akifungua mashindano haya Mh Mulongo amewataka vijana hao kujituma katika michezo na masomo kwa kuwa vyote vinakwenda sambamba.
Amelisisitizia Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuongeza juhudi katika kuimarisha soka la vijana.
Katika salam zake za utangulizi Rais wa TFF Jamal Malinzi ameeleza kuwa lengo la mashindano haya ni kuibua timu ya vijana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-wT1Ywn6h9KM/VIlpVdnKOMI/AAAAAAADRT0/XACf0S-FNfg/s72-c/1..jpg)
RC - MULONGO AKERWA NA HALI YA USAFI ISIYO RIDHISHA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wT1Ywn6h9KM/VIlpVdnKOMI/AAAAAAADRT0/XACf0S-FNfg/s1600/1..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Crp7n0m3Qag/VIlo-E9UcLI/AAAAAAADRTY/Fmtjsze7988/s1600/2..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-74-QclfiFKk/VIlo-pv7yEI/AAAAAAADRTs/d2rcCk-OyBg/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TFt6t7opmaQ/VIlo-M-gPxI/AAAAAAADRTU/WP9OWfGHqG4/s1600/5..jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x-F3yUDADuI/VIlo-8C7DCI/AAAAAAADRTc/LvISemZslhw/s1600/9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yNaMN-ZUtdQ/VZJfxCoyz2I/AAAAAAAC79s/8snjCh3cANI/s72-c/10.jpg)
WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI MPYA YA KUWAHAMASISHA WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA JIJINI MWANZA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-yNaMN-ZUtdQ/VZJfxCoyz2I/AAAAAAAC79s/8snjCh3cANI/s640/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mQmu0-DQUYY/VZJf6EfuA7I/AAAAAAAC790/z1DpqFwjTjQ/s640/11.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MEMBE AZINDUA FILAMU MPYA YA 'I LOVE MWANZA' JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-5LCmscRm0iM/U6fLwB_oopI/AAAAAAAAiOk/9HHcPNLfYp4/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
PINDA afungua mashindano ya UMISETA jijini Mwanza
Waziri mkuu, Mizengo Pinda akikagua kundi la waamuzi na walimu wa michezo wa shule za sekondari baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 10, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wachezaji wa timu ya mpira wa kikapu ya kanda ya ziwa baada ya kufungua mashindano ya UMISETA kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga mpira wakati alipofungua mashindano ya UMISETA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
MASHINDANO YA UMITASHUMTA YAFIKIA ROBO FAINALI JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8_VQ28V_E-g/VZLYHDysQQI/AAAAAAAHl8c/cU38wRUoIfo/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fJYIk-14aF4/VZLX_r883NI/AAAAAAAHl8U/Dd2eCLrE2NM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f6PcSQe0vXY/Vlr59uFnxxI/AAAAAAAIJAk/QO82SOrOyRs/s72-c/08d1ae8d-9a0f-4811-b189-221f2bb3d963.jpg)
MASHINDANO YA NGALAWA YA BALIMI YAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-f6PcSQe0vXY/Vlr59uFnxxI/AAAAAAAIJAk/QO82SOrOyRs/s640/08d1ae8d-9a0f-4811-b189-221f2bb3d963.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4WhdcZtdqRI/Vlr6AQu1djI/AAAAAAAIJAw/WxR8aOQgHNk/s640/a5200119-89c2-4aa4-903e-b531747c7f08.jpg)
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA UMISETA, JIJINI MWANZA LEO
10 years ago
Michuzi22 Jan
KAGERA WATUPWA NJE YA MASHINDANO YA WANAWAKE TAIFA CUP KWA MATUTA 4-3 NA TIMU YA MWANZA
Na Faustine Ruta, MwanzaTimu ya Wanawake kutoka Mkoa wa Kagera imetupwa nje ya Mashindano kwa Matuta baada ya kumaliza mtanange wao kwa sare ya Nyumbani ya Ushindi wa 2-1 na Ugenini,CCM Kirumba Mwanza na Matuta kupigwa na Timu ya Mwanza kuibuka na Ushindi wa bao 4-3.
Mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba Timu ya Mwanza ndio walianza kupata bao mapema dakika ya 2 kupitia kwa mchezaji wao matata Meriam Kimbuya (10) kwa kukatiza katikati ya mabeki na kufunga bao hilo la kwanza....
11 years ago
Michuzimashindano ya vijana ya Airtel Rising Star yazinduliwa jijini mwanza