RC - MULONGO AKERWA NA HALI YA USAFI ISIYO RIDHISHA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wT1Ywn6h9KM/VIlpVdnKOMI/AAAAAAADRT0/XACf0S-FNfg/s72-c/1..jpg)
.Mkuu wa Mkoa aliye nyanyua Mwamvuli kumsikiliza Bibi Asia Rashidi mfanyabiashara wa soko kuu wakati wa ziara hiyo (Picha zote na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza)
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akishangaa uchafu ulio kithiri eneo la makoroboi.
Gari hili lililetwa kwa ghafla baada yakusikia kuwa kuna ziara ya Mkuu wa Mkoa.
Eneo la Pembeni ya iliyokuwa standi kuu ya Mwanza, ambapo Mulongo ametoa siku ishirini na moja pawe pameendelezwa.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akiwa katika Eneo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Iov8MuBjb3k/VXSbrQ_DeiI/AAAAAAAHc4U/8XnYFm7ryX0/s72-c/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
MULONGO AZINDUA MASHINDANO YA U13 TAIFA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Iov8MuBjb3k/VXSbrQ_DeiI/AAAAAAAHc4U/8XnYFm7ryX0/s640/unnamed%2B%252888%2529.jpg)
Akifungua mashindano haya Mh Mulongo amewataka vijana hao kujituma katika michezo na masomo kwa kuwa vyote vinakwenda sambamba.
Amelisisitizia Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuongeza juhudi katika kuimarisha soka la vijana.
Katika salam zake za utangulizi Rais wa TFF Jamal Malinzi ameeleza kuwa lengo la mashindano haya ni kuibua timu ya vijana...
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Hakuna tishio la ugaidi Mwanza-Mulongo
PETER KATULANDA, MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magessa Mulongo, amesema mkoa huo uko salama na hakuna tishio lolote la ugaidi.
Alisema Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa imejipanga kukabiliana na tishio lolote linaloweza kujitokeza.
Mulongo aliwataka wananchi wa mkoa huo kuendelea na shughuli zao kama kawaida na wasiwe na hofu yoyote.
Alisema hayo jana mjini hapa wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama ya mkoa huo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Amina Makilagi, kwenye...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
WAZEE MWANZA WAMUASA MULONGO KUWEKA NGUVU KWENYE ZAO LA ALIZETI.
Wazee katika Mkoa wa Mwanza, wamemshauri Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, kuanza kulima zao la alizeti ili kuuwezesha mkoa huo kuinuka kuichumi kutokana na hali mbaya ya mazao kama pamba kupoteza umaarufu kwenye sekta ya uchumi wa mkoa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-X1NgcvlIGig/VNi2_uXypLI/AAAAAAAABaI/CFpS7z49NBQ/s72-c/Mwanza.jpg)
Kali ya Mwaka Mkuu wa mkoa wa Mwanza,Mulongo aliyeweka Ulinzi kama wa Rais
![](http://2.bp.blogspot.com/-X1NgcvlIGig/VNi2_uXypLI/AAAAAAAABaI/CFpS7z49NBQ/s640/Mwanza.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--_JTVdLITjk/VNi2_mve4NI/AAAAAAAABaM/g5zQxrO8WVU/s640/Ulinzi.jpg)
10 years ago
VijimamboBODI YA USHAURI YA MAMLAKA YA HALI YA HEWA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI MBALIMBALI JIJINI MWANZA
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Magessa Mulongo afungua maonyesho ya wajasiriamali wa SIDO jijini Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Lowassa: Hali isiyo ya kawaida huibua hatua zisizo za kawaida
WIKI iliyopita niliandika kusema kwamba Edward Lowassa kuhama kutoka chama kilichomlea ilikuwa ni
Jenerali Ulimwengu
11 years ago
Michuzi25 Mar
WATENDAJI DAR WAASWA KUSHIRIKIANA ILI KUWEKA JIJI KATIKA HALI YA USAFI
![DSC_1151](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_1151.jpg)
Meneja Huduma Maji taka kutoka Dawasco, Mathias Mulagwande (mwenye suti ya damu ya mzee) akinyoosha kidole kumuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick (wa pili kulia) sehemu korofi za kutiririsha maji machafu barabara ya Morogoro kati kati ya jiji.
Na Damas Makangale
WATENDAJI wa Mamlaka za Maji Safi na Taka, Manispaa, Halmashauri, Wakala wa Barabara na Mabasi yaendayo kasi wameshauri kuwa na utaratibu wa kuwasiliana na kushirikiana kwa pamoja ili kuleta tija katika...