Magessa Mulongo afungua maonyesho ya wajasiriamali wa SIDO jijini Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KwMZ58UO3TU/U5XUMqFNOvI/AAAAAAAAMqk/7BPMPZog4XU/s72-c/IMG-20140609-WA0055.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAONYESHO YA SIDO NA TAHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KwMZ58UO3TU/U5XUMqFNOvI/AAAAAAAAMqk/7BPMPZog4XU/s1600/IMG-20140609-WA0055.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Maonyesho ya SIDO kwa wajasiriamali kwa kanda ya kati kufanyika Agosti 26 hadi Septemba Mosi mwaka huu Mkoani Singida
![DSC01201](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01201.jpg)
![DSC01193](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01193.jpg)
5 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAFUNZO YA MADAKTARI YANAYORATIBIWA NA WCF JIJINI ARUSHA
Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo leo Juni 24, 2020 katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Laban Kihongesi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na...
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Wajasiriamali walia kodi kubwa Sido
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_-u_KHINui8/VC0o7v7VC1I/AAAAAAADGjQ/PkV8GWOlj-Y/s72-c/8.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-_-u_KHINui8/VC0o7v7VC1I/AAAAAAADGjQ/PkV8GWOlj-Y/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-y60To8TK8WA/VC0o8h-N6iI/AAAAAAADGjc/hO0hweCuwRY/s1600/9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DTYxmqKbg_s/VC0o42c9fhI/AAAAAAADGi0/dJrDMGzSIMo/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-80APhYddeww/VC0o6jXcKMI/AAAAAAADGjI/s1gj2FNw9YE/s1600/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua maonesho ya mwezi wa wanawake wajasiriamali (MOWE) Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene, wakati aliwasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 28, 2014 kwa ajili ya kufungua rasmi Maonesho ya mwezi wa Wanawake Wajasiliamali (MOWE). (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Masoko wa Kampuni ya GS 1, Ester Budili,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xRm9UNPlQ7s/U_YU_WgeWxI/AAAAAAAGBNo/6WwnSZpwVUk/s72-c/unnamed.jpg)
Mh. Kigoda afungua maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa nchini China leo jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-xRm9UNPlQ7s/U_YU_WgeWxI/AAAAAAAGBNo/6WwnSZpwVUk/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LeiXwld-phc/U_YU351mhgI/AAAAAAAGBM4/571j1gbbD8E/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
SIDO Iringa yawakopesha wajasiriamali wadogo zaidi ya sh milioni 229.9
Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya.
Na Fredy Mgunda, Iringa
SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 229.9 kwa wajasiriamali wa mkoa huo, katika kipindi cha July mpaka Desemba mwaka jana.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya alisema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha wajasiriamali Wadogo kupata mitaji, na kuinua uchumi wao ili waondokane na...
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Wajasirimali washauriwa kushiriki maonyesho yanayoandaliwa na SIDO
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi akizungumza wakati wa kufungua mafunzo ya usindikaji nyanya,biashara na masoko yaliyohudhuriwa na wajasiriamali 36 kutoka Manispaa na Wilaya ya Singida.Kulia ni meneja wa SIDO mkoa wa Singida, Shoma Kibende.(Picha na Maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
WAJASIRIAMALI Wilayani Singida wamehimizwa kujenga utamaduni wa kushiriki maonesho ya kanda ya kati yanayosimamiwa na SIDO ili pamoja na mambo mengine kutangaza bidhaa zao ziweze kupata soko la uhakika...