Wajasiriamali walia kodi kubwa Sido
Wajasiriamali waliopanga kwenye majengo ya Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (Sido) jijini Dar es Salaam, wamelalamikia kupanda kwa zaidi ya mara tatu kwa kodi ya pango.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Magessa Mulongo afungua maonyesho ya wajasiriamali wa SIDO jijini Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
SIDO Iringa yawakopesha wajasiriamali wadogo zaidi ya sh milioni 229.9
Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya.
Na Fredy Mgunda, Iringa
SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 229.9 kwa wajasiriamali wa mkoa huo, katika kipindi cha July mpaka Desemba mwaka jana.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya alisema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha wajasiriamali Wadogo kupata mitaji, na kuinua uchumi wao ili waondokane na...
10 years ago
MichuziWAKUU WA WILAYA ZA KISHAPU NA SHINYANGA WATEMBELEA MABANDA YA WAJASIRIAMALI MAONESHO YA SIDO KANDA YA ZIWA
Hapa ni katika banda la Chuo cha...
10 years ago
StarTV15 Feb
SIDO, Wajasiriamali Mbeya waanzisha viwanda 48 Mbeya.
Na Amina Saidi,
Mbeya.
Shirika la kuhudumia viwanda vidogo vidogo nchini, SIDO Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na wajasiriamali limefanikiwa kuanzisha viwanda 48 vya kuongeza thamani ya mazao ya Mpunga, Alizeti na usindikaji wa chakula cha mifugo.
Uanzishwaji wa viwanda hivyo ni sehemu ya mkakati wa Taifa wa kuongeza uzalishaji na thamani ya mazao yanayolimwa kwa wingi katika kila wilaya nchini.
Lengo la mkakati huo ni kuwa na kongamano/cluster za mazao ya biashara yatakayopewa...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Wakulima walia na kodi
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Walia na utitiri wa kodi nchini
10 years ago
Mwananchi05 May
Wapangaji NHC walia na kodi
10 years ago
Dewji Blog24 Aug
Maonyesho ya SIDO kwa wajasiriamali kwa kanda ya kati kufanyika Agosti 26 hadi Septemba Mosi mwaka huu Mkoani Singida


11 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Filbert Bayi Schools walia mzigo wa kodi
MKURUGENZI mkuu wa Shule za Filbert Bayi (Filbert Bayi Schools), Anna Bayi, amesema mzigo wa kodi wanazotakiwa kulipa wamiliki wa shule ni mzigo kwao na wazazi. Bayi aliyasema hayo juzi...